<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429</id><updated>2012-02-17T18:04:39.060+03:00</updated><category term='wala usibabaike mwakwetu hii noma'/><category term='nenda mwaya nenda'/><category term='hili ni jengo pacha la malaysia ghorofa 88'/><category term='patna mwingine mjamzito'/><category term='kazi kwako mheshimiwa waziri wa madini'/><category term='Sisi yetu macho na masikio'/><category term='kwa mara nyingine tena Tigo imewezesha'/><category term='je walikuwepo watu wa huduma ya kwanza'/><category term='watu wanapofanya weli kwenye sanaa'/><category term='Bado ni kisura wa haja'/><category term='Kwa mchanganyiko huu muungano lazima udumu'/><category term='New Zanzibar Modern Taarab  na wapenzi big up'/><category term='Mzee wa Farasi  nakupa saluti'/><category term='Aluta kontinua ni fora pamoja na mvua'/><category term='Yaani wakati mwingine hata huelewi prioty over priority'/><category term='ubunifu siku zote hulipa'/><category term='mama ni mama tu anapendeza'/><category term='jela kwa raha'/><category term='Ona Kolelo na sindikizwa na  Wazee wa Gwasuma'/><category term='nyie mnasemaje kuhusu hili'/><category term='nani asiyejua utamu wa pipi'/><category term='Filamu ndio kielelezo cha ukuzi wa taifa'/><category term='ndoa za mastaa huwa na mgogoro'/><category term='Hii maana yake Moro kuna uhaba wa chakula'/><category term='Duhh bibie endeleza libeneke'/><category term='Pole Jamila hayo ndiyo mashindano'/><category term='Tuipeleke kaskazini'/><category term='Kwa mihasira hajambo'/><category term='kama  si kiwanda cha chumvi nani atawajua hawa'/><category term='jamani huu kama si ushamba kumbe nini'/><category term='Inakuwaje kama filamu yenyewe itahitaji busu la nguvu'/><category term='miguu'/><category term='Sasa ni mavuno'/><category term='come sun'/><category term='Vionjo vipya  ndani ya Gwasuma'/><category term='wanadamu wanapotaka kujua zaidi'/><category term='tunahitaji haya'/><category term='Isiwe mijineno tu manake mihela  hubadili watu kweli'/><category term='mambo mengine we angalia tu'/><category term='haya ndiyo mambo ya Ulaya'/><category term='Duhh kaisikie Walibana'/><category term='Mungu tuepushe na imani hizi za kishirikina'/><category term='inakuuma au...'/><category term='Jamani mbona Mungu anatupigania'/><category term='Tazama Waziri Mkuu Pinda wasije wakapindisha maamuzi yako'/><category term='tuwalinde maalbino'/><category term='Tuombe rehema kwa mungu'/><category term='Show of support Big Up Madame'/><category term='hivi sisi tunajua kama kuna vitu vya aina hii'/><category term='Usisahau wazee wa Ngwasuma'/><category term='hapa kwetu inakuwaje vile'/><category term='udumu muungano'/><category term='yeye mbele sisi nyuma'/><category term='Mkiwa taa mulikeni'/><category term='kweli'/><category term='ni furaha za muungano'/><category term='Mimi simo'/><category term='Fedha za maiti haziliwi bure'/><category term='kazi na burudani'/><category term='ni mfumuko wa bei  au mfumuko wa nchi'/><category term='uchumi huzunguka kwa kuwawezesha wasukaji'/><category term='tutampa tafu kubwa Prof'/><category term='Kama Mkristo naamini hilo hiyo si sahihi'/><category term='Ugonjwa huu wa sasa ni kitendawili'/><category term='unaposaka uwakilishi wa dunia'/><category term='mfumuko wa bei mpaka noma'/><category term='Kweli  ina mkono mrefu tuone'/><category term='la maana ni kuwa na jiko au vipi'/><category term='Tuone yatufae'/><category term='poleni sana wanyalukolo'/><category term='Ni wakati wa kuujadili utamaduni'/><category term='Wacha tujifue'/><category term='Michezo maalum inatakiwa kupigiwa debe'/><category term='Roho za marehemu zipate pumziko la milele'/><category term='Tuchangie mambo yaive'/><category term='Hongera sana'/><category term='Hongera bibie'/><category term='Yaaani sijui itawezekana'/><category term='Vitu vikali vyazidi kuingia Dar'/><category term='nje je?'/><category term='Ama kweli mwenye nacho huongezewa'/><category term='mrithi wa mwanadada  Whitney Houston'/><category term='Pengine anamuogopa Jada Pinkett manake kwa wivu..'/><category term='wigo mpana wa utamaduni'/><category term='nani abebe hukumu na lawama'/><category term='kama wao wanaweza sisi je'/><category term='Inahitaji nidhamu fulani'/><category term='Ukirejea salama  kila mtu anafurahi'/><category term='Kolelo mzimu ambao bado hai'/><category term='daraja sahau nini'/><category term='M ungu bariki mikono ya madaktari  wafanikiwe'/><category term='Sasa ni wakati wa kutafuta upenyo ndani ya IDOLS'/><category term='maisha ni vyema kuyaangalia'/><category term='welcome dar baby'/><category term='Tuombe nafuu kwa  wagonjwa'/><category term='ni muziki kwa kwenda mbele'/><category term='TUNAZISUBIRI  ZA VINARA ADAR'/><category term='Naam kama haiwezekani hapa'/><category term='One step ahead'/><category term='imetosha'/><category term='Hii mexico'/><category term='Mungu ibariki Tanzania'/><category term='Hii kweli noma'/><category term='Ni kazi ngumu yenye kuhifadhi utamaduni'/><category term='Hizi imani nyingine ni hatari'/><category term='hata maji'/><category term='demokrasia ya upanga'/><category term='Hongera dada etu kwa kutuletea kaka etu (shemeji) kwani mwenye dada hakosi shemeji'/><category term='See Uluguru Montains'/><category term='Ni zaidi ya jazz'/><category term='Mwenge wa olimpiki ni ishara ya urafiki'/><category term='Amewafuata Watanzania'/><category term='Kila la Heri jamila'/><category term='urafiki'/><category term='kila la heri kwani ni changamoto'/><category term='Tusingoje wengine watusemee'/><category term='tuvipende'/><category term='Thats big man game'/><category term='labda halitabadilika tena'/><category term='mavazi ya kuogelea yanaposhindaniwa'/><category term='keep it up bloggers'/><category term='Changamoto babu kubwa'/><category term='Burudani ya aina yake uwanjani'/><category term='Si kitu kidogo hata kidogo'/><category term='wilaya ya &apos;Mbagala&apos; mlie tu'/><category term='Hii mihasira mingine bwana'/><category term='Hii ndio moro sio mpaka dar'/><category term='Umelenga Mkuchika utamaduni unakufa'/><category term='Hii ni kiboko anayetaka kubisha ajibishie tu'/><category term='mambo sasa mchanganyiko'/><category term='Tunajifunza kweli kutoka kwao'/><category term='Anitha rasmi kwa maduka'/><category term='Tumsaidie mtototo huyu kurejea katika hali ya kawaida'/><category term='haya wabongo na mambo kutoka nje'/><category term='hii ni hatari'/><category term='Hii iko sawa kweli?'/><category term='Ni Dar mpaka Moro  au.. tatu bila'/><category term='Ni kuchakarika kuonyesha urafiki na biashara pia'/><category term='miguu babu'/><category term='Kudumisha urafiki wa dunia'/><category term='Ipo kazi Maximo'/><category term='Mnaweza wakwetu hapa'/><category term='Ni muziki mpaka China'/><category term='serikali inataka kujihami kwanini'/><category term='Na sisi je'/><category term='si unajua tena namie naimwaga hivyo hivyo'/><category term='Kamua baba waache wakanyagane'/><category term='kero ya usafiri sasa kwisha'/><category term='jamani.. jamani ukiikosa Diamond usijutie'/><category term='wanasema mpaka kieleweke'/><category term='Ni raha tupu'/><category term='hataki masikhara na maisha yake'/><category term='hatubonyezi kizenji'/><category term='Mungu twaomba utuhurumie'/><category term='Dole tupu vijana wa zamani'/><category term='Mzimbabwe huyu kutoka kwa mama mkali'/><category term='mimi sisemi'/><category term='tabasamu kali la mwenge wa olimpiki'/><category term='Ni bikini kwa kwenda mbele'/><category term='tunazidi kuhesabu siku'/><category term='Je watanzania wanalipa kodi'/><category term='karibu nyumbani dada yote maisha tu'/><category term='juhudi za lazima kuinua filamu'/><category term='Profesa jamaa wanakumaindi'/><category term='Fedha za watu  kwa maendeleo ya watu'/><category term='Powa sana'/><category term='Mashabiki wa rhumba mpooooooooo'/><category term='Angalia jinsi mambo yanavyokuwa kwa wenzetu'/><category term='He he he wananikumbusha upishi wa shaba'/><category term='maendeleo ya soka siku zote yanahitaji fedha ili yapatikane'/><category term='Mungu awe nao'/><category term='Nairobi waanzisha tena utalii'/><category term='tuuenzi utamaduni au vipi'/><category term='namna bora ya kusaidia jamii'/><category term='wakali wa ubunifu'/><category term='karibu Tatiii'/><category term='Amekuja kukagua fedha zake'/><category term='Vituo vya polisi Tanga vyatelekezwa'/><category term='mambo msimamo'/><category term='Huko Ulaya'/><category term='Tuisaidie serikali shida ya Mererani'/><category term='hii staili mpya'/><category term='binadamu azidi kusonga katika sayansi'/><category term='kila kitu kina vitu'/><category term='Mungu awabariki sana'/><category term='Itakuwa laki moja ya halali'/><category term='sasa mifedha kila mahali hongereni'/><category term='Ni Tigo na mawasiliano ya kisasa'/><category term='Tunasubiri'/><category term='Hii imekaa vizuri'/><category term='Je nyumbani hakuna vitu vya aina hii?Tuambie'/><category term='Babu watoto bado wanacheza'/><category term='dahh sijui kweli mbona shida'/><category term='Amina'/><category term='Hii hurejesha uhai'/><category term='Mhh sijui watu wa Sua ambao wako huko wanasemaje'/><category term='wewe unasemaje'/><category term='basi hiyo ndiyo raha wanaoitaka wana bongo'/><category term='Wanataka kujua mali za JK na wengine'/><category term='Hii ni moja ya staili za kunyoa nywele'/><category term='Tunapandisha chati tu'/><category term='Tuukuze na kuulinda'/><category term='Mwenge huo utakimbizwa duniani kwa siku 130'/><category term='hivi nini siri za serikali'/><category term='bi harusi nusura atoke nduki'/><category term='Lukwangule nyumbani kwetu'/><category term='Tibet wamegeuza Olimpiki jukwaa la siasa'/><category term='mkiwa chumvi basi mkoze'/><category term='Mungu amrehemu'/><category term='zitachangia kupunguza makali ya bei za umeme'/><category term='hasira hasara'/><category term='kuna makala humu humu ndani ya blogu sijui mnasemaje'/><category term='Mchakamchaka anti Asmah'/><category term='zawadi zinatakiwa ziende shule'/><category term='bado siku 100 au kidogo kwa hesabu za chapchap'/><category term='come rain'/><category term='Kweli duniani tunatofautiana'/><category term='Dar utakuja je tumejiandaa'/><category term='This is Mgeta'/><category term='hakuna  noma jongwe'/><category term='Ni muhimu kutazama afya yako'/><category term='duhh kwa mbagala mama lazima awe supa'/><category term='Mara nyingine huona tunakotoka kwa kuona wenzetu'/><category term='Mungu amweke pema peponi'/><category term='Vita dhidi ya ufisadi'/><category term='Nitasubiri and welcome home'/><category term='Mnaonaje je hii imekaa vyema'/><category term='Kuna dalili za wasomi kukubali Uafrika'/><category term='tujue namna ya kupumzika'/><category term='Mhh ugua pole dada watu wanataka burudani'/><category term='Ni Serengeti Premium Lager'/><category term='Mikataba mingine ama hakika tuiangalie hata wakopeshaji nao wanatugeuza sakala'/><category term='Titbits collection'/><category term='Hii si lukwangule'/><category term='Huu ndio ustaarabu'/><category term='Jolie'/><category term='sakata dansi mpaka kwenye kilele cha dunia'/><category term='Lucy wanakuelewa hawa...'/><category term='huhitaji mifedha kuwa msafi'/><category term='ona vya dunia'/><category term='lets us'/><category term='Hii inakaaje vile'/><category term='Wenzetu wameona sisi tunangoja nini kuangalia'/><category term='Yote maisha dada'/><category term='Mwendo mdundo dada'/><category term='Kila chenye roho na mwili kitaonja umauti'/><category term='Wapo mabinti wa matawi ya juu'/><category term='Crazy in Love kama wimbo kama wao wenyewe'/><category term='kama unajua kuyarudi nenda Malta'/><category term='Kama kweli ndio kweli basi kila heri'/><category term='Mungu aiweke mahali pema roho yake'/><category term='naona inafaa kuchangia mimi sitoi hoja'/><category term='Nani kama baba'/><category term='Slow slow jamani'/><category term='Wazee tupo kusindikiza'/><category term='Sijui tunaishi karne gani yailahi'/><category term='hakika tumeweka historia'/><category term='Wadau ilitolewa kiingereza'/><category term='Hiyo ndiyo gharama ya demokrasia'/><category term='mungu tufanye tuwe na upendo'/><category term='Gandamiza Kibara baba ake'/><category term='Mimi sijajua hasa kumetokea nini kwani ninavyojua hawa huwa na ungalizi wa hali ya juu'/><category term='Kiuno bila mfupa'/><category term='leteni vitu tuvione'/><category term='muziki na fasheni'/><category term='Jamani watoto wanatakiwa kupendwa'/><category term='changanya wachanganyikiwe halafu unapeta'/><category term='lakini mwafaka lazima'/><category term='poleni sana'/><category term='MIMI NI KISURA NAJITAMBUA'/><category term='Sinema'/><category term='ataka kutafutiwa matamasha'/><category term='Ukiiona kolelo utaipenda'/><category term='N i dar mpaka Moro au bao tatu bila'/><category term='kaza buti hakuna kukata tamaa inalipa'/><category term='Anatengeneza sinema itakayotoka Novemba 2009'/><category term='haya si yangu ni ya mdau mwenye hasira'/><category term='Masupa staa mnaoinukia mpoo'/><category term='Tulienda kustarehe au kufanya fujo'/><category term='sio advencha....kaaa ...niko kibaruani'/><category term='Sisi ndio tunaanza vitongoji'/><category term='lengo ni kutafakari'/><category term='hivi vitu bwana'/><category term='Tubadili tamaduni'/><category term='Big Up'/><category term='Inaonekana watanzania hatukuwepo'/><category term='This is crazy Africa'/><category term='Wanawake wenye mvuto: Monroe'/><category term='vitongoji Miss Tanzania navyo vimeanza'/><category term='tuienzi na sisi mbona wizara haituambii'/><category term='Hivi ni ngoma tu'/><category term='Hizi takwimu hizi mhh'/><category term='waweza kurejea enzi ya Moro jazz na Cuban malimba'/><category term='mengi wanayoyaita siri ni public information'/><category term='huu ujiko utakuwa mkubwa'/><category term='Tuwe kweli wakweli'/><category term='tuendeleze sanaa'/><category term='sasa kumebakia ugonjwa mmoja polisi kuendesha mashtaka'/><category term='Sijui kama City wanajua Mbagala noma'/><title type='text'>lukwangule entertainment</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>6118</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5576486519180383250</id><published>2012-02-17T17:03:00.002+03:00</published><updated>2012-02-17T17:07:25.119+03:00</updated><title type='text'>OPENING REMARKS BY H.E. JAKAYA  KIKWETE  DURING A CONSULTATIVE MEETING OF  MINISTERS FOR AGRO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-zOqUZXIPh-s/Tz5fFGviN-I/AAAAAAAAP90/Sp-0_cKpIpY/s1600/JK3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-zOqUZXIPh-s/Tz5fFGviN-I/AAAAAAAAP90/Sp-0_cKpIpY/s320/JK3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5710105918866339810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;OFFICIAL OPENING REMARKS BY H.E. JAKAYA &lt;br /&gt;MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC &lt;br /&gt;OF TANZANIA DURING A CONSULTATIVE MEETING OF &lt;br /&gt;MINISTERS FOR AGRICULTURE, KILIMANJARO HYATT &lt;br /&gt;HOTEL, DAR ES SALAAM 17TH FEBRUARY, 2012&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madam Rhoda Tumusiime, AU Commissioner for Rural Economy and Agriculture;&lt;br /&gt;Representative from World Economic Forum Secretariat Representative;&lt;br /&gt;Representatives from NEPAD;&lt;br /&gt;Representatives from the Private Sector;&lt;br /&gt;Distinguished guests; Ladies and Gentlemen:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;       Introduction and Welcome&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;I thank you Honorable Minister Prof. Jumanne A. Maghembe (MP) for inviting me to officiate at the opening of this important Ministerial Consultative Meeting on the Grow Africa Partnership.  I thank all the distinguished delegates for accepting our invitation and for their presence here today despite the short notice.  This is enough testimony of your commitment to the quest for transformation of Africa’s agriculture.  &lt;br /&gt;Meeting Background&lt;br /&gt;Honourable Ministers, Ladies and Gentlemen;&lt;br /&gt;As Ministers, Government, the African Union and NEPAD officials and, as WEF’s and private sector officials responsible for agriculture, there may be no need for me to labour so much about the importance of agriculture to our countries, our continent and our organizations.  Agriculture is essential to provide food for humanity and a source of livelihood for the majority of our people in Africa.  One cannot talk of food security in Africa and the world without talking about agriculture.  No serious person can talk about effective poverty reduction in Africa without talking about agriculture which employs over 70 percent of the people on the African continent.&lt;br /&gt;Ladies and Gentlemen;&lt;br /&gt; Cognizant of these facts, African leaders and governments have been undertaking various initiatives to transform agriculture from being backward and lowly productive to becoming modern and highly productive.  In essence, these initiatives involved increasing the application of modern science and technology in production, better organization and management of crop and animal husbandry, and, the availability of important services such as finance, markets, infrastructure etc.&lt;br /&gt; The other important fact about Africa’s agriculture is the predominance of the government in the whole business of development and transformation of agriculture.  In fact many of the initiatives to develop agriculture involve governments and donors.  At limited times they also involve NGO’s supported by donors, also working with governments or small holder farmers.  There is very little participation of the private sector both local and foreign in Africa’s agriculture.&lt;br /&gt; This is an omission which cannot be left to continue.  Otherwise, agriculture will take a very long time to turn around.  The private sector is needed in all aspects of Africa’s agriculture: for seed research development; multiplication and distribution for large scale production; and involving small holder farmers as out-growers and where possible,  making inputs available to farmers like fertilizers, pesticides as well as markets for farmers’ produce.  The list of what the private sector can do is long.  If properly harnessed this huge private sector potential can make a huge difference for the better.  Precisely, this is what has been occupying our countries and many others for years.  Several plans and initiatives have been formulated to encourage the participation of the private sector in agriculture in Africa.  However, much more needs to be done.  The Grow Africa Partnership which our countries are members is a good example of efforts across countries to promote private sector participation in African agriculture.  It is a forum for exchanging ideas and doing advocacy for support.&lt;br /&gt;Meeting Objective&lt;br /&gt;Honourable Ministers, Ladies and Gentlemen;&lt;br /&gt;It is heartening, indeed, that the Grow Africa Partnership is attaining international recognition as an important initiative worth being supported.  The Grow Africa Partnership is beginning to be considered a worthy interlocutor on African agricultural issues.  We are gathered here precisely for that.  This is an opportunity we must make good use of.  Our views and ideas are being awaited at the forthcoming African Economic Forum in Addis Ababa and G8 Summit in Chicago.   At the last WEF meeting in Davos, I met the US Under Secretary, Robert Hormats and USAID Administrator, Raj Shah and we discussed the possibility of the G8 Summit allocating time to listen to our views.  &lt;br /&gt;We must get started.  You will agree with me that we do not have much time left.  That is why we, your Principals, decided that you, our Ministers responsible for Agriculture should hold this meeting and develop the proposals.  I am glad you could meet at so short a notice.  I know, this is not the last meeting.  I have no doubt in my mind that you will rise to the occasion.  &lt;br /&gt;You should therefore explore how best our development partners can support our efforts to develop our agriculture and help us build a conducive environment that would enable both local and international private sector to come and partner with us in promoting agricultural development.  We are all aware how the private sector can play a big role in the agricultural value chain from production to its apex.  All that is required of us is to do the right things to leverage their participation.  &lt;br /&gt;Let me use this opportunity to reaffirm to our partners gathered here this morning that the Grow Africa Partnership governments are more than committed to the realization of this initiative.  We will, therefore, do everything in our power, use every resource at our disposal and all our mental and physical faculties which God has endowed us with to make this Grow Africa Partnership a great success.  &lt;br /&gt;Ladies and Gentlemen; &lt;br /&gt;Before I conclude my remarks let me use this opportunity to express our sincere gratitude to our development partners, NEPAD, the WEF and the AU Commission for supporting this initiative since its inception and investors who had put faith in us even before we had concretized our vision. Indeed, the pioneer investors have provided immense encouragement and momentum for going forward.&lt;br /&gt;Ladies and Gentlemen;&lt;br /&gt;Let me conclude by thanking all those who have worked tirelessly on the preparation of this meeting at very short notice.  Special thanks go to the AU Commission, NEPAD Secretariat, the WEF Secretariat and of course Tanzania’s Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives, who are our host.  Equally important I wish to thank all the delegates for attending this meeting, surely without your coming, its success would have been in jeopardy.    On behalf of my colleagues, Heads of State and government, I look forward with great anticipation, to receive concrete proposals at the end of this meeting.&lt;br /&gt;I thank you for Listening.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5576486519180383250?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5576486519180383250/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5576486519180383250' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5576486519180383250'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5576486519180383250'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/opening-remarks-by-he-jakaya-kikwete.html' title='OPENING REMARKS BY H.E. JAKAYA  KIKWETE  DURING A CONSULTATIVE MEETING OF  MINISTERS FOR AGRO'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-zOqUZXIPh-s/Tz5fFGviN-I/AAAAAAAAP90/Sp-0_cKpIpY/s72-c/JK3.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4985453630701742358</id><published>2012-02-17T17:00:00.001+03:00</published><updated>2012-02-17T17:02:23.677+03:00</updated><title type='text'>MAREKEBISHO RATIBA VPL</title><content type='html'>Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefanya marekebisho madogo kwenye&lt;br /&gt;ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kupisha mechi mbili za Taifa Stars&lt;br /&gt;zinazotarajiwa kuchezwa Februari 23 na 29 mwaka huu jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;Taifa Stars itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo&lt;br /&gt;(DRC) ambayo itafanyika Februari 23 mwaka huu wakati ile ya mashindano dhidi ya&lt;br /&gt;Msumbiji itachezwa Februari 29 mwaka huu. &lt;br /&gt;Marekebisho hayo yamefanywa kutokana na makubaliano yaliyofikiwa na klabu za Ligi&lt;br /&gt;Kuu ya Vodacom kuwa pale ambapo Taifa Stars itakuwa na mechi, ligi itasimama kupisha&lt;br /&gt;mechi husika.&lt;br /&gt; Tarehe mpya za mechi husika na namba zake ni kama ifuatavyo; mechi namba 131 kati ya&lt;br /&gt;JKT Ruvu na Toto Africans sasa itachezwa Machi 3 mwaka huu, mechi namba 132 kati ya&lt;br /&gt;Yanga na Azam (Machi 10 mwaka huu), mechi namba 133 kati ya JKT Oljoro na Kagera&lt;br /&gt;Sugar (Machi 3 mwaka huu). &lt;br /&gt;Mechi namba 134 kati ya Polisi Dodoma na Kagera Sugar (Machi 11 mwaka huu), mechi&lt;br /&gt;namba 135 kati ya Moro United na JKT Ruvu (Machi 3 mwaka huu), mechi namba 136 kati&lt;br /&gt;ya African Lyon na Ruvu Shooting (Machi 7 mwaka huu) na mechi namba 137 kati ya JKT&lt;br /&gt;Oljoro na Toto Africans (Machi 7 mwaka huu).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Timu zilizotajwa mwanzo ndizo zitakazokuwa zinacheza kwenye viwanja vyake vya nyumbani.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MECHI ZA VPL WIKIENDI HII&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Wikiendi hii kutakuwa na mechi nne za VPL. Mechi za Jumapili (Februari 19 mwaka huu)&lt;br /&gt;ni kati ya Coastal Union itakayoikaribisha Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani&lt;br /&gt;jijini Tanga wakati Villa Squad itakuwa mgeni wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa&lt;br /&gt;Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma utakuwa mwenyeji wa&lt;br /&gt;mechi kati ya Polisi Dodoma.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LIGI DARAJA LA KWANZA (FDL)&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mechi za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) zinaendelea wikiendi hii ambapo kesho (Februari&lt;br /&gt;18 mwaka huu) kutakuwa na mechi ya Kundi C kati ya Polisi Morogoro na Rhino FC ya&lt;br /&gt;Tabora itakayochezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Keshokutwa (Februari 19 mwaka huu) Kundi A ni kati ya Morani FC na Temeke United&lt;br /&gt;zitacheza mkoani Manyara na Februari 20 mwaka huu ni Transit Camp na Polisi Dar es&lt;br /&gt;Salaam kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Burkina Faso na Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa&lt;br /&gt;Jamhuri.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kundi B Februari 19 mwaka huu Small Kids itaikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa&lt;br /&gt;Jamhuri mjini Morogoro, Mlale na Polisi Iringa kwenye Uwanja wa Majimaji na Tanzania&lt;br /&gt;Prisons na Majimaji kwenye Uwanja wa Sokoine.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4985453630701742358?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4985453630701742358/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4985453630701742358' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4985453630701742358'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4985453630701742358'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/marekebisho-ratiba-vpl.html' title='MAREKEBISHO RATIBA VPL'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1156481867785407091</id><published>2012-02-17T16:25:00.000+03:00</published><updated>2012-02-17T16:27:01.779+03:00</updated><title type='text'>Silinde ashika mikoba ya Mnyika Bungeni</title><content type='html'>Mbunge wa Mbozi Magharibi, Ernest David Silinde ameteuliwa kuwa Kaimu Katibu wa Wabunge wa CHADEMA. Uteuzi huo umefanywa na Kamati ya Wabunge wa CHADEMA katika mkutano wa sita wa bunge uliomalizika tarehe 10 Februari 2012.&lt;br /&gt;Kwa uteuzi huo Silinde anaziba nafasi iliyoachwa wazi na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ambaye amepangiwa majukumu mengine.&lt;br /&gt;Wakati huo huo, Kurugenzi ya Bunge na Halmashauri ya CHADEMA, inatambua mchango mkubwa wa wabunge wa CHADEMA katika kuwasilishwa, kujadiliwa na kupitishwa kwa muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba wa mwaka 2011 katika mkutano wa sita wa bunge. &lt;br /&gt;Kurugenzi ya Bunge na Halmashauri ya CHADEMA inatarajia wabunge kama walivyofanya katika hatua hii ya kwanza ya marekebisho yanayohusu tume na mchakato wa ukusanyaji maoni watafanya hivyo katika marekebisho yatayofuata ya sheria tajwa kuhusu utungaji wa katiba mpya kupitia bunge maalum la katiba na uhalalishaji wa katiba husika kupitia mchakato wa kura za maoni.&lt;br /&gt;Ikumbukwe kwamba tarehe 20 Novemba 2011 Kamati Kuu ya CHADEMA ilipitisha azimio la “Kuwapongeza wabunge wote wa CHADEMA kwa hatua thabiti na sahihi walizochukua, kwa niaba ya wananchi wa Tanzania, kupinga Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 kusomwa kwa mara ya pili na kujadiliwa Bungeni bila ya wananchi kushirikishwa kwa ukamilifu kutoa maoni yao na muswada kuboreshwa kwa kuzingatia muafaka wa kitaifa.&lt;br /&gt; “Kamati Kuu imewapongeza wabunge wa CHADEMA na wale NCCR Mageuzi kwa kususia vikao vya Bunge vilivyojadili na kupitisha Sheria hiyo kwani kushiriki kwao kungeipa uhalali wa kisiasa na kijamii Sheria ambayo haikuzingatia nia na haja ya dhati ya kuweka utaratibu wa kisheria utakaoiwezesha nchi yetu kupata Katiba Mpya yenye kuzingatia na kukidhi matakwa ya umma wa Watanzania”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa tarehe 12 Februari 2012 na:&lt;br /&gt;Tumaini Makene&lt;br /&gt;Afisa Habari wa CHADEMA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1156481867785407091?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1156481867785407091/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1156481867785407091' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1156481867785407091'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1156481867785407091'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/silinde-ashika-mikoba-ya-mnyika-bungeni.html' title='Silinde ashika mikoba ya Mnyika Bungeni'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3846267650169872015</id><published>2012-02-17T16:24:00.000+03:00</published><updated>2012-02-17T16:25:39.176+03:00</updated><title type='text'>Chadema yaitisha Mkutano mkuu wa kichama Segerea</title><content type='html'>TAARIFA KWA UMMA&lt;br /&gt;KURUGENZI ya Oganaizesheni  na Mafunzo ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inatoa taarifa kwa umma kuwa, tarehe 19, Februari, 2012, kutafanyika mkutano mkuu wa Wilaya ya Kichama ya Segerea, ambapo wajumbe wa mkutano huo watafanya uchaguzi mkuu kuchagua Kamati ya Utendaji ya Wilaya.&lt;br /&gt;Nafasi za uongozi huo wa wilaya ya kichama ya Segerea, ziko wazi kufuatia viongozi wote waliokuwepo kujiuzulu mbele ya kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Februari 16, 2012, baada ya muda wao wa kukaimu kufikia mwisho.&lt;br /&gt;Fomu za nafasi hizo zitaanza kutolewa leo Ijumaa, Februari 17, 2012 hadi Jumamosi, Februari 18, Makao Makuu ya CHADEMA na katika tovuti ya chama, www.chadema.or.tz.&lt;br /&gt;Wajumbe wote wa mkutano huo wanatakiwa kuhudhuria kufanya kazi hiyo muhimu ya ujenzi wa chama na taifa kwa ujumla. &lt;br /&gt;Imetolewa leo Dar es Salaam, Februari 17, 2012 na&lt;br /&gt;Benson Kigaila&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo CHADEMA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3846267650169872015?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3846267650169872015/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3846267650169872015' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3846267650169872015'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3846267650169872015'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/chadema-yaitisha-mkutano-mkuu-wa.html' title='Chadema yaitisha Mkutano mkuu wa kichama Segerea'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5712265633245053832</id><published>2012-02-17T15:56:00.002+03:00</published><updated>2012-02-17T16:06:12.284+03:00</updated><title type='text'>Ajali ya basi la Abood Mbezi makondeko</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-Y9p5h9YOx2E/Tz5Qmz60KgI/AAAAAAAAP9c/9dxHm9CExgY/s1600/abood%2Bchali1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 179px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-Y9p5h9YOx2E/Tz5Qmz60KgI/AAAAAAAAP9c/9dxHm9CExgY/s320/abood%2Bchali1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5710090005254515202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;watu 10 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Abood  kupinduka Mbezi Makondeko jijini dar es Salaam leo asubuhi.http://www.blogger.com/img/blank.gif&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Redio One, basi hilo lilipinduka wakati likijaribu kupisha njia msafara  uliokuwa ukitokea Dar.&lt;br /&gt;Ajali hiyo ilisababisha foleni kubwa nyakati za asubuhi&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-b7V0dJy3JJk/Tz5QnCNsGuI/AAAAAAAAP9o/fM3bk0ZaPfs/s1600/aboodchali2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 179px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-b7V0dJy3JJk/Tz5QnCNsGuI/AAAAAAAAP9o/fM3bk0ZaPfs/s320/aboodchali2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5710090009091775202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Source:&lt;a href="https://josephatlukaza.blogspot.com"&gt;https://josephatlukaza.blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5712265633245053832?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5712265633245053832/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5712265633245053832' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5712265633245053832'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5712265633245053832'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ajali-ya-basi-la-abood-mbezi-makondeko.html' title='Ajali ya basi la Abood Mbezi makondeko'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-Y9p5h9YOx2E/Tz5Qmz60KgI/AAAAAAAAP9c/9dxHm9CExgY/s72-c/abood%2Bchali1.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4407130457891758407</id><published>2012-02-16T20:05:00.000+03:00</published><updated>2012-02-16T20:06:00.130+03:00</updated><title type='text'>EU Ambassador presents credentials to the East African Community</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;EUROPEAN UNION&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dar es Salaam, 15 February 2012&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;PRESS RELEASE&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The European Union Ambassador to Tanzania and the East African Community (EAC), Filiberto Ceriani Sebregondi, today presented his letters of credence to the EAC's Secretary General, Dr. Richard Sezibera at the regional body's headquarters in Arusha, Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ambassador Sebregondi was late last year appointed to represent the European Union in Tanzania and EAC by the European Union High Representative for Foreign and Security Policy and Vice President of the European Commission, Baroness Catherine Ashton.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;His mandate covers overall representation of the EU and leading Member States on EU matters; political dialogue with Tanzania and EAC authorities; management of development assistance; trade relations; and public diplomacy with the host country.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;This is the second time that Ambassador Sebregondi is representing the European Union in the African continent. He worked for four years as the EU Ambassador and the Head of Delegation for the EU in Ghana the role that included regional responsibility over the Delegation in Togo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"The EU is committed to promote the regional integration as the main vehicle to opening the economies of the region and of the continent and to trigger trade, investments and economic growth through, among other things, the conclusion of an Economic Partnership Agreement with the EAC," said Ambassador Sebregondi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;For more information contact:&lt;br /&gt;Tom Vens, Head Political, Press and Information Section EU Delegation to Tanzania  &lt;br /&gt;Tom.VENS@eeas.europa.eu&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4407130457891758407?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4407130457891758407/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4407130457891758407' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4407130457891758407'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4407130457891758407'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/eu-ambassador-presents-credentials-to.html' title='EU Ambassador presents credentials to the East African Community'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2619590182400832703</id><published>2012-02-16T20:02:00.001+03:00</published><updated>2012-02-16T20:03:47.977+03:00</updated><title type='text'>UTEUZI WA MWENYEKITI WA BAVICHA KUWA MJUMBE WA BODI YA INTERNATIONAL YOUNG DEMOCRAT UNION (IYDU)</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;Umoja wa Vijana wa Vyama vya Mrengo wa Kati Duniani (International Young Democrat Union, IYDU) ulifanya mkutano wake mkuu nchini Australia uliokutanisha vijana zaidi 120 kutoka nchi mbalimbali kuanzia tarehe 8- 14 Jan 2012 ambapo BAVICHA kama mwanachama wa umoja huu iliwakilishwa na katibu Mkuu wake Deogratias Siale.&lt;br /&gt;Mkutano huu pamoja na mambo mengine ulikuwa na agenda ya uchaguzi wa viongozi kwa nafasi za mwenyekiti, naibu mwenyekiti, makamu wenyeviti 10 na mweka hazina. &lt;br /&gt;Katika uchaguzi huo, Bara la Africa lilikuwa na wagombea wawili katika nafasi ya makamu mwenyekiti ambao ni Charles Owerdu kutoka Ghana na John Heche, Mwenyekiti wa BAVICHA aliyependekezwa kuwania nafasi hiyo na nchi za Ufaransa, Ugiriki na Ujerumani.&lt;br /&gt;Demokrasia ilichukua mkondo wake ambapo wagombea wote wawili kutoka Afrika hawakupata kura za kutosha kushinda nafasi hiyo ambapo makamu wote 10 walitoka nchi za Ulaya, Amerika na Amerika ya Kusini na Bara la Afrika lilikosa mwakilishi katika bodi ya uongozi wa IYDU.&lt;br /&gt;Hivyo basi, bodi mpya ya IYDU iliyoketi jijini Sydney imemteua John Heche, mwenyekiti wa BAVICHA kuwa mjumbe mshiriki wa bodi ya IYDU ambapo atakuwa akisimamia masuala ya Afrika. Pia bodi hiyo imemteua Mercy Gakuya wa chama cha DP cha Kenya kushirikiana na Heche katika kusimamia mambo ya Afrika ambao kwa pamoja watakuwa wakihudhuria vikao vyote vya bodi hiyo kwa mwaka mzima.&lt;br /&gt;Hii ni fursa muhimu kwa BAVICHA na vijana wote wa Tanzania wanaohitaji mabadiliko na uhuru wa kweli kwani pamoja na mambo mengine itasaidia kuendelea kupata uzoefu, ujuzi na maarifa ya kuendesha mapambano ya kudai haki.&lt;br /&gt;Uteuzi huu unaendelea kuthibitisha kuwa Chadema siku zote kimekuwa kikipika na kutoa viongozi, si tu wanaoaminika na umma wa watanzania peke yake bali pia jumuiya za kimataifa  na ulimwengu kwa ujumla.&lt;br /&gt;Pia BAVICHA inapenda kutumia fursa hii kurekebisha kauli iliyotolewa na gazeti moja la kila siku hapa nchini kuwa BAVICHA ilikwenda Sydney kuomba misaada.&lt;br /&gt;Taarifa hiyo ilipotosha maudhui ya safari hii kwani kama mwanachama BAVICHA ilihudhuria mkutano huo na ilichofanya ni kuripoti hali halisi ya kisiasa inavyoendela hapa nchini kama walivyofanya wengine kwa nchi zao ili pia kuwapa fursa wajumbe wengine wa mkutano huo kujifunza jinsi ya kuendesha siasa kwa kua moja ya malengo ya mkutano huo ni kubadilishana uzoefu katika mambo haya hususani kwa vijana.&lt;br /&gt;Aidha, ni imani ya BAVICHA kuwa matatizo ya nchi hii kamwe hayawezi kutatuliwa kwa misaada kutoka nje ya nchi. Tunaamini kuwa matatizo ya watanzania yatatatuliwa na watanzania wenyewe kupitia viongozi bora wenye maono na malengo thabiti ya kizalendo pasi kutegemea wageni na kama wageni hawa wataona haja ya kusaidia basi watafanya hivyo kwa kuunga mkono tuu juhudi hizi pasi kupigiwa magoti, utamaduni ambao umekua ukiendekezwa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi ambao unaishushia hadhi nchi yetu.&lt;br /&gt;BAVICHA na Chadema kwa ujumla haitakaa hata siku moja kuabudu misaada ya nje ili kutatua matatizo ya watanzania.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa leo tarehe 16/02/2012, Dar es salaam na;&lt;br /&gt;Deogratias Siale&lt;br /&gt;Katibu Mkuu BAVICHA Taifa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;BARAZA LA VIJANA LA CHADEMA (BAVICHA)&lt;br /&gt;HSE NO 170, UFIPA STREET, KINONDONI, P.O.BOX 31191, Dar es salaam.Tel/Fax, (022)2668866, E-mail:info@chadema.or.tz, Website: www.chadema.or.tz&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2619590182400832703?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2619590182400832703/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2619590182400832703' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2619590182400832703'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2619590182400832703'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/uteuzi-wa-mwenyekiti-wa-bavicha-kuwa.html' title='UTEUZI WA MWENYEKITI WA BAVICHA KUWA MJUMBE WA BODI YA INTERNATIONAL YOUNG DEMOCRAT UNION (IYDU)'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7646872028133911111</id><published>2012-02-16T19:32:00.001+03:00</published><updated>2012-02-16T19:32:39.691+03:00</updated><title type='text'>POULSEN ATAJA 23 KUIVAA MSUMBIJI,AFC YASHUKA DARAJA</title><content type='html'>Kocha wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Jan Poulsen leo (Februari 16 mwaka huu)&lt;br /&gt;ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Mataifa&lt;br /&gt;ya Afrika (AFCON) ambalo fainali zake zitafanyika mwakani nchini Afrika Kusini.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kabla ya kuivaa Msumbiji kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi&lt;br /&gt;itakayochezwa Februari 29 mwaka huu, kikosi hicho kinatarajia kucheza mechi ya&lt;br /&gt;kirafiki Februari 23 mwaka huu dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC)&lt;br /&gt;itakayofanyika kwenye uwanja huo huo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Wachezaji wapya walioitwa kwa mara ya kwanza kwenye kikosi hicho kitakachoingia&lt;br /&gt;kambini Februari 20 mwaka huu jijini Dar es Salaam ni viungo Jonas Gerald (Simba) na&lt;br /&gt;Salum Abubakar (Azam).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kikosi kamili kinaundwa na makipa Shabani Kado (Yanga), Juma Kaseja (Simba) na&lt;br /&gt;Mwadini Ali (Azam). Mabeki ni nahodha Shadrack Nsajigwa (Yanga), Masoud Cholo&lt;br /&gt;(Simba), Aggrey Morris (Azam), Juma Nyoso (Simba), Juma Jabu (Simba), Stephen&lt;br /&gt;Mwasika (Yanga) na Kelvin Yondani (Simba).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Viungo ni Jonas Gerard (Simba), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar), Shomari Kapombe&lt;br /&gt;(Simba), Salum Abubakar (Azam), Mwinyi Kazimoto (Simba) na Abdi Kassim (Azam).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Washambuliaji ni Hussein Javu (Mtibwa Sugar), John Bocco (Azam), Nizar Khalfan&lt;br /&gt;(Philadelphia Union, Marekani), Mrisho Ngasa (Azam), Ally Badru Ally (Canal Suez,&lt;br /&gt;Misri), Uhuru Selemani (Simba) na Nsa Job (Villa Squad).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;AFC NAYO YASHUKA DARAJA&lt;br /&gt;Timu ya AFC ya Arusha imeshindwa kutokea kwenye mechi ya Kundi C ya Ligi Daraja la&lt;br /&gt;Kwanza (FDL) dhidi ya 94 KJ iliyokuwa ichezwe jana (Februari 15 mwaka huu) kwenye&lt;br /&gt;Uwanja wa Mabatini ulioko Mlandizi mkoani Pwani.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Kanuni ya 21 ya FDL timu yoyote inayoshindwa kufika kituoni na&lt;br /&gt;kusababisha mchezo husika kutochezwa itashushwa daraja hadi Ligi ya Taifa na matokeo&lt;br /&gt;ya michezo yake yote itafutwa ili kutoa uwiano sahihi kwa timu zilizobaki kwenye&lt;br /&gt;mashindano.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Si Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), msimamizi wa ligi hiyo Kituo cha&lt;br /&gt;Pwani wala Kamishna wa mechi hiyo Ramadhan Mahano waliokuwa na taarifa yoyote ya&lt;br /&gt;mapema juu ya AFC kushindwa kufika kituoni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;AFC ambayo mbali ya kushushwa daraja inatakiwa kulipa faini ya sh. milioni moja&lt;br /&gt;kabla ya kucheza Ligi ya Taifa msimu ujao. Sh. 500,000 kati ya hizo zitakwenda kwa&lt;br /&gt;timu ya 94 KJ iliyoingia gharama za kujiandaa kwa mechi hiyo ambapo wapinzani wao&lt;br /&gt;hawakufika uwanjani. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kundi C la ligi hiyo sasa linabakiwa na timu nne baada ya Manyoni FC ya Singida nayo&lt;br /&gt;kushuka daraja kwa kushindwa kucheza mechi yake dhidi ya Polisi Tabora iliyokuwa&lt;br /&gt;ifanyike Februari 12 mwaka huu Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Timu zilizobaki katika kundi hilo ambalo baada ya mbili kujitoa hakuna itakayoshuka&lt;br /&gt;daraja ni 94 KJ ya Dar es Salaam, Polisi Tabora, Polisi Morogoro na Rhino FC ya&lt;br /&gt;Tabora.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;SOURCE:&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7646872028133911111?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7646872028133911111/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7646872028133911111' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7646872028133911111'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7646872028133911111'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/poulsen-ataja-23-kuivaa-msumbijiafc.html' title='POULSEN ATAJA 23 KUIVAA MSUMBIJI,AFC YASHUKA DARAJA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6248827669233431882</id><published>2012-02-16T18:42:00.002+03:00</published><updated>2012-02-16T19:19:13.770+03:00</updated><title type='text'>Dk Bilal akiwa Namtumbo kwenye  beseni la elimu yake.. nyukilia</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-hJhs2XYHb0A/Tz0mqWh3-JI/AAAAAAAAP9A/92m74LxAvQs/s1600/ruvuma2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-hJhs2XYHb0A/Tz0mqWh3-JI/AAAAAAAAP9A/92m74LxAvQs/s320/ruvuma2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709762411619678354" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Makamu wa Rais ya sampuli za urani kutoka kwa mjiolojia wa kampuni ya Mantra Emauel Nyamusika(kulia) wakati alipotembela mgodi tarajali hapo jana&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  amewahakikishia wakazi wa mkoani Ruvuma na Tanzania kuwa  mradi wa mgodi tarajali wa Urani wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma utatekelezwa kwani una umuhimu kwa taifa&lt;br /&gt;Amesema hayo wakati akiongea na wafanyakazi wa mgodi huo unaomilikiwa na kampuni ya Mantra Tanzania kuwa serikali inafuatilia kwa makini kuona madini haya muhimu ya nalifaidisha Taifa&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa anao uhakika kuwa taratibu zote za hifadhi ya mazingira na usalama wa maisha ya wakazi wan aozunguka eneo hilo umetiliwa mkazo nwa  Kampuni kwa kushirikiana na taasisi ya nishati ya atomiki Tanzania&lt;br /&gt;.Aidha kwa upande wake Mkurugenzi wa Mantra Tanzania Asa Mwaipopo ameiomba serikali kuharakisha taratibu za kisheria ili mgfodi uweze kuanza hapo mwaka ujao kwa ujenzi na ifikiapo 2014 uzalishaji uanzae ili ajira zipatazo 1600 wakati wa ujenzi wa mgodi na zingine 400 wakati wa uzalishaji ziweze kupatikana kwa watanzania na kusaidia kukuza uchumi.&lt;br /&gt; &lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-PnLDnVN3GcQ/Tz0mp0eswXI/AAAAAAAAP80/fU2uv6iDYF8/s1600/ruvuma1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-PnLDnVN3GcQ/Tz0mp0eswXI/AAAAAAAAP80/fU2uv6iDYF8/s320/ruvuma1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709762402479554930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Makamu Rais DKT Mohamed Ghalib Bilal akihutubia mamia ya wananchi wa kijiji cha Likuyu sekamaganga wilaya ya Namtumbo wakati alipofanya ziara katika mradi wa urani&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-oyQHI9uAq0I/Tz0mrrGiZZI/AAAAAAAAP9M/Nl9EkdgHJnk/s1600/ruvuma3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-oyQHI9uAq0I/Tz0mrrGiZZI/AAAAAAAAP9M/Nl9EkdgHJnk/s320/ruvuma3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709762434322032018" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Makamu wa Rais akipokewa na viongozi wa kampuni ya Mantra wakati alipowasili katika eneo litakalojengwa mgodi wa Uranium wilaya ya Namtumbo jana&lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;SOURCE:Revocatus A.Kassimba&lt;br /&gt;Information Officer&lt;br /&gt;Regional Commissioner's Office-Ruvuma&lt;br /&gt;P O BOX 74&lt;br /&gt;Songea&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6248827669233431882?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6248827669233431882/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6248827669233431882' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6248827669233431882'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6248827669233431882'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/dk-bilal-akiwa-namtumbo-kwenye-beseni.html' title='Dk Bilal akiwa Namtumbo kwenye  beseni la elimu yake.. nyukilia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-hJhs2XYHb0A/Tz0mqWh3-JI/AAAAAAAAP9A/92m74LxAvQs/s72-c/ruvuma2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7406351788594186422</id><published>2012-02-16T17:55:00.002+03:00</published><updated>2012-02-16T17:58:52.272+03:00</updated><title type='text'>aibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika afika Ikulu</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-MglN89wIFk4/Tz0Zphr2P9I/AAAAAAAAP8o/qOyx0oobw9s/s1600/akizungumza%2Bnao.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-MglN89wIFk4/Tz0Zphr2P9I/AAAAAAAAP8o/qOyx0oobw9s/s320/akizungumza%2Bnao.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709748103783268306" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bw. Erastus Mwencha,  Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katikati ni Kamishna wa Maendeleo ya vijijini na Kilimo wa Kamisheni hiyo, Bi Rhoda Tumusiime waliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2012. Viongozi hawa wako nchini kuhudhuria Mkutano wa Mawaziri wa Kilimo toka nchi Saba za Afrika unaofunguliwa kesho (January 17, 2012) Kilimanjaro Hyatt hotel jijini Dar es salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;PICHA NA IKULU&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7406351788594186422?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7406351788594186422/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7406351788594186422' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7406351788594186422'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7406351788594186422'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/aibu-katibu-mkuu-wa-kamisheni-ya-umoja.html' title='aibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika afika Ikulu'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-MglN89wIFk4/Tz0Zphr2P9I/AAAAAAAAP8o/qOyx0oobw9s/s72-c/akizungumza%2Bnao.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6587035150859178928</id><published>2012-02-16T17:31:00.000+03:00</published><updated>2012-02-16T17:32:37.814+03:00</updated><title type='text'>GARI LA RC LAGONGWA NA BAJAJI</title><content type='html'>DEREVA wa bajaji Yusuph Saed (20) Mkazi wa Mjini Morogoro anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kugonga gari la mkuu wa mkoa wa Morogoro na kusababisha hasara na uhalibifu wa gari hilo.&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo kamanda wa polisi mkoani hapa Adolphina Chialo alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Februari 14 mwaka huu majira ya saa 1:30 asubuhi eneo la Mtawala Manispaa ya Morogoro.&lt;br /&gt;Kamanda Chialo aliitaja bajaji iliyosababisha ajali kuwa ni yenye namba za usajili T 560 BQJ aina ya Cruiser ambayo iligonga gari hilo la mkuu wa mkoa wa Morogoro lenye namba za usajili STK 6601 Toyota Landcruser VXV8 lililokuwa likiendeshwa na Abeid Namangaya (41) mkazi wa mjini hapa.&lt;br /&gt;Chialo alisema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa bajaji kwani alikuwa akiendesha kulia zaidi mwa barabara tena kwa mwendo kasi.&lt;br /&gt;Dereva huyo atafikishwa mahakamani mara baada ya uchunguzi wa polisi utakapokamilika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6587035150859178928?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6587035150859178928/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6587035150859178928' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6587035150859178928'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6587035150859178928'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/gari-la-rc-lagongwa-na-bajaji.html' title='GARI LA RC LAGONGWA NA BAJAJI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3775229606296861806</id><published>2012-02-16T17:27:00.001+03:00</published><updated>2012-02-16T17:29:35.470+03:00</updated><title type='text'></title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-dXO3YOHw-2E/Tz0SuDbjkMI/AAAAAAAAP8c/LiZbiUZKJ0o/s1600/vitanda%2Bvya%2Bumeme.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-dXO3YOHw-2E/Tz0SuDbjkMI/AAAAAAAAP8c/LiZbiUZKJ0o/s320/vitanda%2Bvya%2Bumeme.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709740484979822786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (Mwenye suti nyeusi) akikabidhi msaada wa vitanda 30 vinavyotumia umeme, viti vya miguu miwili 12 na vifaa vingine alivyotoa msaada kwa ajili ya hospitali ya manispaa ya Iringa.&lt;br /&gt;source:Frank Leonard)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3775229606296861806?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3775229606296861806/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3775229606296861806' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3775229606296861806'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3775229606296861806'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mbunge-wa-jimbo-la-iringa-mjini.html' title=''/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-dXO3YOHw-2E/Tz0SuDbjkMI/AAAAAAAAP8c/LiZbiUZKJ0o/s72-c/vitanda%2Bvya%2Bumeme.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3312874358298585398</id><published>2012-02-16T16:48:00.002+03:00</published><updated>2012-02-16T16:49:51.640+03:00</updated><title type='text'>He Whitney Houston kumbe alikuwa shoga!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-bPOOiTAnusE/Tz0JdmjGJcI/AAAAAAAAP8Q/zmzFWPZEm40/s1600/whitney.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 242px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-bPOOiTAnusE/Tz0JdmjGJcI/AAAAAAAAP8Q/zmzFWPZEm40/s320/whitney.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709730306744264130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;ZIPO taarifa ambazo  hazina ubishi kuwa ni za kweli, marehemu Whitney Houston alikuwa shoga.&lt;br /&gt;Na kutokana naushoga wake (msagaji) alijisukuma katika dimbwi la ulevi na mihadarati kwa kuwa alikuwa anashindwa kuishi maisha ya ndumakuwili, imedaiwa.&lt;br /&gt;Nywinywila zimekuwa zikizagaa kwa takribani miaka 30 kwamba msanii huyo ni msagaji, lakini zilitulizwa kwa sababu ya kumheshimu ingawa sasa zinamwagwa wazi kutokana na kutokuwapo kwake.&lt;br /&gt;Imeelezwa kuwa kazi hiyo alianza akiwa na msaidizi wake wa zamani.&lt;br /&gt;Mwanaharakati mmoja wa mashoga Peter Tatchell alisema hata ndoa yake kwa Bobby Brown ilikuwa kama shoo taimu tu lakini si kutoka moyoni.&lt;br /&gt;Ndio kusema bibiye kwa namna fulani alijihusisha na hebu endelea kwa inglish... secret lesbian and binged on the drugs and alcohol that killed her because she was torn over living a lie, it has been claimed.&lt;br /&gt;Rumours have been circulating for 30 years that the singer had had a secret relationship with her ex-assistant, but her friends have now publicly spoken about her sexuality following her death.&lt;br /&gt;Gay rights activist Peter Tatchell even said her marriage to Bobby Brown was a smokescreen.&lt;br /&gt;'It’s important to tell the truth about this aspect of her life,' he told the Daily Star. &lt;br /&gt;Former X Factor contestant Stacy Francis' catfight with cougar Whitney over lover Ray J just two days before tragic death &lt;br /&gt;Morbid Dearly Departed tour in LA adds Whitney hotel to its list &lt;br /&gt;'Whitney was happiest and at her peak in the 1980s when she was with her female partner.&lt;br /&gt;'They were so loved up and joyful together. Perhaps her inability to accept and express her same-sex love contributed to her substance abuse and decline.'&lt;br /&gt;He added: 'She was pressured into the Bobby Brown marriage. It was a disaster. Her life started going downhill soon afterwards.'&lt;br /&gt; Lovers? Whitney was said to be in an on-off relationship with rapper Ray J, who was 18 years her junior&lt;br /&gt;The British-based campaigner did not name the woman but other sources have said it was Robyn Crawford.&lt;br /&gt;The pair had know each other since Whitney was 16 and Robyn dropped out of Monmouth College to work for the singer.&lt;br /&gt;Just hours after her death, she wrote a Valentine’s Day-themed tribute to Whitney hours after she died, which was published in a U.S. magazine.&lt;br /&gt;It said: 'I first met Whitney when I was 16 and knew right away she was special.&lt;br /&gt;'Whitney was modelling and had peachy-coloured skin and didn’t look like anyone I’d ever met in New Jersey.&lt;br /&gt;'I can’t believe that I’m never going to hug her or hear her laughter again.'&lt;br /&gt;The claims have also been backed up by Whitney's sister-in-law and her ex-bodyguard Kevin Ammons.&lt;br /&gt;Even her former husband Bobby has hinted their marriage was a cover-up for her desire for women.&lt;br /&gt;Bobby's sister Tina Brown said: 'I saw her with a woman a couple of times.'&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3312874358298585398?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3312874358298585398/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3312874358298585398' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3312874358298585398'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3312874358298585398'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/he-whitney-houston-kumbe-alikuwa-shoga.html' title='He Whitney Houston kumbe alikuwa shoga!'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-bPOOiTAnusE/Tz0JdmjGJcI/AAAAAAAAP8Q/zmzFWPZEm40/s72-c/whitney.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1704589437667501358</id><published>2012-02-15T19:10:00.003+03:00</published><updated>2012-02-15T19:24:52.416+03:00</updated><title type='text'>Miss Tanzania sasa ni “REDDS Miss Tanzania” kwa mkataba wa milioni 700/-</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-0egND1gjWK4/TzvZu-hiksI/AAAAAAAAP8E/MueOZ3jKlvw/s1600/kusaini%2Bmiss%2Btanzania.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-0egND1gjWK4/TzvZu-hiksI/AAAAAAAAP8E/MueOZ3jKlvw/s320/kusaini%2Bmiss%2Btanzania.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709396353703121602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mratibu wa  Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga(kushoto) na Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia nchini(TBL) Fimbo Butalla wakisaini Dar es Salaam jana hati ya mkataba wa kampuni hiyo kuwa mdhamini mkuu wa Mashindano ya Redd’s Miss Tanzania kwa miaka mitatu. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo, Prashant Patel na meneja wa kinywaji hicho, Victoria Kimaro. Kulia ni Salha Israel, Miss Tanzaia 2012.&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SHINDANO maarufu la ulimbwende la Tanzania la Miss Tanzania kuanzia mwaka huu litaanza kutambulika kama “REDDS Miss Tanzania”  baada ya kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Redds Original  kuchukua rasmi udhamini mkuu wa shindano hilo.&lt;br /&gt;Akitangaza  rasmi  TBL kuchukua udhamini mkuu wa shindano hilo lililojijengea umaarufu mkubwa katika ukanda huu wa Afrika Mashariki , Meneja  wa Masoko wa kampuni hiyo Fimbo Butallah  alisema  TBL kupitia kinywaji chake hicho cha Redds  itakuwa mdhamini mkuu wa shindano hilo kwa miaka mitatu kuanzia sasa hadi mwaka  2014.&lt;br /&gt;Hapo kabla Redds  ilikuwa  ikishiriki kwenye shindano hilo la ulimbwende   kama  mdhamini mwenza  ikiwa  ndicho kinywaji rasmi cha shindano hilo  na imekuwa ikitoa mchango mkubwa katika shindano hilo   na tasnia ya urembo kwa ujumla hapa nchini .&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Butallah  , TBL  imesaini mkataba  huo wa udhamini  ambao unaanza rasmi mwaka huu wenye thamani ya shilingi milioni 700.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1704589437667501358?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1704589437667501358/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1704589437667501358' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1704589437667501358'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1704589437667501358'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/miss-tanzania-sasa-ni-redds-miss.html' title='Miss Tanzania sasa ni “REDDS Miss Tanzania” kwa mkataba wa milioni 700/-'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-0egND1gjWK4/TzvZu-hiksI/AAAAAAAAP8E/MueOZ3jKlvw/s72-c/kusaini%2Bmiss%2Btanzania.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4243087354928672825</id><published>2012-02-15T18:48:00.002+03:00</published><updated>2012-02-15T18:55:02.298+03:00</updated><title type='text'>Soko  la Ubungo mataa lashamiri</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-9f69m8g2bbE/TzvU1BllHxI/AAAAAAAAP7s/GjuusC3IdGY/s1600/soko%2Bla%2Bubungo%2B2.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 191px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-9f69m8g2bbE/TzvU1BllHxI/AAAAAAAAP7s/GjuusC3IdGY/s320/soko%2Bla%2Bubungo%2B2.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709390960046448402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Wafanyabiashara wadogo wadogo wajulikanao kama wamachinga wamekuwa wakipanga biashara zao kuzunguka kituo cha kidogo cha mabasi Ubungo na pia kuta za kituo kikuu cha umeme Ubungo, barabara ya Mandela.&lt;br /&gt;Siku hizi biashara imeshamiri na pasi shaka  hapa pako huru sana na kama hapako huru patakapoua mamia ndipo pataonekana tatizo lake.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-s0hGjNlIdtw/TzvU09x_ggI/AAAAAAAAP7g/5MhLcJKxsIA/s1600/soko%2Bla%2Bubungo%2B1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-s0hGjNlIdtw/TzvU09x_ggI/AAAAAAAAP7g/5MhLcJKxsIA/s320/soko%2Bla%2Bubungo%2B1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709390959024767490" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Hapa pana kila kitu kuanzia bidhaa za chakula mpaka mavazi, kuanzia zana za umeme mpaka minada isiyoijulikana vyema.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();}http://www.blogger.com/img/blank.gif catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-M3aCOGKJriE/TzvU1uIM1TI/AAAAAAAAP74/uemO5_9-3Ps/s1600/soko%2Bla%2Bubungo%2B3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 192px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-M3aCOGKJriE/TzvU1uIM1TI/AAAAAAAAP74/uemO5_9-3Ps/s320/soko%2Bla%2Bubungo%2B3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709390972002817330" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Pana kamari pia.&lt;br /&gt;Kimsingi kila kitu kinapatikana hakuna haja ya kwenda sokoni ama kwenye maduka.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="source:http://kapingaz.blogspot.com"&gt;source:http://kapingaz.blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4243087354928672825?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4243087354928672825/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4243087354928672825' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4243087354928672825'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4243087354928672825'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/soko-la-ubungo-mataa-lashamiri.html' title='Soko  la Ubungo mataa lashamiri'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-9f69m8g2bbE/TzvU1BllHxI/AAAAAAAAP7s/GjuusC3IdGY/s72-c/soko%2Bla%2Bubungo%2B2.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7120534074045531295</id><published>2012-02-15T18:17:00.003+03:00</published><updated>2012-02-15T18:40:37.280+03:00</updated><title type='text'>JK ashiriki ufyatuaji tofali kambi ya vijana Msoga</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-0cF3TW1sPYQ/TzvRj_A9tHI/AAAAAAAAP7I/wHQ6zJ7z53g/s1600/jk%2Bna%2Btofali.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-0cF3TW1sPYQ/TzvRj_A9tHI/AAAAAAAAP7I/wHQ6zJ7z53g/s320/jk%2Bna%2Btofali.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709387368763339890" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete  leo alishiriki katika hatua mbalimbali za ufyatuaji wa &lt;br /&gt;matofali ya kisasa kwenye kambi ya mafunzo ya ujasiriamali kijijini Msoga.&lt;br /&gt;Kambi hiyo yenye vijana 380 toka wilaya zote za Mkoa wa Pwani ni moja kati ya kambi kadhaa zinazoandaliwa mkoani humo kufunza vijana kuwa wajasiriamali.&lt;br /&gt;Kambi hizo zitakazohamishwa kila wilaya kati ya wilaya za mkoa wa Pwani  za Kibaha mjini Kibaha vijijini, Mafia, Kisarawe, Mkuranga na Rufiji zitatumika kufanya shughuli mbalimbali. &lt;br /&gt;Kambi hiyo ya mwezi mmoja  iliyo katika kijiji cha Msoga, wilaya ya Bagamoyo ambayo ni ya ujenzi, ikimalizika itafuatia ya upandaji miti na mazingira itakayokuwa katika Chuo cha Elimu Kibaha. &lt;br /&gt;Baada ya Hapo itafuatiwa kambi ya ukulima wa mazao ya mbogamboga wilayani Rufiji.Rais Kikwete ameusifu mkoa wa Pwani kwa kubuni kambi  hizo na kutaka mikoa mingine iige mfano huo ili kuwapa vijana ujuzi wa kuweza kujiajiri wenyewe. &lt;br /&gt;Ameahidi kuendelea kusaidia vikundi vya vijana vya aina hiyo ambavyo amevitaja kama hazina nzuri ya maendeleo na utatuzi wa vitendo wa tatizo la ajira.&lt;br /&gt;Rais Kikwete ametoa mashine za kufyatulia matofali ya kisasa 76 ambapo kila moja kati ya vikundi 38 vilivyopo vitapewa mashine mbili mpya na waliyofanyia kazi. &lt;br /&gt;Pia Amewapa vijana hao mifuko 3800 ya saruji (kila kundi mifuko 100), viatu vigumu  pamoja na mananasi toka shambani kwake.&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-gk9FbPHEBsM/TzvRiy2-yHI/AAAAAAAAP7A/MFvW1F90O8Y/s1600/KATIKA%2BUFYATUAJI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 259px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-gk9FbPHEBsM/TzvRiy2-yHI/AAAAAAAAP7A/MFvW1F90O8Y/s320/KATIKA%2BUFYATUAJI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709387348320372850" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-gCfApx6VPuk/TzvRiVWLLhI/AAAAAAAAP6w/s114NKSDkm0/s1600/JK%2BAKICHUJA%2BMCHANGA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 248px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-gCfApx6VPuk/TzvRiVWLLhI/AAAAAAAAP6w/s114NKSDkm0/s320/JK%2BAKICHUJA%2BMCHANGA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709387340398145042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-_Gg5goPSwNw/TzvRj_LzZiI/AAAAAAAAP7U/7Sx-0W1qLCM/s1600/AKIBEBA%2BTOFALI.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-_Gg5goPSwNw/TzvRj_LzZiI/AAAAAAAAP7U/7Sx-0W1qLCM/s320/AKIBEBA%2BTOFALI.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709387368808801826" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7120534074045531295?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7120534074045531295/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7120534074045531295' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7120534074045531295'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7120534074045531295'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-ashiriki-ufyatuaji-tofali-kambi-ya.html' title='JK ashiriki ufyatuaji tofali kambi ya vijana Msoga'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-0cF3TW1sPYQ/TzvRj_A9tHI/AAAAAAAAP7I/wHQ6zJ7z53g/s72-c/jk%2Bna%2Btofali.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5690892090883105716</id><published>2012-02-15T17:59:00.002+03:00</published><updated>2012-02-15T18:17:05.589+03:00</updated><title type='text'>Mkutano wa UWT baraza kuu Dodoma</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-QT3BwfnFs6c/TzvJDrqlVcI/AAAAAAAAP6Y/VBojvDblB_k/s1600/uwt%2Bleo%2B1.BMP"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-QT3BwfnFs6c/TzvJDrqlVcI/AAAAAAAAP6Y/VBojvDblB_k/s320/uwt%2Bleo%2B1.BMP" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709378017720358338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Wajumbe wa Baraza Kuu la UWT wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama alipohutubia baraza hilo, Makao Makuu ya Chama MjiniDodoma&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-6A6xsqWZlCw/TzvJC2-HOiI/AAAAAAAAP6Q/iWDePC3olnc/s1600/uwt%2B3.BMP"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-6A6xsqWZlCw/TzvJC2-HOiI/AAAAAAAAP6Q/iWDePC3olnc/s320/uwt%2B3.BMP" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709378003575192098" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Wajumbe wa Baraza kuu la UWT wakimtunza mke wa Katibu Mkuu wa CCM, Mama Toto.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-3SY9Z-I2BL4/TzvJBVv2QjI/AAAAAAAAP6A/nGqc04UR9xU/s1600/MUKAMA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-3SY9Z-I2BL4/TzvJBVv2QjI/AAAAAAAAP6A/nGqc04UR9xU/s320/MUKAMA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709377977477120562" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Willson Mukama akifafanua jambo kw awajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa wanawake wa Chama hicho (UWT) jana mjini Dodoma. Kushoto ni Mwenyekiti wa Uwt Sophia Simba na kulia ni Mke wa Mukama Mama Toto&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-6CJRN1CUy0o/TzvJETsUKwI/AAAAAAAAP6k/aywGbNY1Pww/s1600/uwt%2Bleo%2B2.BMP"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-6CJRN1CUy0o/TzvJETsUKwI/AAAAAAAAP6k/aywGbNY1Pww/s320/uwt%2Bleo%2B2.BMP" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709378028465040130" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Wajumbe wa Baraza Kuu la UWT wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama alipohutubia baraza hilo, Makao Makuu ya Chama Mjini Dodoma leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5690892090883105716?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5690892090883105716/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5690892090883105716' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5690892090883105716'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5690892090883105716'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mkutano-wa-uwt-baraza-kuu-dodoma.html' title='Mkutano wa UWT baraza kuu Dodoma'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-QT3BwfnFs6c/TzvJDrqlVcI/AAAAAAAAP6Y/VBojvDblB_k/s72-c/uwt%2Bleo%2B1.BMP' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1500127233965318284</id><published>2012-02-15T15:36:00.001+03:00</published><updated>2012-02-15T15:39:23.112+03:00</updated><title type='text'>TAARIFA KUHUSU BARAZA LA USHAURI LA WAZEE WA CCM</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-VeIDqPJO30U/TzunamJMdII/AAAAAAAAP50/FDi7TwLjZaA/s1600/Nape%2Bakizungumza%2Bleo%252C%2BLumumba%2BDar%2Bes%2BSalaam.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 206px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-VeIDqPJO30U/TzunamJMdII/AAAAAAAAP50/FDi7TwLjZaA/s320/Nape%2Bakizungumza%2Bleo%252C%2BLumumba%2BDar%2Bes%2BSalaam.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709341027979785346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na tafsiri zisizosahihi juu ya baadhi ya maamuzi yaliyofanywa na kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichoketi mjini Dodoma tarehe 12/02/2012 chini ya uenyekiti wa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa CCM Taifa.&lt;br /&gt;Jambo kubwa ambalo linapotoshwa sana ni la uamuzi wa NEC kuunda baraza la Ushauri la Wazee. Uamuzi ambao kimsingi ulifikiwa kwenye kikao cha NEC cha mwezi Aprili mwaka 2011 Mjini Dodoma kikao ambacho kiliridhia kufanyika kwa mageuzi ndani ya Chama.&lt;br /&gt;Kikao cha tarehe 12/02/2012 cha NEC kiliridhia tu mabadiliko ya katiba ya CCM ya mwaka 1977 toleo la 2010 ili kuruhusu kuundwa kwa baraza hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MSINGI WA UAMUZI HUU.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;#. Ni ushauri wa wastaafu wenyewe.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazo la kuundwa kwa baraza hili lilitokana na ushauri wa baadhi ya wazee wenyewe wastaafu wakizingatia wingi na urefu wa vikao husika, na si mpango au mkakati wa kuwaengua makusudi wastaafu hao kama inavyodaiwa na baadhi ya wapotoshaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa ni ushauri wao kwamba baada ya kustaafu badala ya kulazimika kuhudhuria vikao vya kitaifa kila mara basi wapewe muda wa kupumzika na wanapotakiwa kutoa ushauri watumiwe badala ya utaratibu wa sasa wa kulazimika kuhudhuria vikao ambavyo kwakweli ni vingi na wakati mwingine huisha usiku wa manane.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;#. Umuhimu wa busara zao kwa Chama.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya wazo la wazee wetu kupumzika, huku tukizingatia kuwa busara zao bado ni muhimu sana kwa Chama na Taifa, busara ikatumika badala ya kupumzika kabisa basi tuunde Baraza la Ushauri la Viongozi wa Kitaifa wastaafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na hii haina maana kuwa hawaruhusiwi kuhudhuria vikao vya Chama na kuwa hawatatumika kwa kazi za Chama na Taifa kwa ujumla, isipokuwa mabadiliko haya yanaondoa ulazima wa wao kuhudhuria vikao hivyo kama ilivyokuwa mwanzo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;#. Ni namna bora ya kuwaenzi kwa mchango wao kwa Chama.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chama makini chochote kitatafuta utaratibu bora wa kuwaenzi waasisi wake na kuendelea kuvuna busara na hekima zao katika kuendelea kukijenga Chama. Katika hili CCM imeonyesha mfano mzuri unaostahili kuigwa na vyama vingine. Kuundwa kwa baraza hili na kutambuliwa rasmi na katiba ya Chama ni uthibitisho tosha wa namna CCM inavyothamini wastaafu hawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwaundia baraza la ushauri ni namna nzuri ya kuendelea kutumia busara zao kwa kutumia chombo kinachotambulika kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Wajumbe wa baraza hili.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uamuzi huo wajumbe wa baraza hili ni:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. Wenyeviti wastaafu wa CCM Taifa ambao kwa utamaduni wa CCM huwa pia ndio Marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. Makamu wenyeviti wastaafu bara na visiwani, ambapo kwa Zanzibar kwa mujibu wa utamaduni wa CCM ndio huwa pia marais wastaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa baraza hili atakuwa ni Mwenyekiti yule aliyewatangulia wenzake kustaafu. (seniority). Na watakutana pale tu wanapoona ipo haja ya kukutana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaweza kuombwa kuhudhuria vikao vya Kitaifa au wao kuomba kuhudhuria kulingana na mazingira na mahitaji ya wakati husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi kubwa ya baraza hili ni kushauri Chama na serikali zake zinazotokana na CCM na si kudhibiti Chama, Serikali na Viongozi kama inavyotafisiriwa na baadhi ya wapotoshaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM inawasihi wale wanaoendelea kupotosha maamuzi haya kwa makusudi au kwa bahati mbaya kuacha mara moja upotoshaji huo, kwani una lengo la kuonyesha kuna mgogoro mkubwa kati ya Chama na wazee wetu wastaafu wakati ukweli si huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chama Cha Mapinduzi kinathamini sana busara na mchango wa wastaafu hawa katika ujenzi wa Chama na Taifa kwa ujumla hakiwezi kuwaong'oa au kuwatupa kama inavyojaribu kupotoshwa na baadhi ya watu. Tuwatendee haki wazee wetu hawa badala ya kutumia majina yao na uamuzi wa Chama ambao una baraka zao vibaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Nape Moses Nnauye&lt;br /&gt;KATIBU WA NEC ITIKADI&lt;br /&gt; NA UENEZI CCM TAIFA&lt;br /&gt;15/2/2012&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1500127233965318284?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1500127233965318284/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1500127233965318284' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1500127233965318284'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1500127233965318284'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/taarifa-kuhusu-baraza-la-ushauri-la.html' title='TAARIFA KUHUSU BARAZA LA USHAURI LA WAZEE WA CCM'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-VeIDqPJO30U/TzunamJMdII/AAAAAAAAP50/FDi7TwLjZaA/s72-c/Nape%2Bakizungumza%2Bleo%252C%2BLumumba%2BDar%2Bes%2BSalaam.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8271027804357513235</id><published>2012-02-15T13:14:00.002+03:00</published><updated>2012-02-15T13:16:57.146+03:00</updated><title type='text'>RC BENDERA AKIMTWISHA NDOO YA MAJI BINTI WA KIJIJI CHA PEMBA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-A-IlzhOkB9s/TzuGCXlHWUI/AAAAAAAAP5o/uT7kQHRW0fM/s1600/RC%2BBENDERA%2BKUMTWISHA%2BMAJI%2BBINTI..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-A-IlzhOkB9s/TzuGCXlHWUI/AAAAAAAAP5o/uT7kQHRW0fM/s320/RC%2BBENDERA%2BKUMTWISHA%2BMAJI%2BBINTI..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709304327869782338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera,akimtwisha ndoo ya maji ,&lt;br /&gt;Mwanahamisi Ramadhani , mkazi wa Kijiji cha Pemba, Wikaya ya Mvomero, Mkoa&lt;br /&gt;wa Morogoro juzi , alipotembelea kukagua miradi ya maji iliyopo kwenye&lt;br /&gt;Wilaya hiyo akiwa na Wataalamu wa sekta ya Maji wa Mkoa na Wilaya hiyo,&lt;br /&gt;Kijiji cha Pemba kimepatiwa maji ya maporomoko kupitia mradi wa  i WASH.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8271027804357513235?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8271027804357513235/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8271027804357513235' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8271027804357513235'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8271027804357513235'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/rc-bendera-akimtwisha-ndoo-ya-maji.html' title='RC BENDERA AKIMTWISHA NDOO YA MAJI BINTI WA KIJIJI CHA PEMBA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-A-IlzhOkB9s/TzuGCXlHWUI/AAAAAAAAP5o/uT7kQHRW0fM/s72-c/RC%2BBENDERA%2BKUMTWISHA%2BMAJI%2BBINTI..JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5042777073320350199</id><published>2012-02-15T12:39:00.004+03:00</published><updated>2012-02-15T13:11:49.145+03:00</updated><title type='text'>hali yazidi kuwa tete Ugiriki and that means..Greece 'can't take any more cuts'</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-Jp2ACKHhTyE/TzuEml75IpI/AAAAAAAAP5E/0RVBlqsB5pg/s1600/Ras%2BMakunja%2Bakerwa%2Bna%2Bmpiga%2BDrum%252CUgiriki.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-Jp2ACKHhTyE/TzuEml75IpI/AAAAAAAAP5E/0RVBlqsB5pg/s320/Ras%2BMakunja%2Bakerwa%2Bna%2Bmpiga%2BDrum%252CUgiriki.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709302751175451282" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;WANANCHI wa Ugiriki wamegeuka jiwe baada ya kutambua kwamba hatua za kujifunga mkwiji zilizotangazwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) na Shirika la fedha la Kimataifa (IMF) zinazidisha machungu badala ya kuyapunguza.&lt;br /&gt;Kutokana na kukwamwa, na tukio hilo wananchi haow ameingia mtaani na kuleta vurumai lililosababisha askari wa kutuliza ghasia kuwa kazini katika nchi ambayo demokrasia ijulikanayo leo duniani ndiko ilikoanzia.&lt;br /&gt;Waziri wa mambo ya ndani wa Ugiriki Christos Papoutsis  amesema kwamba Wagiriki wamechukua uamuzi mgumu kukubaliana na masharti ya EU na sasa hawawezi tena kwa umombo alisema Greece had made "superhuman" efforts to comply, and the people "can't take any more".&lt;br /&gt;Watu wanaoshughulikia masuala ya uchumi wa EU (Eurozone chiefs) walivunja mkutano na maofisa wa serikali ya Ugiriki wakisema kwamba ni lazima Ugiriki ipunguze zaidi matumizi yake.&lt;br /&gt;Wakopeshaji wa kimataifa wameitaka Ugiriki kupunguza zaidi matumizi ili iweze kupatiwa euro bilioni 130 inazohitaji.&lt;br /&gt;Bunge la Ugiriki limepitisha mapendekezo ya kukaza mkwiji mwishoni mwa wiki pamja na vurugu  zinazokumba nchi hiyo dhidi ya maamuzi hayo.&lt;br /&gt;Pamoja na maamuzi hayo mawaziri wa Ulaya pia wanaitaka serikali ya Ugiriki kujibana zaidi kwa kuondoa euro milioni 325 na kuitaka nchi hiyo kutoa uhakikisho kwamba itaendelea na jukumu hilo hataka kama serikali itabadilishwa.Ugiriki inafanya uchaguzi mkuu Aprili mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-GNLFkxHBNoM/TzuEnKrFzOI/AAAAAAAAP5U/LSpjVSEoiyY/s1600/akina%2BRas%2Bmakunja%2Bna%2Bwandamanaji%2Bwakigombea%2Blango%2Bla%2Bbunge.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 248px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-GNLFkxHBNoM/TzuEnKrFzOI/AAAAAAAAP5U/LSpjVSEoiyY/s320/akina%2BRas%2Bmakunja%2Bna%2Bwandamanaji%2Bwakigombea%2Blango%2Bla%2Bbunge.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709302761037090018" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Antonis Samaras, whose New Democracy party is a member of the governing coalition, has hinted that he would try to renegotiate the bailout deal after the election.&lt;br /&gt;Reports say he has refused to give a written assurance that the cuts would be enforced.&lt;br /&gt;After a cabinet meeting late on Tuesday, Mr Papoutsis, a member of the other major coalition party Pasok, said Greece had "made all the efforts that it needed to do".&lt;br /&gt;"The people cannot take any more. The government is making superhuman efforts, and we have reached the limits of the social and economic system," he said.&lt;br /&gt;"Greece has owned up to its own responsibilities, and the sacrifices of the Greek people are huge. I believe it is time for everyone to own up to their responsibilities."&lt;br /&gt;Eurozone ministers were due to hold talks on the bailout on Wednesday, but eurogroup head Jean-Claude Juncker said face-to-face talks would be replaced by a conference call.&lt;br /&gt;He said Greece had not shown that it was committed to the austerity plan, and technical work was still needed "in a number of areas".&lt;br /&gt;As well as 17 ministers from nations that use the euro, the president of the European Central Bank Mario Draghi and the Commissioner for Economic and Monetary Affairs, Olli Rehn, had also been due to attend the meeting.&lt;br /&gt;The latest bailout was agreed in principle by EU leaders in October, conditional on Greece adopting further measures to cut its deficit and restructure its economy.&lt;br /&gt;On Sunday, Greek MPs approved extra cutbacks, but coalition parties had to expel more than 40 deputies for failing to back the bill.&lt;br /&gt;Thousands protested in Athens, where there were widespread clashes and buildings were set on fire. Violent protests were reported in cities across the country.&lt;br /&gt;On Tuesday, an official report showed that the decline of the Greek economy accelerated in the final three months of 2011.&lt;br /&gt;The estimate showed that, compared with a year earlier, Greek GDP contracted by 7% in the fourth quarter of 2011.&lt;br /&gt;That is an acceleration from the 5% contraction in the third quarter.&lt;br /&gt;The report also shows that the Greek economy shrank 6% last year, an increase on earlier estimates and the fifth year of recession.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-igP7yoHMVRo/TzuEn2Xx5CI/AAAAAAAAP5c/Xods_hNU9ag/s1600/ugumu%2Bwa%2Bkazi%2Bya%2Bkina%2BRas%2Bmakunja%2B%25281%2529.gif"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 202px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-igP7yoHMVRo/TzuEn2Xx5CI/AAAAAAAAP5c/Xods_hNU9ag/s320/ugumu%2Bwa%2Bkazi%2Bya%2Bkina%2BRas%2Bmakunja%2B%25281%2529.gif" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709302772767253538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5042777073320350199?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5042777073320350199/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5042777073320350199' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5042777073320350199'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5042777073320350199'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/hali-yazidi-kuwa-tete-ugiriki-and-that.html' title='hali yazidi kuwa tete Ugiriki and that means..Greece &apos;can&apos;t take any more cuts&apos;'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-Jp2ACKHhTyE/TzuEml75IpI/AAAAAAAAP5E/0RVBlqsB5pg/s72-c/Ras%2BMakunja%2Bakerwa%2Bna%2Bmpiga%2BDrum%252CUgiriki.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3772065026057335895</id><published>2012-02-15T09:42:00.001+03:00</published><updated>2012-02-15T09:43:46.448+03:00</updated><title type='text'>Miss Tanzania  kuzinduliwa leo</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-2lAHHUXepGk/TztUHFSce7I/AAAAAAAAP44/HHJ_Bz32pGU/s1600/miguu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 215px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-2lAHHUXepGk/TztUHFSce7I/AAAAAAAAP44/HHJ_Bz32pGU/s320/miguu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709249433277594546" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Shindano la Urembo la Miss Tanzania kwa Msimu wa mwaka 2012 linataraji kuzinduliwa leo jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Kwa Mujibu wa Kampuni ya Lino Intentional Agency, waandaaji wa Shindano hilo,  Uzinduzi huo rasmi unataraji kufanyika katika Ukumbi wa Savanah Longe katikati ya jiji na kuhudhuriwa na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali ambapo pia mdhamini wa mwaka huu wa shindano hilo atajulikana. &lt;br /&gt;Taji la Miss Tanzania hadi sasa linashikiliwa na Mlimbwende Salha Izrael ambaye alilitwaa katika shindano la Mwaka 2011 na kujinyakulia zawadi ya gari la Kifahari aina ya Jeep.&lt;br /&gt;Aidha usiku wa leo kutaangushwa bonge la Part kwaajili ya uzinduzi huo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3772065026057335895?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3772065026057335895/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3772065026057335895' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3772065026057335895'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3772065026057335895'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/miss-tanzania-kuzinduliwa-leo.html' title='Miss Tanzania  kuzinduliwa leo'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-2lAHHUXepGk/TztUHFSce7I/AAAAAAAAP44/HHJ_Bz32pGU/s72-c/miguu.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5333474417091486336</id><published>2012-02-15T08:38:00.000+03:00</published><updated>2012-02-15T08:39:09.990+03:00</updated><title type='text'>Rangers yajiandaa kutangaza imefilisika</title><content type='html'>Klabu ya soka ya Rangers, imethibitisha kwamba imewasilisha ombi lake kisheria mahakamani ikiwa na nia ya kupata watu watakaosimamia shughuli za klabu huku ikijitayarisha kutangaza kufilisika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Klabu kimetangaza kwamba kitaendelea na shughuli zake kama kawaida, hadi kitakapotangaza uamuzi wa mwisho kama kitaendelea na hatua hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rangers sasa ina siku 10 kufanya uamuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yakiendelea, klabu kimetangaza kwamba mashabiki wenye tiketi za msimu mzima, na vile vile wenye hisa, wasiwe na wasiwasi wowote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo imechukuliwa huku Rangers ikisubiri uamuzi kuhusiana na ubishi juu ya ushuru, pamoja na faini mbalimbali, jumla ya deni ikiwa ni pauni milioni 49.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupitia taarifa, klabu kimeelezea kwamba ikiwa uamuzi huo utaamuliwa kwa idara ya forodha kushinda kesi, basi itamaanisha malumbikizo ya deni hilo na faini huenda yakazidi hata pauni milioni 50, na klabu hakitakuwa na uwezo wa kulilipa deni hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tajiiri anayemiliki klabu, Craig Whyte, alinukuliwa baadaye akisema deni hili huenda likazidi na kufikia pauni milioni 75.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Whyte, ambaye alinunua klabu kutoka kwa Sir David Murray mwaka jana, alisema suala la klabu kupata usimamizi mpya ni jambo la kufikiriwa iwapo klabu kitashindwa katika kesi hiyo kuhusiana na ushuru.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5333474417091486336?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5333474417091486336/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5333474417091486336' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5333474417091486336'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5333474417091486336'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/rangers-yajiandaa-kutangaza-imefilisika.html' title='Rangers yajiandaa kutangaza imefilisika'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1197432482921452315</id><published>2012-02-15T07:32:00.000+03:00</published><updated>2012-02-15T07:33:24.542+03:00</updated><title type='text'>Tangazo kutoka Umoja Wa Watanzania Ujerumani</title><content type='html'>Umoja Wa Watanzania Ujerumani&lt;br /&gt;Waheshimiwa mabibi na mabwana,kamati kuu ya umoja wa watanzania ujerumani(UTU) inayofuraha kuwajulisha kuwa fomu za maombi ya kujiunga na Umoja wa Watanzania Ujerumani,zinapatikana pia online,unaweza kuletewa kwa kutuma anuani yakoya barua pepe(email) at &lt;a href="kamati.utu@googlemail.com"&gt;kamati.utu@googlemail.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Umoja ni Nguvu!&lt;br /&gt;Mshikamano wetu ndio msingi imara wa umoja wetu,&lt;br /&gt;Karibuni&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1197432482921452315?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1197432482921452315/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1197432482921452315' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1197432482921452315'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1197432482921452315'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/tangazo-kutoka-umoja-wa-watanzania.html' title='Tangazo kutoka Umoja Wa Watanzania Ujerumani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3076840592313684246</id><published>2012-02-14T19:43:00.002+03:00</published><updated>2012-02-14T19:44:27.199+03:00</updated><title type='text'>jamani hivi ndivyo walivyosherehekea Valentine</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-iljUlYzQqNw/TzqPWFc9_AI/AAAAAAAAP4s/aq-7k0GBYM4/s1600/hizi%2Bvalentine%2Bnyingine%2Bjama.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 230px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-iljUlYzQqNw/TzqPWFc9_AI/AAAAAAAAP4s/aq-7k0GBYM4/s320/hizi%2Bvalentine%2Bnyingine%2Bjama.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709033087229099010" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Lovin' feeling&lt;br /&gt;Eroll Escobar kisses his partner Princess Madrolejo as they pose for photographers while carrying a 16-feet and 200 kg Albino Burmese Python during a Valentine's Day presentation inside a Malabon zoo, north of Manila.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3076840592313684246?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3076840592313684246/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3076840592313684246' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3076840592313684246'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3076840592313684246'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jamani-hivi-ndivyo-wmalivyosherehekea.html' title='jamani hivi ndivyo walivyosherehekea Valentine'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-iljUlYzQqNw/TzqPWFc9_AI/AAAAAAAAP4s/aq-7k0GBYM4/s72-c/hizi%2Bvalentine%2Bnyingine%2Bjama.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3780761919396950634</id><published>2012-02-14T19:21:00.004+03:00</published><updated>2012-02-14T19:31:34.085+03:00</updated><title type='text'>Whitney Houston kuzikwa Jumamosi</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-iQQiHxseS9U/TzqLMTKD97I/AAAAAAAAP4U/8acjCgRTG8k/s1600/hii%2Bchukua.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 249px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-iQQiHxseS9U/TzqLMTKD97I/AAAAAAAAP4U/8acjCgRTG8k/s320/hii%2Bchukua.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709028521062692786" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt; Whitney Houston katika picha ya pamoja na mtalaka wake Bobby Brown na binti yao Bobbi huko Disneyland mjini Anaheim.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Mwimbaji gwiji wa muziki wa mahadhi ya Pop mwanadada Whitney Houston atazikwa Jumamosi na ibada yake kufanywa katika kanisa ambalo alianza shughuli za kuimba akiwa mtoto la New Hope Baptist Church huko Newark.&lt;br /&gt;Gazeti la Chicago Tribune limeandika kwamba maziko ya mwanadada huyo yatafanyika mchana.&lt;br /&gt;Mwanadada huyo mwenye sauti ya mvuto ambaye pia ni muigizaji alikutwa amekufa Februari 11 mwaka huu ndani ya bafu kwenye hoteli aliyofikia ya Beverly Hills, Calif., saa chache kabla ya kushiriki katika bashi la projuza Clive Davis kabla ya tuzo za Grammy.&lt;br /&gt;Maofisa wanaohusika naye walisema kwamba alikuwa kwenye maji huku akiwa hajitambui wakati alipoopolewa.&lt;br /&gt;Hata hivyo baada ya uchunguzi imebainika kwamba hakuna jinai katika kifo chake ingaw aitachukua majuma kadhaa kabla ya taarifa ya kifo chake kuwa kamili.Mtaalamu wa uchunguzi wa vifo vya ghafla kwa sasa wanmafanyia kazi viashiria vya sumu za dawa katika mwili wake.&lt;br /&gt;Msaidizi wa mtaalamu huyo wa mjini Los Angeles County  alisema kwamba kulikuwa na dawa alizoandikiwa na daktari katika chumba chake lakini hakutaka kueleza zaidi.&lt;br /&gt;Mwili wa mwanadada huyo ulirejeshwa New Jersey Jumatatu wiki hii kwa ndege binafsi ya  muigizaji na projuza Tyler Perry ambayo ilitua uwanja wa wa ndehe wa Teterboro, New Jersey, chini ya ulinzi mkali na baadaye kufikishwa katika mochwari ya Whigham mjini Newark, mji ambao Houston alizaliwa na mashabiki wake zaidi ya 50 walikuwa wamejikusanya nje ya mochwari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Houston was born in Newark and was raised in nearby East Orange. She began singing as a child at New Hope Baptist Church, where her mother, Grammy-winning gospel singer Cissy Houston, led the music program for many years. Her cousin singer Dionne Warwick also sang in its choir.&lt;br /&gt;An impromptu memorial for Houston was held Sunday during a sadness-tinged Grammys, with Jennifer Hudson saluting her memory with a performance of "I Will Always Love You." Viewership for the awards show soared over last year by 50 percent, with about 40 million viewers tuning in to the program on CBS.&lt;br /&gt;On Monday, mourners left flowers, balloons and candles for Houston at the wrought-iron fence around the tall brick church, which sits near the edge of an abandoned housing project near the train line leading to New York City.&lt;br /&gt;"She was an inspiration to everybody," said Gregory Hanks, an actor who grew up in the neighborhood and who dropped off a bouquet. He saw Houston perform in New Jersey years ago.&lt;br /&gt;"I grew up listening to her as a little boy, and to hear her sing, you knew she was special," he said.&lt;br /&gt;A sensation from her first album, Houston was one of the world's best-selling artists from the mid-1980s to the late 1990s, turning out such hits as "I Wanna Dance With Somebody," ''How Will I Know," ''The Greatest Love of All" and "I Will Always Love You." But as she struggled with drugs, her majestic voice became raspy, and she couldn't hit the high notes.&lt;br /&gt;She won six Grammys and more than 400 other awards in a 25-year career that also saw her star in such blockbuster films as "The Bodyguard." She was best known for her 1992 hit single "I Will Always Love You."&lt;br /&gt;But Houston's success was eclipsed later in life by problems with drinking and drugs. She had a long history of addiction to alcohol, cocaine and marijuana, admitting so on television talk shows. She was in rehab as recently as May 2011.&lt;br /&gt;Houston left behind one child, daughter Bobbi Kristina Brown, 18, from her marriage to singer Bobby Brown.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-hbFir1yWPAY/TzqLp29SqsI/AAAAAAAAP4g/j5LxUNPXGvQ/s1600/akiwa%2Bna%2Bboby.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 309px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-hbFir1yWPAY/TzqLp29SqsI/AAAAAAAAP4g/j5LxUNPXGvQ/s320/akiwa%2Bna%2Bboby.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709029028889012930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Whitney Houston, kulia, na mume wake, Bobby Brown, wakifanya vitu vyao ndani ya "VH1 Divas" Mei 22, 2003. Baada ya miaka 14 ya ndoa yenye msukosuko mkubwa katika uchangu na mihadarati na kulazimika kuanza matibabu ya mihadarati, Houston aliachana na Bobby Brown. &lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3780761919396950634?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3780761919396950634/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3780761919396950634' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3780761919396950634'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3780761919396950634'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/whitney-houston-kuzikwa-jumamosi.html' title='Whitney Houston kuzikwa Jumamosi'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-iQQiHxseS9U/TzqLMTKD97I/AAAAAAAAP4U/8acjCgRTG8k/s72-c/hii%2Bchukua.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5885915884862926953</id><published>2012-02-14T18:28:00.002+03:00</published><updated>2012-02-14T18:37:24.671+03:00</updated><title type='text'>MAYATIMA WA SPICE KUSOMESHWA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-51EjlTlWbiI/Tzp_VFkgyGI/AAAAAAAAP3w/Q4wC5r8J4Zs/s1600/Picture%2B2615.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-51EjlTlWbiI/Tzp_VFkgyGI/AAAAAAAAP3w/Q4wC5r8J4Zs/s320/Picture%2B2615.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709015477894826082" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MWENYEKITI wa Saidia Zanzibar, Bob Makene ajibu masuala ya&lt;br /&gt;waandishi wa Habari (hawapo pichani) baada ya kukabidhi Hundi ya&lt;br /&gt;shilingi milioni Hamsini na nane kwa Taasisi inayotoa huduma za&lt;br /&gt;Kijamii Zanzibar (ZOP), Walid Kassim Mohammed,katika Hoteli ya Serena&lt;br /&gt;In leo.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-x_mS0MJBIA8/Tzp_VinTofI/AAAAAAAAP38/hVmx-9c8ZEY/s1600/Picture%2B2643.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-x_mS0MJBIA8/Tzp_VinTofI/AAAAAAAAP38/hVmx-9c8ZEY/s320/Picture%2B2643.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709015485691175410" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MWENYEKITI wa Saidia Zanzibar , Bob Makene (kulia) akimkabidhi&lt;br /&gt;Hundi ya Shilingi Milioni hamsini na nane Mwenyekiti wa taasisi&lt;br /&gt;inayotoa huduma za kijamii Zanzibar (ZOP), Walid Kassim Mohammed&lt;br /&gt;msaada huo kwa ajili ya kuwasomesha mayatima wa Mv. Spice Islander,&lt;br /&gt;makabidhiano hayo yalifanyika katika Hoteli ya Serena In leo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Source:Hisani ya  Haroub Hussein, Unguja&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5885915884862926953?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5885915884862926953/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5885915884862926953' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5885915884862926953'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5885915884862926953'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mayatima-wa-spice-kusomeshwa.html' title='MAYATIMA WA SPICE KUSOMESHWA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-51EjlTlWbiI/Tzp_VFkgyGI/AAAAAAAAP3w/Q4wC5r8J4Zs/s72-c/Picture%2B2615.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7526484284279508865</id><published>2012-02-14T18:15:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T18:16:46.736+03:00</updated><title type='text'>Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu Shirika la Ukasisi la Holly Ghost</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amealikwa kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu (General Chapter) wa 20 wa Shirika la Ukasisi wa Holy Ghost Missionaries la Kanisa Katoliki duniani utakaofanyika mjini Bagamoyo kuanzia Juni 24, mwaka huu, 2012.&lt;br /&gt;Rais Kikwete amekabidhiwa na kupokea mwaliko huo kutoka kwa Askofu wa Jimbo la Morogoro, Baba Askofu Telesphor Mkude wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki leo, Jumanne, Februari 14, 2012, Ikulu, Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Rais Kikwete amekubali mwaliko huo wa Jimbo la Tanzania la Holy Ghost Missionaries kushiriki katika mkutano huo utaojumuisha wajumbe 115 kutoka pote duniani kwenye hosteli ya Stella Maries kwenye mji wa Bagamoyo, mahali lilipozaliwa Kanisa Katoliki katika Afrika Mashariki mwaka 1868.&lt;br /&gt;Askofu Mkude amemwambia Rais Kikwete kuwa Shirika la Holy Ghost Missionaries ama kwa jina maarufu zaidi la Holy Ghost Fathers limeona limwalike Rais Kikwete kwenye mkutano huo kwa sababu tokea kuanzishwa kwa shirika hilo la kimataifa la The Congregation of the Holy Ghost mwaka 1703 nchini Ufaransa, hii itakuwa mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika katika Afrika.&lt;br /&gt;“Hii itakuwa mara ya kwanza kabisa kwa General Chapter kufanyika katika ardhi ya Afrika katika miaka 380 ya kuanzishwa kwa Shirika hili na heshima hii ya Bara la Afrika itabebwa na Jimbo la Tanzania ambalo litaandaa Mkutano huo kuanzia Juni 24 hadi Julai 22 mjini Bagamoyo,” Askofu Mkude amemwambia Rais Kikwete na kuongeza:&lt;br /&gt;“Kuhusu kwa nini umechaguliwa mji wa Bagamoyo ni kwamba ilikuwa kupitia Bagamoyo ambako Shirika hilo la Kitawa liliingilia Tanganyika kwa mara ya kwanza mwaka 1868, na hivyo mji wa Bagamoyo ukawa njia ya mahubiri ya dini kuingia ndani ya Tanganyika.”&lt;br /&gt; Ameongeza Askofu Mkude: “Ni heshima kubwa kwetu sisi kama taifa kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa kiasi hiki na wenye heshima kubwa, na kwa hakika ni heshima na imani kwa Holy Ghost Province of Tanzania, ni imani kwa Kanisa na ni imani kubwa kwa Watanzania na Mheshimiwa Rais, imani na heshima ya namna hii huambatana na wajibu mkubwa. Na kwa sababu hiyo ndiyo tumeamua kukuomba wewe kwanza kama Rais wetu na pili kama mtoto wa Bagamoyo kushiriki nasi katika tukio hili kubwa.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu.&lt;br /&gt;Dar es Salaam. &lt;br /&gt;14 Februari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7526484284279508865?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7526484284279508865/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7526484284279508865' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7526484284279508865'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7526484284279508865'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kikwete-mgeni-rasmi-mkutano-mkuu.html' title='Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu Shirika la Ukasisi la Holly Ghost'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6612540372164876788</id><published>2012-02-14T17:46:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T18:38:48.657+03:00</updated><title type='text'>Dunia ya watu wa Mungu pamoja na hofu  wana raha</title><content type='html'>Despite the conflicts, wars and woes the world is a happier place as 22 percent of global citizens say they are ‘Very Happy’.&lt;br /&gt;77 percent citizens in 24 countries said they are ‘happy’ in their lives while 22 percent said they are ‘very happy’. While the general assessment of happiness tends to remain fairly stagnant over time, the measure of those who are ‘very happy’ showed the greatest amount of fluctuation.&lt;br /&gt;Nationally, Indonesia is recorded to be the happiest of all countries surveyed, with 51 percent citizens saying they are ‘very happy’. On the second position are India and Mexico with 43 percent each. Brazil and Turkey follow next with 30 percent each while Australia and United States each with 28 percent. On the contrary, the lowest on the ‘very happy’ category is Hungary with 6 percent, South Korea with 7 percent and Russia with 8 percent. Following them is Spain with 11 percent and Italy with 13 percent.  The citizens of Europe drag the global average assessment of happiness downward as only 15 percent said they are ‘very happy’.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-CdWOGQB8_-M/Tzp_62pUxmI/AAAAAAAAP4I/jmboRjEDN0E/s1600/zW4DfVPE.jpeg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 207px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-CdWOGQB8_-M/Tzp_62pUxmI/AAAAAAAAP4I/jmboRjEDN0E/s320/zW4DfVPE.jpeg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5709016126723507810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;The survey also revealed that those who are married are ‘very happy’ (26 percent) in comparison with all other groups; especially those who are not married (18 percent).&lt;br /&gt;It was noted that those who are under the age of 35(25 percent) are more likely to say they are ‘very happy’ than those who are in the age group 35-49 (20 percent) and 50-64 (19 percent) across all countries surveyed. Also, among those who are ‘very happy’ are people with high education (25 percent) and those with a high household income (24 percent).&lt;br /&gt;Regionally, Latin America has the greatest proportion of people (32 percent) saying they are ‘very happy’, followed by North America with 27 percent and then followed by Asia-Pacific and the Middle East and Africa with 24 percent each.&lt;br /&gt;It is noted that 22 percent of the global population reported being ‘very happy’ now in comparison with 20 percent in 2007. It was also seen that the highest range of world happiness was between March and April 2010 when the number was at its highest point of 26 percent. Clearly there are numerous events and happenings that cause happiness to go up and down.&lt;br /&gt;Comparing 2007 to 2011, in the “very happy” group, it was noted that the greatest improvements are found in Turkey which is up by 16 points since 2007, followed by Mexico which is up by 10 points, Australia which is up by 7 points, Japan which is up 6 by points and India and Canada each up by 5 points.&lt;br /&gt;Also, of the 24 countries measured, less than half (9 countries) have experienced increases in happiness intensity compared with 13 that dropped and 2 countries with no change.  The countries that indicated the greatest drop in happiness intensity were Brazil (down by 9 points) followed by Indonesia (down by 7 points), Russia (down by 6 points) and South Africa (down by 5 points). The United States, South Korea, Saudi Arabia, Poland and France showed a drop by 1 point each.&lt;br /&gt;The survey was conducted on 18,687 adults twice annually until March 2010 and then the survey became monthly. The countries include Argentina, Australia, Belgium, Brazil, Canada, China, France, Germany, Great Britain, Hungary, India, Indonesia, Italy, Japan, Mexico, Poland, Russia, Saudi Arabia, South Africa, South Korea, Spain, Sweden, Turkey and the United States of America.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6612540372164876788?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6612540372164876788/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6612540372164876788' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6612540372164876788'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6612540372164876788'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/dunia-ya-watu-wa-mungu-pamoja-na-hofu.html' title='Dunia ya watu wa Mungu pamoja na hofu  wana raha'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-CdWOGQB8_-M/Tzp_62pUxmI/AAAAAAAAP4I/jmboRjEDN0E/s72-c/zW4DfVPE.jpeg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1651966960122732095</id><published>2012-02-14T16:43:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T16:43:52.883+03:00</updated><title type='text'>*RATIBA YA CHADEMA YA UCHUKUAJI FOMU NA UTEUZI WA MGOMBEA WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI*</title><content type='html'>Baada ya kupokea taarifa za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), juu ya kuwepo&lt;br /&gt;kwa uchaguzi katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Sekretarieti ya CHADEMA&lt;br /&gt;tayari imekaa na kuandaa utaratibu mzima wa uchukuaji na urudishaji wa&lt;br /&gt;fomu, ambao utafuatiwa na vikao vya chama, kuanzia ngazi ya wilaya hadi&lt;br /&gt;taifa, kwa maana ya Kamati Kuu, katika kufanya uteuzi wa mwisho wa kumpata&lt;br /&gt;mgombea.&lt;br /&gt; Ili kutoa muda wa kutosha kwa shughuli ya utoaji na urejeshaji fomu,&lt;br /&gt;Sekretarieti ya CHADEMA imeamua kuwa wanachama wa CHADEMA wenye nia ya&lt;br /&gt;kuwania uteuzi wa kugombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA, kwa ajili ya&lt;br /&gt;kuwatumikia watu wa Arumeru Mashariki, wataanza kuchukua na kurudisha fomu&lt;br /&gt;kuanzia leo tarehe 14 Februari 2012  hadi tarehe 25 Februari 2012 saa 10&lt;br /&gt;Jioni.&lt;br /&gt; Fomu zinatolewa kupitia ofisi ya CHADEMA ya Wilaya ya Meru zilizopo eneo&lt;br /&gt;la Maji ya Chai-USA River, na pia katika ofisi za CHADEMA  za Mkoa wa&lt;br /&gt;Arusha zilizopo Ngarenaro katika Mtaa wa NHC.&lt;br /&gt; Baada ya hapo, vikao vya chama vinavyohusika na uteuzi wanachama&lt;br /&gt;watakaokuwa wamechukua fomu na kutimiza masharti kadri inavyoelekezwa,&lt;br /&gt;vitakaa kufanya uteuzi na hatimaye kumpata mgombea mmoja, ambaye chama&lt;br /&gt;kitamsimamisha na kumsimamia kuwania jimbo hilo, ili ashinde na kuongeza&lt;br /&gt;nguvu ya wapambanaji ndani ya wabunge, kuwawakilisha Watanzania.&lt;br /&gt; Mchakato wa uteuzi ngazi ya jimbo na wilaya utafanyika kati ya tarehe 26&lt;br /&gt;Februari 2012 mpaka tarehe 29 Februari 2012 wakati uteuzi ngazi ya taifa&lt;br /&gt;utafanyika tarehe 3 Machi mpaka 4 Machi 2012.&lt;br /&gt; Kupitia kwa Kurugenzi ya Habari na Uenezi, CHADEMA ikiwa ni chama mbadala&lt;br /&gt;katika kuunda serikali na chama kikuu cha upinzani nchini, kinawahakikishia&lt;br /&gt;wanachama, wapenzi wake na Watanzania wote kwa ujumla, kuwa kama ilivyo&lt;br /&gt;kawaida yake, kitashiriki katika uchaguzi huo mdogo wa Arumeru Mashariki,&lt;br /&gt;kwa lengo la kushinda.&lt;br /&gt; Kwa umakini na uimara ambao kimeendelea kuudhihirisha katika kuwatumikia&lt;br /&gt;na kuwawakilisha Watanzania kupitia majukwaa mbalimbali, tangu Watanzania&lt;br /&gt;walipoonesha dalili zote za kukiunga mkono na kukiamini kuwa kinaweza&lt;br /&gt;kupewa dhamana ya uongozi wa nchi hii,  ari ya chama hiki imezidi&lt;br /&gt;kuongezeka siku hadi siku, kikijiandaa kupokea dhamana kubwa zaidi kadri&lt;br /&gt;siku zinavyokwenda.&lt;br /&gt; Hivyo katika uchaguzi wa Arumeru Mashariki Wanachama na wananchi kwa&lt;br /&gt;ujumla wazingatie kwamba CHADEMA itaendelea kutimiza dhima yake ya&lt;br /&gt;kuhakikisha uongozi bora, sera sahihi, mikakati makini na oganizesheni&lt;br /&gt;dhabiti kwa maendeleo endelevu ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Imetolewa leo tarehe 14 Februari 2012, Dar es Salaam na;*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;* *&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*John Mnyika*&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;*Mkurugenzi wa Habari na Uenezi*&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1651966960122732095?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1651966960122732095/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1651966960122732095' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1651966960122732095'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1651966960122732095'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ratiba-ya-chadema-ya-uchukuaji-fomu-na.html' title='*RATIBA YA CHADEMA YA UCHUKUAJI FOMU NA UTEUZI WA MGOMBEA WA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI*'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-740727746839377260</id><published>2012-02-14T16:07:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T16:08:17.642+03:00</updated><title type='text'>TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MALIPO YA MISHAHARA KATIKA BALOZI ZETU</title><content type='html'>Tarehe 13/2/2010 Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) ilifanya kikao cha&lt;br /&gt;pamoja na Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.  Lengo&lt;br /&gt;la kikao hicho lilikuwa ni kujadili taarifa ya Hesabu za Wizara kwa mwaka wa fedha&lt;br /&gt;2009/2010. &lt;br /&gt;Kufuatia kikao hicho baadhi ya vyombo vya habari vilitoa taarifa ambazo siyo sahihi&lt;br /&gt;kufuatia masuala yaliyojadiliwa katika kikao hicho. &lt;br /&gt;Wizara inakanusha taarifa hizo zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari, na sio&lt;br /&gt;kweli kwamba Balozi zetu zina matatizo makubwa ya kifedha. &lt;br /&gt;Kilichozungumziwa katika kikao hicho ni kuwa Balozi zetu bado zinatumia viwango vya&lt;br /&gt;Posho ya Utumishi wa Nje ambavyo vimepitwa na wakati.  Ili kuhakikisha kuwa viwango&lt;br /&gt;hivyo vya Posho ya Utumishi wa Nje vinaboreshwa ili  kuendana na hali halisi ya&lt;br /&gt;maisha; Awali  Wizara ilifanya mapitio ya Kanuni za Utumishi wa Nje   (Foreign&lt;br /&gt;Service Regulations) zinazohusisha Posho ya Utumishi wa Nje  na kuziwasilisha katika&lt;br /&gt;mamlaka husika. Kwa kuwa mapitio Kanuni hizo ziliandaliwa muda mrefu uliopita,&lt;br /&gt;Wizara iliona kuwa upo umuhimu wa kuunda kamati maalum ya kupitia kanuni hizo za&lt;br /&gt;Utumishi wa Nje. Kamati hiyo imeshakamilisha kazi yake na kuiwasilisha kwa&lt;br /&gt;Menejimenti ya Wizara kwa ajili ya uhakiki na hatimaye kuiwasilisha katika mamlaka&lt;br /&gt;husika. &lt;br /&gt;Pamoja na kuwepo kwa changamoto hiyo ya kuwa na viwango vya Posho ya Utumishi wa Nje&lt;br /&gt;vilivyopitwa na wakati, Balozi zetu zimeweza kupelekewa mishahara yao ya kila mwezi&lt;br /&gt;pasipo kuchelewa.  Aidha, tatizo jingine lililoelezwa ni upungufu wa Bajeti&lt;br /&gt;unaotokana na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya Fedha nyingine za&lt;br /&gt;Kigeni. &lt;br /&gt;Katika kuwezesha kutatua tatizo hili Hazina imekuwa ikilipa kwa wakati fidia&lt;br /&gt;inayotokana na kushuka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania katika kila kipindi cha&lt;br /&gt;robo mwaka. &lt;br /&gt;Kwa ujumla Balozi zetu zimeendelea kutekeleza majukumu yao ipasavyo kwa kutumia&lt;br /&gt;rasilimali fedha zilizopo katika Bajeti.  Aidha, siku zote Wizara imekuwa ikipata&lt;br /&gt;ushirikiano mkubwa kutoka Hazina katika kushughulikia masuala ya fedha Balozini.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE&lt;br /&gt;NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;14/2/2012&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-740727746839377260?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/740727746839377260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=740727746839377260' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/740727746839377260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/740727746839377260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/taarifa-ya-wizara-ya-mambo-ya-nje-na.html' title='TAARIFA YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KUHUSU MALIPO YA MISHAHARA KATIKA BALOZI ZETU'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3622660293364154794</id><published>2012-02-14T16:05:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T16:05:39.543+03:00</updated><title type='text'>Mbunge Mnyika aitwanga barua dawasco</title><content type='html'>TAARIFA KWA UMMA&lt;br /&gt;Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ametoa mwito wa Kampuni ya Maji Safi na Maji Taka&lt;br /&gt;(DAWASCO) kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutozingatiwa kwa ratiba ya mgawo wa maji&lt;br /&gt;katika Jiji la Dar es salaam hali ambayo imesababisha kero ya maji katika maeneo&lt;br /&gt;mbalimbali ya jimbo la Ubungo.&lt;br /&gt;Mnyika ametoa mwito huo kupitia kwenye barua yake kwa DAWASCO aliyoiwasilisha leo&lt;br /&gt;tarehe 14 Februari 2012 na kutoa rai kwa madiwani wa CCM na CHADEMA katika Jimbo la&lt;br /&gt;Ubungo kuwasilisha taarifa za hali ya maji katika kata zao kufuatia malalamiko ya&lt;br /&gt;wananchi.&lt;br /&gt;Itakumbukwa kwamba tarehe 5 mwezi Septemba 2011 Mbunge Mnyika alifanya mkutano na&lt;br /&gt;Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO akiwa na baadhi ya wakazi wa kata mbalimbali kuhusu&lt;br /&gt;hali ya upatikanaji wa maji katika Jimbo la Ubungo.&lt;br /&gt;Kufuatia mkutano huo DAWASCO ilichukua hatua mbalimbali ambazo ziliboresha mgawo wa&lt;br /&gt;maji katika maeneo kadhaa ya Jimbo la Ubungo katika kipindi cha mwishoni mwezi&lt;br /&gt;Septamba mpaka katikati ya mwezi Disemba mwaka 2011.&lt;br /&gt;Hata hivyo, kuanzia mwishoni mwa mwezi Disemba 2011 mara baada ya maafa ya mafuriko&lt;br /&gt;katika Mkoa wa Dar es salaam mpaka sasa katikati ya mwezi Februari 2012 mbunge&lt;br /&gt;Mnyika amepokea malalamiko mbalimbali toka kwa wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa&lt;br /&gt;maji katika kata mbalimbali za Jimbo la Ubungo sio nzuri kama ilivyokuwa baada ya&lt;br /&gt;maandamano.&lt;br /&gt;Aidha, mbunge Mnyika amehitaji maelezo na vielelezo kuhusu maeneo ambayo hakuna&lt;br /&gt;miundombinu ya maji kabisa au miundombinu iliyopo haijawahi kutoa maji kwa kipindi&lt;br /&gt;kirefu kwa ajili ya kutaka hatua za ziada kutoka kwa DAWASA na Wizara ya Maji. &lt;br /&gt;Imetolewa tarehe 14 Februari 2012 na:&lt;br /&gt;Aziz Himbuka&lt;br /&gt;Katibu Msaidizi&lt;br /&gt;Ofisi ya Mbunge Ubungo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3622660293364154794?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3622660293364154794/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3622660293364154794' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3622660293364154794'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3622660293364154794'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mbunge-mnyika-aitwanga-barua-dawasco.html' title='Mbunge Mnyika aitwanga barua dawasco'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7216229606113170865</id><published>2012-02-14T13:54:00.004+03:00</published><updated>2012-02-14T14:01:58.565+03:00</updated><title type='text'>Je ni byee kwa Tanzania kujiunga na  Open Government Partnership(OGP)</title><content type='html'>Jamani&lt;br /&gt;Hili ni  tangazo la kuwahamasisha watanzania kutoa maoni http://www.blogger.com/img/blank.gifyao kuhusu mpango wa Tanzania kujiunga na  Open Government Partnership(OGP).&lt;br /&gt;     &lt;br /&gt;Kwa wale wanaotaka kuusoma waende &lt;a href="www.wananchi.go.tz"&gt;www.opengovernmentpatinership.&lt;/a&gt;org na &lt;a href="www.wananchi.go.tz"&gt;www.wananchi.go.tz&lt;/a&gt; ili wakausomee huko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7216229606113170865?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7216229606113170865/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7216229606113170865' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7216229606113170865'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7216229606113170865'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/je-ni-byee-kwa-tanzania-kujiunga-na.html' title='Je ni byee kwa Tanzania kujiunga na  Open Government Partnership(OGP)'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4687971638074486937</id><published>2012-02-14T13:52:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T13:53:12.423+03:00</updated><title type='text'>balozi Maajar akihimiza wanawake kuwa kitu kimoja</title><content type='html'>Ujumbe kutoka kwa Balozi wa Tanzania Mh. Mwanaidi Maajar, akiongelea kuhusu mshikamano wa wanawake, na kutaka kufanya juhudi, za kuwa kitu kimoja, kujijenga na kujitahidi kwa elimu ili kujiendeleza kimaendeleo zaidi&lt;br /&gt;&lt;iframe width="460" height="300" src="http://www.youtube.com/embed/viF1lbsWel0" frameborder="0" allowfullscreen&gt;&lt;/iframe&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4687971638074486937?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4687971638074486937/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4687971638074486937' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4687971638074486937'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4687971638074486937'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/balozi-maajar-akihimiza-wanawake-kuwa.html' title='balozi Maajar akihimiza wanawake kuwa kitu kimoja'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://img.youtube.com/vi/viF1lbsWel0/default.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6955139219666968946</id><published>2012-02-14T13:46:00.001+03:00</published><updated>2012-02-14T13:46:58.428+03:00</updated><title type='text'>LIGI KUU YA VODACOM na DARAJA LA KWANZA</title><content type='html'>Ligi Kuu ya Vodacom inaingia raundi ya 18 kesho (Februari 15 mwaka huu) kwa mechi&lt;br /&gt;nne zitakazochezwa viwanja vya Sheikh Kaluta Amri Abeid jijini Arusha, Azam Chamazi&lt;br /&gt;jijini Dar es Salaam, Mkwakwani jijini Tanga na Kaitaba mjini Bukoba. &lt;br /&gt;Mwamuzi Israel Mujuni atazichezesha JKT Oljoro na Ruvu Shooting jijini Arusha, Azam&lt;br /&gt;na Villa Squad zitachezeshwa na Judith Gamba jijini Dar es Salaam, Oden Mbaga ndiye&lt;br /&gt;atapuliza filimbi kwenye mechi ya Coastal Union na JKT Ruvu jijini Tanga. Mjini&lt;br /&gt;Bukoba kutakuwa na mechi kati ya Kagera Sugar na Moro United. &lt;br /&gt;Mechi nyingine ya raundi ya 18 itachezwa keshokutwa (Februari 16 mwaka huu) kwenye&lt;br /&gt;Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Toto Africans itakuwa mwenyeji wa Mtibwa&lt;br /&gt;Sugar.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;LIGI DARAJA LA KWANZA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Timu nane zinaingia viwanjani kesho (Februari 15 mwaka huu) kusaka pointi tatu&lt;br /&gt;katika mechi za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) ambayo sasa iko katika mzunguko wa pili&lt;br /&gt;hatua ya makundi. &lt;br /&gt;Kundi B ni kati ya Majimaji na Small Kids zitakazooneshana kazi Uwanja wa Majimaji&lt;br /&gt;mjini Songea wakati Mbeya City itaumana na Polisi Iringa kwenye Uwanja wa Kumbukumbu&lt;br /&gt;ya Sokoine jijini Mbeya. &lt;br /&gt;Mechi za Kundi C zitakuwa kati ya Polisi Morogoro na Polisi Tabora kwenye Uwanja wa&lt;br /&gt;Jamhuri mjini Morogoro huku 94 KJ ikiwa mwenyeji wa AFC katika Uwanja wa Mabatini&lt;br /&gt;mjini Mlandizi. &lt;br /&gt;Keshokutwa (Februari 16 mwaka huu) Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga utakuwa mwenyeji&lt;br /&gt;wa mechi ya Kundi A kati ya Mgambo Shooting na Polisi Dar es Salaam jijini Tanga.&lt;br /&gt;Februari 17 mwaka huu kwenye uwanja huo huo kutakuwa na mechi kati ya Transit Camp&lt;br /&gt;na Morani ya mkoani Manyara. &lt;br /&gt;Mechi nyingine ya Kundi B itapigwa keshokutwa (Februari 16 mwaka huu) ikizikutanisha&lt;br /&gt;timu za Tanzania Prisons na JKT Mlale kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini&lt;br /&gt;Mbeya.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6955139219666968946?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6955139219666968946/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6955139219666968946' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6955139219666968946'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6955139219666968946'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ligi-kuu-ya-vodacom-na-daraja-la-kwanza.html' title='LIGI KUU YA VODACOM na DARAJA LA KWANZA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7742465906752426639</id><published>2012-02-14T13:44:00.000+03:00</published><updated>2012-02-14T13:46:13.628+03:00</updated><title type='text'>MANYONI FC YASHUKA DARAJA</title><content type='html'>Timu ya Manyoni FC ya Singida imeshindwa kutokea kwenye mechi ya Kundi C ya Ligi&lt;br /&gt;Daraja la Kwanza (FDL) dhidi ya Polisi Tabora iliyokuwa ichezwe juzi (Februari 12&lt;br /&gt;mwaka huu) kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Kanuni ya 21 ya FDL timu yoyote inayoshindwa kufika kituoni na&lt;br /&gt;kusababisha mchezo husika kutochezwa itashushwa daraja hadi Ligi ya Taifa na matokeo&lt;br /&gt;ya michezo yake yote itafutwa ili kutoa uwiano sahihi kwa timu zilizobaki kwenye&lt;br /&gt;mashindano. &lt;br /&gt;Si Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), msimamizi wa ligi hiyo Kituo cha&lt;br /&gt;Tabora, Alfred Sitta wala Kamishna wa mechi hiyo Charles Komba waliokuwa na taarifa&lt;br /&gt;yoyote ya mapema juu ya Manyoni FC kushindwa kufika kituoni. &lt;br /&gt;Manyoni FC ambayo mbali ya kushushwa daraja inatakiwa kulipa faini ya sh. milioni&lt;br /&gt;moja kabla ya kucheza Ligi ya Taifa msimu ujao ilikuwa Kundi C pamoja na timu za 94&lt;br /&gt;KJ ya Dar es Salaam, AFC ya Arusha, Polisi Tabora, Polisi Morogoro na Rhino FC ya&lt;br /&gt;Tabora.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:TFF&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7742465906752426639?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7742465906752426639/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7742465906752426639' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7742465906752426639'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7742465906752426639'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/manyoni-fc-yashuka-daraja.html' title='MANYONI FC YASHUKA DARAJA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5215352784097377038</id><published>2012-02-13T20:45:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:46:03.507+03:00</updated><title type='text'>JK sends congratulatory message to His Excellency Sauli Niinistö, President-Elect of the Republic of Finland</title><content type='html'>PRESS RELEASE&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete, the President of the United Republic of Tanzania, sends the following congratulatory message to His Excellency Sauli Niinistö, President-Elect of the Republic of Finland, following the election held on 5th of February, 2012.  The message reads as follows;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“His Excellency Sauli Niinistö,&lt;br /&gt;President – Elect of the Republic of Finland,&lt;br /&gt;Helsinki,&lt;br /&gt;FINLAND.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Your Excellency,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;It is with great pleasure, on behalf of the Government and people of the United Republic of Tanzania and indeed on my own behalf, that I take this opportunity to convey to you and through you to the Government and people of the Republic of Finland, warm greetings and congratulations upon your election as the President-Elect of the Republic of Finland. Your election is a clear testimony of the trust and confidence the people of Finland have vested in you and your leadership.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; I wish you every success in the fulfillment of your new challenging responsibilities in line with the mandate you have been entrusted by the Finnish people. Let me also take this opportunity to assure Your Excellency of my Government’s continued commitment in further strengthening the excellent  bilateral relations that so happily exist between our two countries and peoples.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Please accept, Your Excellency, my best wishes for your personal good health and peace and prosperity for the people of the Republic of Finland.&lt;br /&gt;Jakaya Mrisho Kikwete&lt;br /&gt;PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Issued by  &lt;br /&gt;THE GOVERNMENT COMMUNICATION UNIT &lt;br /&gt;MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION &lt;br /&gt;13th February, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5215352784097377038?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5215352784097377038/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5215352784097377038' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5215352784097377038'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5215352784097377038'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-sends-congratulatory-message-to-his.html' title='JK sends congratulatory message to His Excellency Sauli Niinistö, President-Elect of the Republic of Finland'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1155106928005995759</id><published>2012-02-13T20:42:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:43:51.087+03:00</updated><title type='text'>Kwa tunaosafiri hii imenitatiza...Chama cha madereva chalalamikia uonevu wa kikosi cha usalama barabarani</title><content type='html'>CHAMA cha Madereva wa mabasi Nchini kimewataka askari wa Kikosi cha&lt;br /&gt;Usalama Barabarani kuacha tabia ya kuwakamata   madereva na kuwapeleka&lt;br /&gt;mahakamani  au kuwatoza faini pasipo na sababu za msingi  kwa lengo la&lt;br /&gt;kuiingizia  Serikali mapato.&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mwenyekiti wa chama hicho Shukuru&lt;br /&gt;Mlawa wakati  akitoa mada katika Semina ya  Chama  cha madereva wa&lt;br /&gt;mabasi Nchini na wamiliki wa vyombo vya usafirishaji  iliyofanyika&lt;br /&gt;Mjini hapa .&lt;br /&gt;Mlawa alikitaka kikosi cha usalama barabarani kubadilika na kuacha&lt;br /&gt;kukamata madereva na kuwatoza faini au kuwapelelka mahakamani na&lt;br /&gt;badala yake alipendekeza wakiwakamata   wawapeleke vyuoni kupata&lt;br /&gt;mafunzo na kuwa madereva halali kisheria.&lt;br /&gt;Pia alisema kuwa, kulingana na utafiti uliofanywa na chama hicho,&lt;br /&gt;umebaini kuwa, pikipiki nyingi  zinamilikiwa na Askari i wa Jeshi la&lt;br /&gt;Polisi nchini na  Askari hao kuwapa madereva wao ambao hawajapata&lt;br /&gt;mafunzo yuoyote na hata wakikamatwa  na askari wengine inakuwa ni&lt;br /&gt;vigumu kuchukua sheria.&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Kanda&lt;br /&gt;ya Kati, Fredrick Mushi alisema kuwa mafunzo kwa madereva yatatolewa&lt;br /&gt; katika  Mikoa yote mitatu ya Kanda ya Kati ambayo ni  Dodoma na&lt;br /&gt;Singida  kwa lengo la   kupunguza ongezeko la ajali.&lt;br /&gt; Akizungumzia kuhusu leseni ya udereva Muelimishaji wa Kikosi cha&lt;br /&gt;Usalama Barabarani,  Frank Sato alisema kuwa ,  tangu mwaka 1973&lt;br /&gt;sheria inasema kuwa dereva lazima apitie mafunzoi ya udereva katika&lt;br /&gt;shule iliyosajiliwa kwa ajili ya mafunzo hayo na yenye mwalimu mwenye&lt;br /&gt;sifa ya kufundisha udereva.&lt;br /&gt;Aidha alisema kuwa, anaumia sana kuona  madereva hawathaminiwi  na pia&lt;br /&gt;hawana mikataba ya ajira.&lt;br /&gt;Awali akifungua mafunzo hayo,  Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini&lt;br /&gt;ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi  Betty  Mkwassa  alisema kuwa&lt;br /&gt;hivi sasa taaluma ya udereva imeingiliwa na madereva wasio na mafunzo&lt;br /&gt;yoyote hali inayosababisha  kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa ajali&lt;br /&gt; za barabarani na kusababisha watu wengi  kupoteza maisha, kupata&lt;br /&gt;ulemavu wa kudumu  na kupoteza mali.&lt;br /&gt;“Pamoja na kuingiliwa huko bado  taaluma hii ina dosari ya watu&lt;br /&gt;kutengeneza leseni za bandia ambazo  zinauzwa kwa  Shilingi 300,000&lt;br /&gt;hayo yote yanachangia kuzalisha madereva wasio makini na wasiokuwa na&lt;br /&gt;kiwango kinachotakiwa na kuzidisha ajali badala ya  kuzipunguza”&lt;br /&gt;alisema.&lt;br /&gt;Source:Sifa Lubasi,Habarileo Dodoma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1155106928005995759?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1155106928005995759/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1155106928005995759' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1155106928005995759'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1155106928005995759'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kwa-tunaosafiri-hii-imenitatizachama.html' title='Kwa tunaosafiri hii imenitatiza...Chama cha madereva chalalamikia uonevu wa kikosi cha usalama barabarani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-929606809676069883</id><published>2012-02-13T20:40:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:41:44.550+03:00</updated><title type='text'>SMZ watoa milioni 50 kusaidia waathirika wa mafuriko Dar</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetoa Sh. Milioni 50 kusaidia katika&lt;br /&gt;kuendeleza makazi mapya ya watu waliolazimika kuhama kutoka mabondeni baada&lt;br /&gt;ya maafa ya mafuriko katika jiji la Dar es Salaam Desemba mwaka jana.&lt;br /&gt;Hundi ya fedha hizo zinazokwenda Mkoa wa Dar es Salaam ilikabidhiwa kwa&lt;br /&gt;Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutoka kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,&lt;br /&gt;Balozi Seif Iddi, kwenye makazi ya Waziri Mkuu mjini Dodoma leo (Jumatatu,&lt;br /&gt;Feb 13, 2011) asubuhi.&lt;br /&gt;Akikabidhi fedha hizo, Balozi Iddi alisema msaada huo ni muendelezo wa&lt;br /&gt;kusaidiana baina ya pande mbili za Muungano kwa madhumini ya kuendeleza&lt;br /&gt;Muungano.&lt;br /&gt;“Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeguswa na kusikitishwa na tukio la&lt;br /&gt;kutisha la maafa ya mafuriko lililotokea ghafla na kuwakumba wananchi wa&lt;br /&gt;Dar es Salaam,” Balozi Iddi alisema.&lt;br /&gt;Aliongeza: “Tulipokea kwa huzuni taarifa za kupoteza watu wengi na mali zao&lt;br /&gt;na hasara ya nyumba nyingi zilizoathiriwa na  mafuriko hayo ambayo&lt;br /&gt;yaliwaacha watu wengi bila makazi.&lt;br /&gt;“Hivyo, kwa niaba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, napenda kuwasilisha&lt;br /&gt;mchango wetu wa Sh. Milioni 50, kusaidia mchakato wa kuwasitiri wahanga wa&lt;br /&gt;mafuriko hayo,” alisema.&lt;br /&gt;Waziri Mkuu Pinda alishukuru kwa msaada huo na akawashukuru wananchi&lt;br /&gt;waliokuwa wakiishi mabondeni, hasa eneo la Jangwani kwa kuukubali mpango wa&lt;br /&gt;Serikali wa kuwahamishia kwenye maeneo yasiyo hatarishi.&lt;br /&gt;Watu wapatao 40 walifariki dunia na mamia wengine kukosa mahali kukaa baada&lt;br /&gt;ya kubomokewa na nyumba zao kutokana na mafuriko hayo yaliyotokea Desemba&lt;br /&gt;20, mwaka 2011.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(mwisho)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;Ofisi ya Waziri Mkuu,&lt;br /&gt;S.L.P. 980,&lt;br /&gt;DODOMA&lt;br /&gt;Jumatatu Feb. 13, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-929606809676069883?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/929606809676069883/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=929606809676069883' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/929606809676069883'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/929606809676069883'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/smz-watoa-milioni-50-kusaidia.html' title='SMZ watoa milioni 50 kusaidia waathirika wa mafuriko Dar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2510235549090471228</id><published>2012-02-13T20:36:00.003+03:00</published><updated>2012-02-13T20:40:04.064+03:00</updated><title type='text'>14,150 WASHUHUDIA YANGA, RUVU SHOOTING</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-XqQ0Jhelqdk/TzlKjipdJCI/AAAAAAAAP3k/FN6xBzwOw1I/s1600/y4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 215px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-XqQ0Jhelqdk/TzlKjipdJCI/AAAAAAAAP3k/FN6xBzwOw1I/s320/y4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708675977125372962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Watazamaji 14,150 ndiyo waliokata tiketi kushuhudia pambano la Ligi Kuu ya Vodacom&lt;br /&gt;kati ya Yanga na Ruvu Shooting lililochezwa jana (Februari 12 mwaka huu) Uwanja wa&lt;br /&gt;Taifa, Dar es Salaam na kuingiza sh. 47,554,000. &lt;br /&gt;Hata hivyo ni watazamaji saba tu waliokata tiketi za VIP A zilizokuwa zikiuzwa sh.&lt;br /&gt;15,000. Viingilio vingine vilikuwa sh. 10,000 kwa VIP B na C, sh. 5,000 viti vya&lt;br /&gt;rangi ya chungwa na kiiingilio cha sh. 3,000 kwa viti vya bluu na kijani&lt;br /&gt;kilichovutia watazamaji 12,853. &lt;br /&gt;Baada ya kuondoa gharama za awali za mechi hiyo namba 119 na asilimia 18 ya Kodi ya&lt;br /&gt;Ongezeko la Thamani (VAT) ambayo ni sh. 7,254,000 kila timu ilipata sh. 8,583,000&lt;br /&gt;wakati mgawo wa uwanja ulikuwa sh. 2,861,000.  &lt;br /&gt;Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 1,144,400, TFF sh.&lt;br /&gt;2,861,000, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 1,430,500, Baraza la&lt;br /&gt;Michezo la Taifa (BMT) sh. 286,100 na asilimia 10 ya gharama za mechi ni sh.&lt;br /&gt;2,861,000. &lt;br /&gt;Gharama za awali za mechi ni nauli ya ndani kwa waamuzi sh. 10,000, nauli ya ndani&lt;br /&gt;kwa kamishna sh. 10,000, posho ya kujikimu kamishna sh. 40,000, posho ya kujikimu&lt;br /&gt;waamuzi sh. 120,000 na mwamuzi wa akiba sh. 30,000. Gharama za tiketi sh. 4,000,000,&lt;br /&gt;umeme sh. 300,000, usafi na ulinzi kwa uwanja sh. 2,350,000 na Wachina (Beijing&lt;br /&gt;Construction) sh. 2,000,000.  &lt;br /&gt;Gharama nyingine ni Jichangie ambayo ni sh. 200 kwa kila tiketi; kila klabu ilipata&lt;br /&gt;sh. 990,500 wakati DRFA ilipata sh. 849,000.  &lt;br /&gt;Source:Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2510235549090471228?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2510235549090471228/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2510235549090471228' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2510235549090471228'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2510235549090471228'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/14150-washuhudia-yanga-ruvu-shooting.html' title='14,150 WASHUHUDIA YANGA, RUVU SHOOTING'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-XqQ0Jhelqdk/TzlKjipdJCI/AAAAAAAAP3k/FN6xBzwOw1I/s72-c/y4.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-603903246760983050</id><published>2012-02-13T20:32:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T20:33:00.851+03:00</updated><title type='text'>TFF WAPELEKA RAMBIRAMBI MSIBA WA KASSIM KASHULWE</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo&lt;br /&gt;cha aliyewahi kuwa mjumbe wake wa Kamati ya Utendaji, Kassim Kashulwe kilichotokea&lt;br /&gt;Februari 9 mwaka huu nyumbani kwake Kigurunyembe mkoani Morogoro. &lt;br /&gt;Licha ya kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF (wakati huo Chama cha Mpira wa&lt;br /&gt;Miguu Tanzania- FAT), pia Kashulwe aliwahi kuwa kiongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu&lt;br /&gt;Mkoa wa Morogoro (MRFA) na baadaye kamishna wa mechi za Ligi Kuu. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa tulizopata leo (Februari 13 mwaka huu) kutoka MRFA, Kashulwe&lt;br /&gt;alifia nyumbani kwake na kuzikwa juzi (Februari 11 mwaka huu) kwenye makaburi ya&lt;br /&gt;Kora yaliyoko nje kidogo ya mji wa Morogoro. &lt;br /&gt;Mbali ya Kashulwe, wengine waliochaguliwa katika uchaguzi wa FAT uliofanyika mwaka&lt;br /&gt;1993 mjini Kibaha ni Muhidin Ndolanga (Mwenyekiti), Alhaji Omari Juma (Makamu&lt;br /&gt;Mwenyekiti) na Kanali Ali Hassan Mwanakatwe (Katibu Mkuu) na wajumbe Abdul Msimbazi,&lt;br /&gt;Amin Bakhresa, Job Asunga, Joel Bendera, Masalu Ngofilo na Wilson Mwanja. &lt;br /&gt;Msiba huo ni pigo kwa familia ya Kashulwe, TFF na familia ya mpira wa miguu nchini&lt;br /&gt;kwa kuwa mchango wake ulikuwa bado unahitajika. &lt;br /&gt;TFF inatoa pole kwa familia ya marehemu Kashulwe, na MRFA na kuwataka kuwa na&lt;br /&gt;uvumilivu kipindi hiki cha msiba huo mzito. Pia TFF itatoa ubani wa sh. 200,000 kwa&lt;br /&gt;familia ya marehemu kama rambirambi zake.  &lt;br /&gt;Mungu aiweke roho ya marehemu Kashulwe mahali pema peponi. Amina&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:&lt;br /&gt;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-603903246760983050?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/603903246760983050/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=603903246760983050' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/603903246760983050'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/603903246760983050'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/tff-wapeleka-rambirambi-msiba-wa-kassim.html' title='TFF WAPELEKA RAMBIRAMBI MSIBA WA KASSIM KASHULWE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3039092700881531716</id><published>2012-02-13T20:09:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T20:21:30.353+03:00</updated><title type='text'>Exhibition Stars of Dar</title><content type='html'>The exhibition Stars of Dar light-footedly introduces you to the most interesting public spaces and buildings of Dar es Salaam. It tells the visitor about their history but most important: to what we can learn from them if we think about the future of our beloved city, according to Mustafa Hassanali, Mbaraka Igangula, Mrisho Mpoto, Njenje Band and other people in Dar’s society. During a workshop, freshly graduated Ardhi University (ARU) students went out to interview them and further conducted 3 short films with interviews at Kariakoo, Posta and Mwenge: what do the users of these spaces think is great about these places, and what can be improved?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The exhibition will be opened by Dr. Livin Mosha, Dean of the School of Architecture and Design (SADE) of the Ardhi University. Prior to that, a short film will be shown, capturing the project and the reactions of the guest visiting the Stars of Dar exhibition in October 2011. You are most welcomed to join the opening on 14 February at 18:30 hours at the exhibition venue at the Slipway.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Exhibition Stars of Dar&lt;br /&gt;Presented: 14 February – 14 March&lt;br /&gt;Opening hours: 12:00 – 19:00hr. between Wednesdays and Sundays&lt;br /&gt;Exhibition space at The Slipway, Msasani Peninsular&lt;br /&gt;Opening: 14 February, 18:30 hrs.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Further information:&lt;br /&gt;&lt;a href="http://starsofdar.tumblr.com"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Stars of Dar is a project under collaboration with Architects Association of Tanzania (AAT), Ardhi University (ARU) and African Architecture Matters of the Netherlands. We thank the Slipway for their cooperation and offer to use the exhibition venue. The project was further supported by the Royal Netherlands Embassy and Green Car rental. The films are developed by Hypermedia.&lt;br /&gt;The exhibition was developed and first presented in the context of GLOBAL CITY - LOCAL IDENTITY, a project series on architecture and city development organized by the Goethe-Institut Tanzania.&lt;br /&gt;For more information see: &lt;br /&gt;&lt;a href="www.facebook.com/GLOBALCITYLOCALIDENTITY"&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Contact details for press: &lt;br /&gt;Berend van der Lans,&lt;br /&gt; bvdl@aamatters.nl, &lt;br /&gt;Mobile +255 759 183 314&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3039092700881531716?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3039092700881531716/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3039092700881531716' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3039092700881531716'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3039092700881531716'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/exhibition-stars-of-dar.html' title='Exhibition Stars of Dar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1145989838217589480</id><published>2012-02-13T20:03:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T20:04:47.574+03:00</updated><title type='text'>Mzee wa miaka 74 aendesha uwakili feki kwa miaka 15</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-B1Oprt7wpU0/TzlCoiqFcRI/AAAAAAAAP3Y/x5ijoxWY7Gk/s1600/Fake-Lawyer.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 242px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-B1Oprt7wpU0/TzlCoiqFcRI/AAAAAAAAP3Y/x5ijoxWY7Gk/s320/Fake-Lawyer.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708667266934337810" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;POLISI  wa Divisheni ya Maroko , Lekki Eti Osa, Victoria Island mjini Lagos, Kusini Magharibi mwa Nigeria, wametia mbaroni raia wa Ghana ambaye amekuwa akifanyakazi za uwakili kwa miaka 15.&lt;br /&gt;Raia huyo wa Ghana anayetambuliwa kwa jina la Otunba Kehinde Dodo, 74, (pichani) anadaiwa kuendesha shughuli ya uwakili bila kisomo wala kibali cha kufanyakazi hiyo.&lt;br /&gt;Mtuhumiwa huyo alifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Igbosere akikabiliw ana mashtaka matano.&lt;br /&gt;Mashtaka hayo ni pamoja na kujifanya mwanasheria, kugushi na kula njama kufanya kosa la jinai na kuiba Naira (fedha za Nigeria) milioni 1.&lt;br /&gt;The police alleged that Dodo was arrested following a complaint lodged by David Onwu that Dodo on 13 June, 2011 approached and identified himself as a legal practitioner that he has a parcel of land to sell to him at Plot 29, Block 78, Lekki Phase 1, Lagos, for N80 million.&lt;br /&gt;He told the police further that Dodo backed up his claims with some documents of the said land and he believed him and paid him N1 million in advance, and promised to pay the balance of N79 million in the next three days since it was a weekend.&lt;br /&gt;But while he was planning to pay the balance, he received a tip from a source that the said land was not genuine and that the lawyer was a fake.&lt;br /&gt;Following the information, the police were informed and they swung into action and arrested Dodo where he was waiting to collect the balance of N79 million.&lt;br /&gt;But the accused reportedly escaped from the police station in the evening of the same day that he was arrested.&lt;br /&gt;However, on 8 February, 2012 he was re-arrested by the police at a hideout following a tip off.&lt;br /&gt;During interrogation, Dodo allegedly confessed to the police that he was a fake lawyer and that the land he wanted to sell to the victim did not belong to him, but just to defraud him.&lt;br /&gt;“My mother is from Ilesha in Osun State and my father is a Ghanaian. I have been impersonating as a lawyer to defraud members of the public, represent them in courts and selling people’s land to unsuspecting members of the public without problem for the past 15 years,” he allegedly confessed to the police.&lt;br /&gt;After investigation, he was charged to court.&lt;br /&gt;According to the police prosecutor, Odugbo Innocent the offence is punishable under Sections 410, 285(5), 363, 378(1) and 106(a) of the Criminal Laws of Lagos State, 2011.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1145989838217589480?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1145989838217589480/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1145989838217589480' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1145989838217589480'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1145989838217589480'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mzee-wa-miaka-74-aendesha-uwakili-feki.html' title='Mzee wa miaka 74 aendesha uwakili feki kwa miaka 15'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-B1Oprt7wpU0/TzlCoiqFcRI/AAAAAAAAP3Y/x5ijoxWY7Gk/s72-c/Fake-Lawyer.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7411574766612317125</id><published>2012-02-13T19:53:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T19:56:34.921+03:00</updated><title type='text'>Kimbunga chaitandika Lagos, Nigeria</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-eQ_OUAmgexY/TzlAiCFJcKI/AAAAAAAAP3I/ShN8oG7HrcA/s1600/Rain-havoc2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 212px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-eQ_OUAmgexY/TzlAiCFJcKI/AAAAAAAAP3I/ShN8oG7HrcA/s320/Rain-havoc2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708664956087005346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MVUA iliyoambatana na kimbunga mjini Lagos Nigeria imeua mtu mmoja na kuharibu vibaya gari baada ya mabango yaliyotundikwa kuanguka.&lt;br /&gt;Bango moja liliimaliza gari wakati jingine liliua mwalimu anayefundisha Chuo cha St Gregory, huko Obalende.&lt;br /&gt;Pamoja na gari kubonyezwa watu wawili waliokuwamo ndani ya gari hili unaloliona walipona.&lt;br /&gt;Mvua hizo zilifanya vurumai kubwa katika maeneo ya Herbert Macaulay Way, Oyadiran Estate, Sabo, Murtala Muhammed Way  na sehemu kadha za Oyingbo.&lt;br /&gt;Mapaa zaidi ya 20 yalivurumushwa angani likiwemo la jengo la sinema la  Silverbird Cinemas lililopo Commercial Avenue, Yaba.&lt;br /&gt;bango jingine pia lilianguka kwenye makazi ya polisi huko Adekunle .&lt;br /&gt;Aidha paa la hosteli ya wanawake chuo kikuu cha Lagos, huko Moremi lilitupwa mbali na kuwaacha wanafunzi wakishangaa.&lt;br /&gt;Maeneo ya Ago-Okota ya Isolo, Lagos pia yalipigwa na kimbunga hicho kilichoharibu makazi ya mamia ya watu na kuwaacha hawana mahali pa kujisetiri.&lt;br /&gt;Kimbunga hicho pia kilitibua maeneo ya Lagos ya Lawanson, Ogunlana Drive, Obalende na Ikoyi.&lt;br /&gt;Watabiri wa hali ya hewa wamesema huo ni mwanzo wa mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha kipindi hiki na kuwataka wananchi kuwa na hadhari kubwa.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-AXStSp2VKoo/TzlAh_N8hBI/AAAAAAAAP3A/sS4e7teppfw/s1600/Rain-havoc1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 212px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-AXStSp2VKoo/TzlAh_N8hBI/AAAAAAAAP3A/sS4e7teppfw/s320/Rain-havoc1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708664955318600722" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;source:http://pmnewsnigeria.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7411574766612317125?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7411574766612317125/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7411574766612317125' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7411574766612317125'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7411574766612317125'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kimbunga-chaitandika-lagos-nigeria.html' title='Kimbunga chaitandika Lagos, Nigeria'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-eQ_OUAmgexY/TzlAiCFJcKI/AAAAAAAAP3I/ShN8oG7HrcA/s72-c/Rain-havoc2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6789664589224938459</id><published>2012-02-13T19:25:00.003+03:00</published><updated>2012-02-13T20:34:05.700+03:00</updated><title type='text'>JK AONANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA URUSI LEO IKULU, DAR ES SALAAM</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-_g3ZSpowwXQ/Tzk5sruC6PI/AAAAAAAAP20/MaLsPpd4Zy4/s1600/ikulu%2Bjk%2Bna%2Bmjumbe%2Bwa%2Burusi.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 213px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-_g3ZSpowwXQ/Tzk5sruC6PI/AAAAAAAAP20/MaLsPpd4Zy4/s320/ikulu%2Bjk%2Bna%2Bmjumbe%2Bwa%2Burusi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708657442481694962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete akimsindikiza/akiagana na mjumbe maalumu wa Rais wa Urusi Bw. Mikhail V. Margelov Ikulu jijini Dar es salaam leo January 13m 2012&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Mikhail V. Margelov, Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi, Mheshimiwa Dmitry Medvedev.&lt;br /&gt;Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo, Jumatatu, Februari 13, 2012 Ikulu, Dar es Salaam, Rais Kikwete amemtaka Mjumbe Maalum huyo kusaidia kushawishi makampuni zaidi ya Urusi kuwekeza katika uchumi wa Tanzania.&lt;br /&gt;Aidha, Rais Kikwete ametaka Tanzania na Urusi kuongeza ushirikiano wa kiuchumi katika nyanja mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua ambazo zitaongeza idadi ya watalii wa Urusi wanaotembelea Tanzania. Mwaka jana ni watalii 4,500 wa Urusi waliotembelea Tanzania.&lt;br /&gt;Rais Kikwete na Mheshimiwa Margelov pia wamezungumzia masuala mbali mbali ya kimataifa, ya kanda ya Afrika na ya uhusiano kati ya Tanzania na Urusi.&lt;br /&gt;Mjumbe Maalum huyo wa Mheshimiwa Medvedev anatembelea Tanzania ikiwa ni sehemu ya ziara yake katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya na Uganda. Alianza ziara yake kwa kutembelea Zanzibar jana na atakuwa Kenya kesho.&lt;br /&gt;Mwisho.&lt;br /&gt;Imetolewa na:&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu.&lt;br /&gt;Dar es Salaam.&lt;br /&gt;13 Februari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6789664589224938459?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6789664589224938459/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6789664589224938459' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6789664589224938459'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6789664589224938459'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/k-aonaan-mjumbe-maalum-wa-rais-wa-urusi.html' title='JK AONANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA URUSI LEO IKULU, DAR ES SALAAM'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-_g3ZSpowwXQ/Tzk5sruC6PI/AAAAAAAAP20/MaLsPpd4Zy4/s72-c/ikulu%2Bjk%2Bna%2Bmjumbe%2Bwa%2Burusi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2429846506107446073</id><published>2012-02-13T19:21:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T19:23:36.366+03:00</updated><title type='text'>hiki  chombo milima ya mbinga inawezekana kweli?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-e3iN67WVys8/Tzk4-v464kI/AAAAAAAAP2o/u91B3_wYaA8/s1600/kapinga%2Bna%2Buja%2Buzito.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-e3iN67WVys8/Tzk4-v464kI/AAAAAAAAP2o/u91B3_wYaA8/s320/kapinga%2Bna%2Buja%2Buzito.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708656653327065666" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;WAKATI MWINGINE UNA WAJIBIKA KUKUBALIANA NA HALI HEBU ONA MWANDISHI WA HABARI MACHACHARI CERENSECIA KAPINGA AKIWA KATIKA PIKIPIKI YA WAGONJWA NI KWELI HIZO PIKIPIPI ZINAWEZA KUMUDU MILIMA YA MBINGA AMBAKO NI NYUMBANI KWA MWANDISHI HUYU&lt;br /&gt;&lt;a href="http://songeahabari.blogspot.com"&gt;http://songeahabari.blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2429846506107446073?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2429846506107446073/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2429846506107446073' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2429846506107446073'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2429846506107446073'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/hiki-chombo-milima-ya-mbinga.html' title='hiki  chombo milima ya mbinga inawezekana kweli?'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-e3iN67WVys8/Tzk4-v464kI/AAAAAAAAP2o/u91B3_wYaA8/s72-c/kapinga%2Bna%2Buja%2Buzito.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-204802373536879215</id><published>2012-02-13T19:00:00.003+03:00</published><updated>2012-02-13T19:21:56.957+03:00</updated><title type='text'>NHIF FULL CHEERZ</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-I8Xw4BH5_Tc/Tzk0CFmWjHI/AAAAAAAAP1g/qnCSbTyRbmQ/s1600/WAKIONESHANA%2BNHIF.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-I8Xw4BH5_Tc/Tzk0CFmWjHI/AAAAAAAAP1g/qnCSbTyRbmQ/s320/WAKIONESHANA%2BNHIF.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708651213136235634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MWENYEKITI WA KAMATI YA SHEREHE AMBAYE NI MKURUGENZI WA UENDESHAJI WA NHIF BWN. EUGEN MIKONGOTI HAKUWA NYUMA KATIKA KUWAKARIBISHA WAALIKWA KATIKA SHEREHE HIYO.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-gfrX-tleN4U/Tzk0B2teh5I/AAAAAAAAP1Y/leVpuvQLL2M/s1600/HOMEBOY.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-gfrX-tleN4U/Tzk0B2teh5I/AAAAAAAAP1Y/leVpuvQLL2M/s320/HOMEBOY.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708651209139586962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MKURUGENZI WA  UHAI WA MFUKO,TAKWIMU NA UTAFITI  BWN. MICHAEL MHANDO ALIPATA TUZO YA UTAMBUZI KWA KUTUMIKIA MFUKO KWA MIAKA 10.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-xEoAFVFERr8/Tzk0DXm8d9I/AAAAAAAAP18/0Pb8getd6fQ/s1600/WAKIJISEVIA%2BCHAKULA.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-xEoAFVFERr8/Tzk0DXm8d9I/AAAAAAAAP18/0Pb8getd6fQ/s320/WAKIJISEVIA%2BCHAKULA.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708651235150428114" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MAFANIKIO YOYOTE HAYAWEZI KWENDA BILA UWEPO WA MWANAMKE,MAMA MKURUGENZI AKIFANYA MAMBO HUKU AKIAMBATANA NA MKURUGENZI MKUU KATIKA KUFANYA MAJUMUISHO NA MAKARIBISHO YA MWAKA MPYA.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-qB0IwiqRjIY/Tzk0Eqoov1I/AAAAAAAAP2I/_JEPBXCgg8o/s1600/KWAITO.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-qB0IwiqRjIY/Tzk0Eqoov1I/AAAAAAAAP2I/_JEPBXCgg8o/s320/KWAITO.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708651257437667154" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;MAMBO YA KWAITO HAYAKUWA NYUMA TIMU YA WANA NHIF IKIJIMWAGA KAMA KAWA, KWANI NI SEHEMU YA KUJENGA AFYA.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/--fIkW_zseMg/Tzk127Aok5I/AAAAAAAAP2c/OvBNKTU3Gt0/s1600/SHOWINGLOVE.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 214px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/--fIkW_zseMg/Tzk127Aok5I/AAAAAAAAP2c/OvBNKTU3Gt0/s320/SHOWINGLOVE.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708653220338373522" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;WANASHOW LOVE KWENYE REDCARPET NI BAADA YA KUTUMIKIA UMMA KWA MWAKA MZIMA 2011.&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-204802373536879215?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/204802373536879215/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=204802373536879215' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/204802373536879215'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/204802373536879215'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/nhif-full-cheerz.html' title='NHIF FULL CHEERZ'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-I8Xw4BH5_Tc/Tzk0CFmWjHI/AAAAAAAAP1g/qnCSbTyRbmQ/s72-c/WAKIONESHANA%2BNHIF.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1728193022941637368</id><published>2012-02-13T14:13:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T14:17:02.183+03:00</updated><title type='text'>Adele  kinara  Tuzo za Grammy mwaka huu</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-h--7u0kI30c/TzjxKCVD7AI/AAAAAAAAP1M/7M5rJi7BbLA/s1600/adele.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-h--7u0kI30c/TzjxKCVD7AI/AAAAAAAAP1M/7M5rJi7BbLA/s320/adele.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708577682418297858" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwimbaji  Adele amekuwa  kinara wa Tuzo za Grammy mwaka huu baada ya kuondoka na tuzo sita zikiwemo za  rekodi, wimbo na albamu ya mwaka .&lt;br /&gt;Pia katika hafla hiyo alirejea rasmi katika steji bada aya kmuimba kwa mara ya kwanza tangu alipofanyiw aupasuaji wa koo mwaka jana.&lt;br /&gt;Rock band Foo Fighters walipata tuzo tano huko mfokaji Kanye West akitwaa nne.&lt;br /&gt;Hafla hiyo pia ilimkumbuka mkali wa pop Whitney Houston, ambaye alikufa Jumamosi iliyopita wakati Amy Winehouse alipata tuzo baada ya kufa kwake.&lt;br /&gt;Wazazi wa Winehouse walipokea tuzo hiyo kwa niaba yake kutokana na kufanya vyema katika wimbo wake alioupiga na Tony Bennet muda mfupi kabla ya kifo chake Julai mwaka jana.&lt;br /&gt;Wimbo huo ni Body And Soul.&lt;br /&gt;Adele alitwaa kila tuzo aliyokuwa ameteuliwa ikiwemo rekodi bora ya mwaka, wimbo bora wa mwaka na video ya muziki bomba ya Rolling In The Deep. Na albamu yake inayokwenda kwa jina la 21 ilitwa albamu ya mwaka.&lt;br /&gt;Projuza  Paul Epworth, ambaye pia alifanyakazi na  Foster The People, Florence and the Machine na Cee Lo Green,  ametajwa kuwa projuza bora wa non-classical.&lt;br /&gt;Foo Fighters' awards included best rock album, best rock song, best rock performance and best hard rock/metal performance.&lt;br /&gt;Foo Fighters frontman Dave Grohl joined Sir Paul McCartney on stage &lt;br /&gt;"This is a great honour because this record was a special record for our band," frontman Dave Grohl told the crowd.&lt;br /&gt;"Rather than go to the best studio, we made this one in my garage with some microphones and a tape machine. It shows that the human element of making music is what's most important." &lt;br /&gt;Kanye West's solo album My Beautiful Dark Twisted Fantasy earned three awards, including best rap song and best rap album, while the track Otis, from Watch the Throne, his collaboration with Jay-Z, was named best rap performance.&lt;br /&gt;That takes West's career Grammy total to 18 - but neither he nor Jay-Z were present to pick up their awards this year.&lt;br /&gt;Bon Iver, fronted by US singer-songwriter Justin Vernon, were named best new act - five years after their acclaimed debut album was released. Their self-titled second LP also won best alternative album.&lt;br /&gt;Other British victors included soul singer Corinne Bailey Rae, who scooped best R&amp;B performance for Is This Love, and Sir Paul McCartney, whose deluxe reissue of Wings' Band On The Run was named best historial album.&lt;br /&gt;US dance DJ Skrillex won three prizes, with double winners including folk duo The Civil Wars, country star Taylor Swift and gospel singer Kirk Franklin.&lt;br /&gt;Chris Brown won the trophy for best R&amp;B album for F.A.M.E., returning to the event for the first time since assaulting his then-girlfriend Rihanna before the 2009 ceremony.&lt;br /&gt;He and Rihanna were both present this time. She was among the night's performers, taking to the stage with British band Coldplay.&lt;br /&gt;Also playing live were Bruce Springsteen, Sir Paul McCartney, the Beach Boys and Kelly Clarkson.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1728193022941637368?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1728193022941637368/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1728193022941637368' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1728193022941637368'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1728193022941637368'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/adele-kinara-tuzo-za-grammy-mwaka-huu.html' title='Adele  kinara  Tuzo za Grammy mwaka huu'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-h--7u0kI30c/TzjxKCVD7AI/AAAAAAAAP1M/7M5rJi7BbLA/s72-c/adele.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2960170247260079864</id><published>2012-02-13T14:12:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T14:13:03.651+03:00</updated><title type='text'>CCM waanza kujipanga Arumeru</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halmashauri Kuu ya CCM Taifa katika kikao chake cha siku moja chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa Dr. Jakaya M. Kikwete, pamoja na mambo mengine imetoa ratiba ya mchakato wa kumpata mgombea wa CCM kwa uchaguzi mdogo wa jimbo la Arumeru Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kikao chake hicho kilichofanyika tarehe 12/02/2012 mjini Dodoma, NEC pia imetoa ratiba ya mchakato wa kuwapata wagombea udiwani kwa tiketi ya CCM kwenye kata nane zilizotangazwa kufanya chaguzi Ndogo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;1. UBUNGE:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika nafasi ya Ubunge kwa Arumeru Mashariki, utaratibu utakaotumika ni ule wa kupiga kura za maoni kwenye Mkutano Mkuu wa Jimbo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(i)  Tarehe 13 – 18/02/2012​ Kuchukua na kurejesha fomu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(ii)  Tarehe 20/02/2012​ Mkutano Mkuu wa Jimbo kupiga Kura za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(iii) Tarehe 21/02/2012​ Kamati ya Siasa ya Wilaya kujadili Wagombea na kutoa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;     mapendekezo yake kwa Kamati ya Siasa ya Mkoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(iv)  Tarehe 24/02/2012​ Kamati ya Siasa ya Mkoa kujadili Kutoa mapendekezo yake kwa Kamati kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(v)  Tarehe 27/02/2012 ​Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa kufanya uteuzi wa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;2. UDIWANI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafasi ya Udiwani katika kata 8 za Tanzania Bara Katika nafasi hii kura za maoni zitapigwa kwenye Mikutano Mikuu ya Matawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(i)  Tarehe 13 – 16/02/2012​Kuchukua na kurejesha fomu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(ii) Tarehe 17 – 21/02/2012 Kampeni za Uchaguzi kwenye Matawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(iii) Tarehe 22/02/2012​Mikutano Mikuu ya Matawi kupiga kura za maoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(iv)  Tarehe 25/02/2012 Kamati za Siasa za Wilaya kujadili wagombea na kutoa mapendekezo yake kwa Kamati za Siasa za Mikoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(v)  Tarehe 27/02/2012​ Kamati za Siasa za Mikoa kujadili wagombea na kutoa mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu za Mikoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(vi)  Tarehe 29/02/2012 ​Halmashauri Kuu za Mikoa kufanya uteuzi wa wagombea. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;      Katika hatua nyingine Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imepokea maelezo juu ya mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya na maelezo juu ya mgomo wa madaktari nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla NEC imepokea maelezo hayo kutoka serikalini na kuiagiza serikali kukamilisha mchakato wa kumaliza kabisa mgogoro wa madaktari nchini na kuhakikisha migogoro ya namna hiyo inashughulikiwa mapema ili isiwe na madhara makubwa kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NEC imeridhishwa na jinsi mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya unavyoendelea na kuipongeza serikali kwa jinsi inavyolisimamia swala hilo. Imewataka wana CCM na wananchi wote kushiriki mchakato huo, huku wakizingatia kutunza amani na utulivu uliopo nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imewapongeza viongozi, wanachama na wananchi wa Mkoa wa Mwanza kwa jinsi walivyofanikisha sherehe za miaka 35 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi ambapo kitaifa mwaka huu zilifanyika mkoani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sherehe hizo ziliandaliwa na kufanikiwa kwa kiwango cha hali ya juu kabisa, hivyo NEC inawapongeza kwa kufanikisha sherehe hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na Mkoa wa Mwanza NEC inawapongeza wanachama, viongozi na wananchi kwa ujumla nchi nzima kwa jinsi walivyofanikisha sherehe hizo za miaka 35 ya kuzaliwa kwa CCM kwenye maeneo yao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nape Moses Nnauye&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itikadi na Uenezi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2960170247260079864?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2960170247260079864/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2960170247260079864' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2960170247260079864'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2960170247260079864'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ccm-waanza-kujipanga-arumeru.html' title='CCM waanza kujipanga Arumeru'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1777764641310067833</id><published>2012-02-13T13:10:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T13:12:27.463+03:00</updated><title type='text'>Uchunguzi wa awali w akifo cha Huston watoka- hakuna jinai</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-8g5Iu6wnZHc/Tzjh-sTituI/AAAAAAAAP1A/t8ZFPmM27VQ/s1600/na%2Bmtoto%2Bwake.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-8g5Iu6wnZHc/Tzjh-sTituI/AAAAAAAAP1A/t8ZFPmM27VQ/s320/na%2Bmtoto%2Bwake.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708560994853369570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Whitney akiwa na mtoto wake Bobbi&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;AFISA mchunguzi wa vifo vya ghafla mjini  Los Angeles amesema hakuna dalili za jinai katika kifo cha muigizaji na mwimbaji maarufu Whitney Houston.&lt;br /&gt;Baada ya kufanya uchungiuzi wake wa awali alisema hakuna dalili za wazi katika mwili wa mwimbaji huyo ambazo zinaonesha faulo yoyote ile ya jinai.&lt;br /&gt;Hata hivyo amesema kwamba taarifa kamili itatolewa baada ya kukamilika kwa uchunguzi wa viashiria vya sumu katika mwili (kusumisha).&lt;br /&gt;Msanii huyo maarufu alikutwa amekufa bafuni katika hotelia liyofikia Jumamosi iliyopita.&lt;br /&gt;Afisa mchunguzi huyo amesema kwamba hatasema chochote cha zaidi kuhusiana na alichokiona katika mwili wa msanii huyo baada ya kuombw akuufanyia uchunguzi na polisi wa Los Angeles.&lt;br /&gt;Wakati huo huo Mtoto  wa mwimbaji huyo ambaye alikuwa anakung’uta noti ambazo ni adimu kufikiwa na watu Bobbi ametolewa hospitalini baada ya kukimbizwa huko kutokana na mshtuko wa kifo cha mama yake.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1777764641310067833?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1777764641310067833/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1777764641310067833' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1777764641310067833'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1777764641310067833'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/uchunguzi-wa-awali-w-akifo-cha-huston.html' title='Uchunguzi wa awali w akifo cha Huston watoka- hakuna jinai'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-8g5Iu6wnZHc/Tzjh-sTituI/AAAAAAAAP1A/t8ZFPmM27VQ/s72-c/na%2Bmtoto%2Bwake.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7593897529420452540</id><published>2012-02-13T12:07:00.003+03:00</published><updated>2012-02-13T12:12:39.782+03:00</updated><title type='text'>Iringa nyama kwa kwenda mbele</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-abATHayg4F4/TzjTlmLV8ZI/AAAAAAAAP0c/CB6HMLzoLSU/s1600/mambo%2Byanaendelea.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-abATHayg4F4/TzjTlmLV8ZI/AAAAAAAAP0c/CB6HMLzoLSU/s320/mambo%2Byanaendelea.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708545170548846994" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mnada mpya wa Manispaa ya Iringa uliopo eneo la Kitwiru umezidi kujizolea umaarufu mkubwa kwa nyama choma na kuanza kuuzidi mnada wa Dodoma ambao umekuwa maarufu hapa nchini .&lt;br /&gt;Tayari eneo hilo limejengwa vizuri na kuwekwa huduma zote za jamii kama choo ,jengo la kupumzika na huduma ya maji na idadi ya watu kutembelea mnada huo imezidi kuongezeka zaidi .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-IHkLg2MoLCg/TzjTlMVNz1I/AAAAAAAAP0U/4wrdYciPJyY/s1600/mchoma%2Bnyama.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-IHkLg2MoLCg/TzjTlMVNz1I/AAAAAAAAP0U/4wrdYciPJyY/s320/mchoma%2Bnyama.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708545163610935122" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-B8BK1W6_gzs/TzjTk5dJjGI/AAAAAAAAP0E/yWdRebf0Kdk/s1600/kichwa%2Bndani%2Bya%2Bbeseni.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-B8BK1W6_gzs/TzjTk5dJjGI/AAAAAAAAP0E/yWdRebf0Kdk/s320/kichwa%2Bndani%2Bya%2Bbeseni.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708545158543936610" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-BnWx-U48RvU/TzjTmH4WApI/AAAAAAAAP00/QmQz9r1kw-w/s1600/zaiva%2Btaratibu.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-BnWx-U48RvU/TzjTmH4WApI/AAAAAAAAP00/QmQz9r1kw-w/s320/zaiva%2Btaratibu.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708545179595965074" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zipo taarifa kutoka ofisi ya mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa kuwa wafanyabiashara ndogo ndogo wa mnada wa Miyomboni jumapili ijayo watahamishiwa katika mnada huo ambao umejizolea umaarufu mkubwa kwa mapicha vururu nenda huku &lt;a href="http://francisgodwin.blogspot.com"&gt;http://francisgodwin.blogspot.com&lt;/a&gt;http://www.blogger.com/img/blank.gif&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7593897529420452540?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7593897529420452540/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7593897529420452540' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7593897529420452540'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7593897529420452540'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/iringa-nyama-kwa-kwenda-mbele.html' title='Iringa nyama kwa kwenda mbele'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-abATHayg4F4/TzjTlmLV8ZI/AAAAAAAAP0c/CB6HMLzoLSU/s72-c/mambo%2Byanaendelea.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3714647255093613731</id><published>2012-02-13T11:59:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T12:04:58.059+03:00</updated><title type='text'>Mbunge wa Viti maalumu Chadema anusurika kufa ajalini</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-rjmNVyACdbw/TzjR0EU3fmI/AAAAAAAAPzU/xq9ZVqYbrBI/s1600/akionesha%2B%2Bgari%2Blake.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-rjmNVyACdbw/TzjR0EU3fmI/AAAAAAAAPzU/xq9ZVqYbrBI/s320/akionesha%2B%2Bgari%2Blake.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708543220136771170" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha Demokrasia na maendeo (Chadema) Chiku Abwao amenurika kifo baada ya gari lake lenye namba za usajili T 252 BSX VX ambalo alilokuwa akisafiria kutoka Dodoma kuja Iringa kukwanguliwa na fuso katika eneo la Doma mkoani Morogoro usiku wa leo.&lt;br /&gt;Akizungumza na mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com leo mbunge huyo alisema kuwa lori hilo aina ya fuso lilimfuata upande wake na kumgonga na kuendelea na safari na kuwa bila umakini wa dereva wake hali ya usalama wake ulikuwa mdogo sana.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-l33C3GAjzg0/TzjR0_wU_1I/AAAAAAAAPzs/H2p-J8kuc5M/s1600/namba%2Bya%2Bgari.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-l33C3GAjzg0/TzjR0_wU_1I/AAAAAAAAPzs/H2p-J8kuc5M/s320/namba%2Bya%2Bgari.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708543236089642834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-zgpIeKGjji0/TzjR0Kkf5aI/AAAAAAAAPzg/qyaFmNNtpC0/s1600/ilivyo%2Bkw%2Bapembeni.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-zgpIeKGjji0/TzjR0Kkf5aI/AAAAAAAAPzg/qyaFmNNtpC0/s320/ilivyo%2Bkw%2Bapembeni.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708543221812946338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kwani alisema kuwa lori hilo baada ya kukwangua upande wa dereva halikuweza kusimama liliendelea na safari na wao kupelekea taili la moja lilipasuka na kupelekea gari lao kuhama njia .&lt;br /&gt;Hata hivyo alisema katika gari hilo walikuwa yeye na dereva wake na kuwa hakuna aliyejeruhiwa kutokana na kufunga mikanda na kuwa mikanda na mwendo mzuri wa dereva wake ndio umesaidia kupona katika ajali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-CdhlhqS_Ruk/TzjR1XkewVI/AAAAAAAAPz4/eRF5UEcY3xs/s1600/tairi.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-CdhlhqS_Ruk/TzjR1XkewVI/AAAAAAAAPz4/eRF5UEcY3xs/s320/tairi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708543242482401618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source:&lt;a href="http://francisgodwin.blogspot.com"&gt;http://francisgodwin.blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3714647255093613731?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3714647255093613731/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3714647255093613731' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3714647255093613731'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3714647255093613731'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mbunge-wa-viti-maalumu-chadema.html' title='Mbunge wa Viti maalumu Chadema anusurika kufa ajalini'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-rjmNVyACdbw/TzjR0EU3fmI/AAAAAAAAPzU/xq9ZVqYbrBI/s72-c/akionesha%2B%2Bgari%2Blake.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8128327525514662186</id><published>2012-02-13T11:55:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T11:59:52.684+03:00</updated><title type='text'>CCM na mabadiliko yake ya kikatiba</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-bhtRhfFuans/TzjQ5uRyMHI/AAAAAAAAPzI/oVS6KddUJXk/s1600/Nape-akizungumza-na-waandishi-wa-habari-leo-mjini-Dar-es-Salaam-Picha-na-Bashir-Nkoromo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 221px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-bhtRhfFuans/TzjQ5uRyMHI/AAAAAAAAPzI/oVS6KddUJXk/s320/Nape-akizungumza-na-waandishi-wa-habari-leo-mjini-Dar-es-Salaam-Picha-na-Bashir-Nkoromo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708542217785847922" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Taarifa kwa vyombo vya habari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utangulizi:Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi imefanya kikao chake maalum chini ya Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete tarehe 12.02.2012. Katika kikao hicho halmashauri kuu ya Taifa pamoja na mambo mengine imeamua;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufanya marekebisho ya katiba ya ccm ya 1977, toleo la 2010 na kanuni zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halmashauri kuu ya taifa imeridhia marekebisho ya katiba ya CCM ya 1977, toleo la 2010 hivyo kubadili namna ambavyo wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa inavyopatikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mabadiliko hayo wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya CCM watakuwa katika makundi yafuatayo:-(a) ngazi ya taifawajumbe 10 kutoka Tanzania barawajumbe 10 kutoka Tanzania visiwani(b) wajumbe 10 wa kuteuliwa na mwenyekiti wa CCM taifa(c) wajumbe wanaoingia kwa nafasi zao.(d). Wajumbe wanaotoka kwenye vyombo vya uwakilishii. Wanaochaguliwa na bunge 10 (bara 8, zanzibar 2)ii. Wanaochaguliwa na blw 5 (zanzibar 5)(e). Wajumbe wanaochaguliwa kutoka wilayani.-221&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wajumbe wa halmashauri kuu ya taifa waliochaguliwa kupitia wilaya watakuwa ni viongozi wa kazi za muda wote ili kuweka wazi zaidi wajibu wa wajumbe hao wa kuwa karibu na wanachama na kushughulikia shida zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(f). Wajumbe toka kwenye jumuiya za chamai. Wanaochaguliwa na uwt 15 (bara 9, zanzibar 6)ii. Wanaochaguliwa na uvccm 10 (bara 6, zanzibar 4)iii.wanaotokana na wazazi 5 (bara 3, zanzibar 2)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha halmashauri kuu ya Taifa imeamua kuwa viongozi wakuu wastaafu ngazi ya taifa waundiwe baraza la ushauri.Baraza hilo litakuwa na wajumbe wafuatao:-• Marais wastaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ambao walikuwa wenyeviti wa ccm Taifa.• Marais wastaafu wa zanzibar ambao pia walikuwa makamu wenyeviti wa ccm Taifa.• Makamu wa mwenyekiti wa ccm Taifa wastaafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baraza litakuwa na kazi ya kutoa ushauri kwa chama cha mapinduzi na serikali zinazoongozwa na ccm, kwa madhumuni hayo hayo katika jambo mahsusi. Wajumbe wa baraza hilo wanaweza pia kualikwa ama wote au mwakilishi wao kuhudhuria vikao vya chama ngazi ya taifa.Imetolewa na:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nape M. Nnauye.Katibu wa NEC wa itikadi na uenezi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8128327525514662186?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8128327525514662186/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8128327525514662186' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8128327525514662186'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8128327525514662186'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ccm-na-mabadiliko-yake-ya-kikatiba.html' title='CCM na mabadiliko yake ya kikatiba'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-bhtRhfFuans/TzjQ5uRyMHI/AAAAAAAAPzI/oVS6KddUJXk/s72-c/Nape-akizungumza-na-waandishi-wa-habari-leo-mjini-Dar-es-Salaam-Picha-na-Bashir-Nkoromo.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3730644950410652068</id><published>2012-02-13T11:00:00.002+03:00</published><updated>2012-02-13T11:16:18.275+03:00</updated><title type='text'>maisha ni mapambano</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-TXPqoBRHkts/TzjGzGMPT2I/AAAAAAAAPy8/WvJAPZTVyfk/s1600/tenga.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-TXPqoBRHkts/TzjGzGMPT2I/AAAAAAAAPy8/WvJAPZTVyfk/s320/tenga.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708531108829679458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkazi wa Mwanzomgumu katika Manispaa ya Morogoro, ambaye jina lake halikufahamika , akiwa amejitwisha tenga lililosheheni bidhaa za aina mbalimbali kwa ajili ya kuwauzia wakazi wa eneo hilo lililopo milimani , nje ya Manispaa hiyo kama alivyokutwa hivi karibuni&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3730644950410652068?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3730644950410652068/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3730644950410652068' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3730644950410652068'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3730644950410652068'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/maisha-ni-mapambano.html' title='maisha ni mapambano'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-TXPqoBRHkts/TzjGzGMPT2I/AAAAAAAAPy8/WvJAPZTVyfk/s72-c/tenga.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7557296708909067159</id><published>2012-02-13T10:57:00.000+03:00</published><updated>2012-02-13T11:00:04.938+03:00</updated><title type='text'>MAMA AKITENGENEZA UDOGO WA KUTAFUNA maarufu kama UDONGO WA KIPEMBA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-33M953Huunc/TzjCq_8n0jI/AAAAAAAAPyk/_qpavb8lsqE/s1600/udongo2.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-33M953Huunc/TzjCq_8n0jI/AAAAAAAAPyk/_qpavb8lsqE/s320/udongo2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708526571668099634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwanamke mkazi wa Mambongo, Manispaa ya Morogoro, ambaye jina lake halikufahamika mara moja na mwanae, wakitengeneza vipande vya udongo maalumu unaotumika kutafunwa hasa na wanawake na baadaye kuuzwa madukani na sokoni kama alivyokutwa eneo hilo juzi &lt;/span&gt;.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-sBxaCquMi08/TzjCrCx5GiI/AAAAAAAAPyw/RJYiXs4FDFM/s1600/udongo.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 184px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-sBxaCquMi08/TzjCrCx5GiI/AAAAAAAAPyw/RJYiXs4FDFM/s320/udongo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708526572428401186" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Source:John Nditi Morogoro&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7557296708909067159?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7557296708909067159/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7557296708909067159' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7557296708909067159'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7557296708909067159'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mama-akitengeneza-udogo-wa-kutafuna.html' title='MAMA AKITENGENEZA UDOGO WA KUTAFUNA maarufu kama UDONGO WA KIPEMBA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-33M953Huunc/TzjCq_8n0jI/AAAAAAAAPyk/_qpavb8lsqE/s72-c/udongo2.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8946433349229523515</id><published>2012-02-13T10:37:00.001+03:00</published><updated>2012-02-13T10:37:47.464+03:00</updated><title type='text'>MHESHIMIWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MOHAMED GHALIB BILAL KUFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOA WA RUVUMA</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohamed Ghalib Bilal anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi mkoani Ruvuma yenye lengo la kukagua na kuhamasisha shughuli za Maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu amesema ziara hiyo inatarajia kuanza tarehe 14 Februari 2012 na atahitimishwa tarehe 17 Februari 2012.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwa mkoani Ruvuma Mheshimiwa Makamu wa Rais atatembelea wilaya za Songea, Namtumbo na Mbinga. Wilaya ya Songea atapokea taarifa ya Maendeleo ya mkoa na pia taarifa ya Mkoa ya chama Tawala (CCM). Kazi zingine atakazofanya ni pamoja na kukagua Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Makamu wa Rais apata fursa ya kutembelea wilaya ya Namtumbo ambapo atapata taarifa ya mradi wa Uranium unaoendeshwa na kampuni ya Mantra Tanzania na atasilimiana na wananchi wa kijiji cha Likuyu Sekamaganga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwa wilaya ya Mbinga Makamu wa Rais atakagua shamba la mbegu bora za mahindi linaloendeshwa na gereza la Kitai kisha atakagua na kupokea taarifa ya mradi wa makaa ya mawe uliopo Ngaka na mwisho atasalimiana na wananchi wa Mbinga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amewomba wananchi wote kujitokeza kwa wingi siku ya Jumanne kumpokea Mheshimiwa Makamu wa Rais atakapowasili mkoani na kumshangilia atakapopita katika barabara  kama ilivyo desturi wa wana Ruvuma &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na :&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Revocatus A.Kassimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Afisa Habari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;12 Februari 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8946433349229523515?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8946433349229523515/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8946433349229523515' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8946433349229523515'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8946433349229523515'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mheshimiwa-makamu-wa-rais-wa-jamhuri-ya.html' title='MHESHIMIWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MOHAMED GHALIB BILAL KUFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOA WA RUVUMA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-20384434702046971</id><published>2012-02-12T18:16:00.002+03:00</published><updated>2012-02-12T18:25:32.040+03:00</updated><title type='text'>Mwimbaji na muigizaji Whitney Houston, afariki dunia</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-4uGp306voG0/TzfZk9x-fmI/AAAAAAAAPyM/PuJf-9QTzOA/s1600/houston.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 217px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-4uGp306voG0/TzfZk9x-fmI/AAAAAAAAPyM/PuJf-9QTzOA/s320/houston.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708270281798090338" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Whitney katika moja ya maonesho yake&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;MWIMBAJI na muigizaji wa Marekani Whitney Houston amekufa mjini Los Angeles akiwa na umri wa miaka 48.&lt;br /&gt;Polisi wamesema kwamba mdada huyo amekufa chumbani kwake hoteli ya Beverly Hilton ambapo alikuwa akiishi kama  mgeni akisubiri  shughuli zatuzo za Grammy.&lt;br /&gt;Houston ambaye ni maarufu kwa uimbaji  katika miaka yake yote ya maisha atakumbukwa sana na vigongo kama I Will Always Love You na Saving All My Love For You.&lt;br /&gt;Pamoja na umaarufu  wake alijikuta akiwa katika matata ya kutumia mihadarati hasa baada ya kukolea kwa mwimbaji Bobby Brown ambaye inaaminika ndiye aliyemtumbukiza katika kadhia hiyo.Baadaye binti huyo mwenye sauti bomba alipatiwa matibabu ya matumizi ya mihadarati.&lt;br /&gt;Houston alikufa usiku wa kuamkia shughuli za tuzo za Grammy mjini Los Angeles. Alikuwa ahudhurie hafla kabla ya sherehe za tuzo hizo katika hoteli ya Beverly Hilton iliyoratibiwa na Clive Davis Jumamosi jioni wakati umauti ulipompata.&lt;br /&gt;Vyombo vya habari vimesema kwamba Houston alikuwa anachapa maji sana kati ya Alhamisi na Ijumaa.&lt;br /&gt;Polisi wamesema kwamba  uchunguzi wa mwili huo utafanyika kati ya siku mbili zijazo lakini kama itaonekana kuna tatizo la mihadarati uchunguzi huo utakamilika katika kipindi cha miezi sita ijayo.&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;Mambo byee ya Houston kama mwimbaji&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;    * Ameuza rekodi milioni 170 duniani kote&lt;br /&gt;    * amekamata mara 11 nafasi ya kwanza katika  rekodi nchini Marekani na mara 4 Uingereza&lt;br /&gt;    * Ameshindatuzo za grammy mara 6, zikiwemotatu za Best Female Pop Vocal Performance&lt;br /&gt;    * Ameshinda tuzo  30 za Billboard na 22 za American Music &lt;br /&gt;    * Kigongo chake cha  I Will Always Love You ndio bora duniani kwa sasa kutoka kwa msanii wa kike&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Kiinglish kimenishinda endelea nacho hiki wewe mwenyewe&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-02iceyGjGeg/TzfZlNopQyI/AAAAAAAAPyc/h-NYOg-VYco/s1600/houston%2Bpotra.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 300px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-02iceyGjGeg/TzfZlNopQyI/AAAAAAAAPyc/h-NYOg-VYco/s320/houston%2Bpotra.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708270286053917474" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;The hotel was already teeming with reporters and celebrities when police received an emergency call from hotel security at 15.43 local time (23:43 GMT), Beverly Hills police spokesman Mark Rosen told the BBC.&lt;br /&gt;Police were despatched, but paramedics who were already at the hotel because of the party attempted to resuscitate her, without success. She was pronounced dead at 15:55.&lt;br /&gt;Mr Rosen said Ms Houston's entourage - comprising family members, friends and co-workers - had taken over much of the fourth floor of the hotel.&lt;br /&gt;"There were a number of people on scene who were able to positively identify Ms Houston for us," he said, adding that her next of kin have been informed of her death.&lt;br /&gt;Police investigators inspected the scene before Ms Houston's body was moved from the hotel to the coroner's office for an autopsy.&lt;br /&gt;While the cause of death is unclear, Mr Rosen said there were "no obvious signs of criminal intent".&lt;br /&gt;An autopsy is likely to be held within the next two days. However, if drugs or alcohol are involved, it will take between six and eight weeks for toxicology tests to be completed.&lt;br /&gt;The US celebrity website TMZ.com reported that Ms Houston had been partying heavily on both Thursday and Friday nights.&lt;br /&gt;She briefly took the microphone and performed a song while out in Hollywood on Thursday, and was seen drinking and chatting loudly with friends in the hotel bar on Friday, according to TMZ.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;'Finest voice'&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Houston's background was steeped in soul and gospel music. &lt;br /&gt;Her mother was gospel singer Cissy Houston, she was cousin to singer Dionne Warwick and goddaughter to Aretha Franklin.&lt;br /&gt;"I just can't talk about it now," Ms Franklin said in a short statement. "It's so stunning and unbelievable. I couldn't believe what I was reading coming across the TV screen."&lt;br /&gt;Having grown up in New Jersey, Houston began singing in church and then in the night clubs of New York, and was a model before being signed by Arista Records.&lt;br /&gt;At the height of her career in the 1980s and 90s she won many awards and enjoyed several number one singles and albums.&lt;br /&gt;Artists from Mariah Carey to Christina Aguilera have tried to emulate her bravura performances, but none of them were as good as the original, music critic Paul Gambaccini told the BBC.&lt;br /&gt;Carey was one of the many singers to pay tribute to the star, saying she was "heartbroken and in tears over the shocking death of my friend".&lt;br /&gt;"My heartfelt condolences to Whitney's family and to all her millions of fans throughout the world. She will never be forgotten as one of the greatest voices to ever grace the earth."&lt;br /&gt;Houston also enjoyed success acting in blockbuster films such as The Bodyguard and Waiting to Exhale.&lt;br /&gt;Sony Pictures announced on Sunday that it would release the star's final film, Sparkle, which is loosely based on the story of The Supremes, in August.&lt;br /&gt;"Like all those who knew and loved her, we are shocked and saddened," said spokesman Steve Elzer said on behalf of the studio. "The world has lost an incomparable talent."&lt;br /&gt;In recent years drug use had taken its toll on the star and her voice - once acknowledged as one of the finest in pop music - was badly damaged.&lt;br /&gt;"She did have it all, but the record is there of the decline into drug use and the damage done from drug use," said Gambaccini.&lt;br /&gt;Her marriage to Brown, with whom she had a daughter, Bobbi Kristina, ended in divorce in 2007. The marriage had been a tempestuous one, with allegations of domestic abuse as well as drug addiction.&lt;br /&gt;"The biggest devil is me. I'm either my best friend or my worst enemy,'' Houston told ABC's Diane Sawyer in a 2002 interview.&lt;br /&gt;Ms Houston was strongly linked to the Grammys - having won six awards herself over the years. Organisers of Sunday's ceremony said she would be remembered in a special tribute by singer Jennifer Hudson.&lt;br /&gt;Civil rights activist Rev Al Sharpton said that on the morning of the Grammys, "the world should pause and pray for the memory of a gifted songbird".&lt;br /&gt;Country singer Dolly Parton - who wrote one one of her most memorable hits, I Will Always Love You - said in a statement: "Mine is only one of the millions of hearts broken over the death of Whitney Houston."&lt;br /&gt;"I will always be grateful and in awe of the wonderful performance she did on my song, and I can truly say from the bottom of my heart, 'Whitney, I will always love you. You will be missed'."&lt;br /&gt;Source:BBC&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-20384434702046971?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/20384434702046971/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=20384434702046971' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/20384434702046971'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/20384434702046971'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mwimbaji-na-muigizaji-whitney-houston.html' title='Mwimbaji na muigizaji Whitney Houston, afariki dunia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-4uGp306voG0/TzfZk9x-fmI/AAAAAAAAPyM/PuJf-9QTzOA/s72-c/houston.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7466130512794563687</id><published>2012-02-12T18:00:00.000+03:00</published><updated>2012-02-12T18:02:09.002+03:00</updated><title type='text'>Sehemu ya mahojiano na mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwa Marekani</title><content type='html'>Sehemu ya mahojiano na mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) ambaye pia alikuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1995, 2000, 2005, 2010) Amezungumzia kilichomleta hapa nchini Marekani, hali ya siasa ndani ya CUF, kwanini chama chake kimepoteza mguso kwa wananchi, siasa za nchi na hata kujibu maswali toka kwa wasomaji mbalimbali waliouliza kupitia mtandao wa Facebok.&lt;br /&gt;&lt;iframe width="400" height="300" src="http://www.youtube.com/embed/zBWVcYG_Tqs" frameborder="0" allowfullscreen&gt;&lt;/iframe&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7466130512794563687?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7466130512794563687/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7466130512794563687' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7466130512794563687'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7466130512794563687'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/sehemu-ya-mahojiano-na-mwenyekiti-wa.html' title='Sehemu ya mahojiano na mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwa Marekani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://img.youtube.com/vi/zBWVcYG_Tqs/default.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1808527335097576772</id><published>2012-02-12T17:52:00.003+03:00</published><updated>2012-02-12T17:59:32.112+03:00</updated><title type='text'>JK AONGOZA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-iDkn6dxp-Rw/TzfTcmyVflI/AAAAAAAAPx0/kh3u2GkluAA/s1600/a4.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 162px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-iDkn6dxp-Rw/TzfTcmyVflI/AAAAAAAAPx0/kh3u2GkluAA/s320/a4.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708263541116862034" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na Rais wa Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Visiwani) na Rais Mstaafu  wa Zanzibar Dkt Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mh Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa CCM Mh Wilson Mkama kabla ya kuanza kwa mkutano wa Halmashauri Kuu leo katika jengo la White House la Makao Makuu ya chama hicho mjini Dodoma leo February 12, 2012&lt;/span&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-w_fP_1bAbO4/TzfTbxrreII/AAAAAAAAPxo/s2OOlJjeq6Y/s1600/a3.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-w_fP_1bAbO4/TzfTbxrreII/AAAAAAAAPxo/s2OOlJjeq6Y/s320/a3.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708263526861863042" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-Twin7QUUBYw/TzfTaTOz5bI/AAAAAAAAPxc/cYS09-M1F0E/s1600/a1.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-Twin7QUUBYw/TzfTaTOz5bI/AAAAAAAAPxc/cYS09-M1F0E/s320/a1.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708263501507847602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-style:italic;"&gt;Picha nyingine ni Sehemu ya wajumbe wa halmashauri Kuu ya CCM katika mkutano huo&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-Np5z4VwoGgk/TzfTcysQAvI/AAAAAAAAPyE/ciV3mFH5yeQ/s1600/a5.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 169px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-Np5z4VwoGgk/TzfTcysQAvI/AAAAAAAAPyE/ciV3mFH5yeQ/s320/a5.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5708263544312562418" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1808527335097576772?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1808527335097576772/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1808527335097576772' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1808527335097576772'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1808527335097576772'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-aongoza-mkutano-wa-halmashauri-kuu.html' title='JK AONGOZA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-iDkn6dxp-Rw/TzfTcmyVflI/AAAAAAAAPx0/kh3u2GkluAA/s72-c/a4.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-448026839374991564</id><published>2012-02-11T10:25:00.003+03:00</published><updated>2012-02-11T10:31:46.233+03:00</updated><title type='text'>JK ashiriki maziko ya Mzee Omar</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-SGRmLgUYh_g/TzYY2b3Bo7I/AAAAAAAAPxE/lWTesfJR0qU/s1600/d4%2Brais%2Btumia%2Bna%2Bhii.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-SGRmLgUYh_g/TzYY2b3Bo7I/AAAAAAAAPxE/lWTesfJR0qU/s320/d4%2Brais%2Btumia%2Bna%2Bhii.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707776901209236402" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Rais Jakaya Kikwete pamoja na viongozi wengine wakisubiri maziko.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana alishiriki katika maziko ya Mzee Omar Selemani (107) ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CCM Mkoa wa Dodoma na muasisi wa chama cha TANU na CCM. &lt;br /&gt;Mzee Suleiman alifariki dunia hospitali ya mkoa wa Dodoma juzi tarehe 9 Februari, 2012 alikokuwa amelazwa kwa matibabu. &lt;br /&gt;Mazishi hayo yaliongozwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilson Mukama  na Mzee Selemani alizikwa makaburi yaliyopo Kikuyu.&lt;br /&gt; Akitoa salamu za rambirambi  kabla ya marehemu kufikishwa katika msikiti wa barabara ya tisa kwa swala kabla ya maziko, Mukama alisema kuwa Mze Selemani atakumbukwa kwa ujasiri wake kwa kumkaribisha nyumba ni Mwalimu Julius Nyerere wakati wa juhudi za kupigania uhuru.&lt;br /&gt; Alisema mchango wa Mzee Selemani umeenziwa wa kati wa miaka 50 ya uhuru ambapo alizivikwa nishani katika kutambua mchango wake wa kupigania uhuru.Nishani ambayo kwa mujibu wa Mukama wanapewa watu waadilifu na wanyenyekevu. &lt;br /&gt;“Mzee Selemani ni mnara na kumbukumbu zake hatutazifuta kitabuni” alisema Mukama. &lt;br /&gt;Katika salamu hizo alisema kwambva CCM imetoa shilingi milioni 5 kama rambirambi yake kwa familia yam zee Selemani na kugharamia maziko yake. &lt;br /&gt;Naye Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma , William Kusila alisema kuwa huwezi kuzungumzia siasa na maendeleo ya mkoa wa Dodoma biula ya kumtaja Mzee selemani. &lt;br /&gt;Alisema historia ya CCM Dodoma iliandikwa usoni mwake na alikienzi chama na kukitumikia akiwa ni mfano mzuri wa kuigwa. &lt;br /&gt;Viongozi kadhaa wa CCM,  wabunge ,serikali walikuwepo  kuhudhuria maziko hayo. Viongozi hao ni pamoja na Mzee John Malecela,Katibu wa CCM wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi, Mkuu wa wilaya ya Bahi Betty Mkwassa na viongozi wa kidini na madiwani. &lt;br /&gt;Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, William Jonathan Kusila kufuatia kifo cha mzee huyo.&lt;br /&gt;  “Nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana na kifo cha Mzee Omar Selemani ambaye katika uongozi wake ndani ya Chama chetu alijipambanua kwa ushupavu na busara zake vitu ambavyo vilikuwa bado vinahitajika sana”, amesema Rais Kikwete katika salamu zake. &lt;br /&gt;Rais Kikwete amesema yeye binafsi amewahi kufanya kazi kwa karibu na Mzee Selemani enzi za uhai wake na akabainisha jinsi uongozi wake kwa Chama ulivyosaidia sana katika kukijenga na kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi hususan katika Mkoa wa Dodoma, ameongeza kusema Rais Kikwete. &lt;br /&gt;“Kwa hakika kifo chake kimeleta majonzi na simanzi kubwa si kwa familia yake tu bali pia kwa wana-CCM kote nchini lakini kipekee kwa wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma ambao walinufaika moja kwa moja na mchango wake hasa kutokana na uchapakazi wake, uaminifu na uadilifu wake kwa Chama chetu”, ameongeza kusema Rais Kikwete. &lt;br /&gt;“Kutokana na ukweli huo na kwa dhati ya moyo wangu, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya Marehemu Mzee Selemani kwa kuondokewa na mpendwa wao ambaye hapana shaka alikuwa pia nguzo imara na mhimili madhubuti kwa maendeleo na ustawi wa familia”, amesema Rais Kikwete. &lt;br /&gt;Ameihakikishia familia ya Marehemu kuwa yeye binafsi yuko pamoja nao katika kuomboleza msiba huu mkubwa, na amewaomba wawe na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo kwa kujua kuwa yote ni mapenzi yake Mola. &lt;br /&gt; “Ninamuomba Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu Mzee Omari Selemani, Amina”, alimalizia salamu zake za rambirambi Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-CSPo6ZStxDQ/TzYY2gI8YZI/AAAAAAAAPxU/wLNL2oKq1TY/s1600/d1%2BRais%2Bakitumbukiza%2Budongo.JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-CSPo6ZStxDQ/TzYY2gI8YZI/AAAAAAAAPxU/wLNL2oKq1TY/s320/d1%2BRais%2Bakitumbukiza%2Budongo.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707776902358131090" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kaburini.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SOURCE: Habari Sifa Lubasi, Habarileo Dodoma,PICHA NA IKULU&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-448026839374991564?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/448026839374991564/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=448026839374991564' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/448026839374991564'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/448026839374991564'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-ashiriki-maziko-ya-mzee-omar.html' title='JK ashiriki maziko ya Mzee Omar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-SGRmLgUYh_g/TzYY2b3Bo7I/AAAAAAAAPxE/lWTesfJR0qU/s72-c/d4%2Brais%2Btumia%2Bna%2Bhii.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7711910509218618708</id><published>2012-02-11T10:00:00.001+03:00</published><updated>2012-02-11T10:00:59.747+03:00</updated><title type='text'>NHIF YATAKA WATUMISHI WAASTAFU CHANGAMKENI KUPATA KADI ZA MATIBABU</title><content type='html'>Watumishi waastafu waliokuwa wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wametakiwa kuchangamkia fursa ya kupata Kadi za Matibabu kwa ajili yao na wenzao wao haraka iwezekanavyo. &lt;br /&gt;Hayo yamesemwa na Meneja wa Kanda ya Moshi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Chris Mapunda Ofisini kwake.&lt;br /&gt;“Kama tunavyofahamu moja kati ya changamoto kubwa zinazowakabili wazee wetu mara baada ya kustaafu ni kumudu gharama za huduma za matibabu ambazo zinazidi kukua siku hadi siku, na bahati nzuri mabadiliko ya Sheria ya NHIF ya Mwaka 2009 yanatoa fursa kwa kundi hili maalum kupata huduma za matibabu pamoja na wenza wao hadi hapo Mungu atakapopenda” Amekaririwa akisema Bwana Mapunda.&lt;br /&gt;Taratibu za Mfuko huu zinaelekeza kwamba ili mtumishi mstaafu aweze kunufaika na utaratibu huu ni lazima awe ametimiza miaka 55 ya kustaafu kwa hiari au Miaka 60 ya kustaafu kwa Mujibu wa Sheria, awe amechangia katika Mfuko miaka kumi (10) au zaidi na ni lazima arejeshe kadi zote za Bima ya Afya za wategemezi wake alizopewa akiwa bado ni mtumishi.  Kwa kuzingatia vigezo hivi, karibu watumishi wote waastaafu katika mwaka huu wa 2011 watajumuishwa kunuifaika na utaratibu huu bila kuchangia chochote. &lt;br /&gt;Takwimu zinaonesha kwamba kwa Kanda ya Moshi kuna Waastafu zaidi ya 1,200 ambao kimsingi wana haki ya kunufaika na utaratibu huu wao wenyewe na wenza wao mpaka hapo Mungu atakapopenda. Licha ya elimu inayotolewa mara kwa mara na Mfuko huu ni watumishi wastaafu wachache wamejitokeza kuajiandikisha na kunufaika. &lt;br /&gt;Amewakumbusha wanachama wote ambao utumishi wao umekoma kwa sababu moja ama nyingine kurejesha Kadi zao na wategemezi wao katika Ofisi za Kanda zilizopo katika Mikoa mbalimbali Tanzania bara na Visiwani, kwani kuendelea kutumia Kadi ya Bima ya Afya wakati hauchangii ni kosa la jinai na Sheria itachukua mkondo wake. &lt;br /&gt;Amewakumbusha Watumishi na hasa katika Sekta ya Afya ambao wapo kwenye ajira ya Serikali lakini hawakatwi michango ya Bima ya Afya kuikumbusha hazina kupitia waajiri wao ili kuondoa usumbufu unaoweza kujitokeza katika siku za Usoni wakati wa Kupata Huduma katika Hospitali, Vituo vya Afya, Maduka ya Dawa na Zahanati zilizosajiliwa na Mfuko. &lt;br /&gt;Akijibu swali kuhusu, Kujiunga kwa Watu Binafsi katika Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, “ Dhana ya bima ya Afya imeanza kueleweka kwa kasi miongoni mwa watanzania, na ndio maana kwa siku za hivi karibuni mtu mmoja mmoja anajitokeza kutaka kujua utaratibu wa kujiunga yeye na familia yake. Hata hivyo Mfuko upo katika mchakato wa kuangalia na kwa namna gani watu hawa wanaweza kujumushwa katika Utaratibu huu na taratibu zitakapo kamilika Umma utajulishwa” Amesema Bwana Mapunda&lt;br /&gt;“Wanajamii katika Sekta isiyo rasmi bado wana fursa ya kuandikisha Kaya zao chini ya Utaratibu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ambao upo chini ya kila Halmashauri nchini. Mfuko huu ni wa hiari na unamtaka mwanachama kuchangia mara moja kwa mwaka jambo ambalo ni zuri maana unachangia fedha kidogo kwa mwaka kabla hujaugua” Amesema bwana mapunda&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7711910509218618708?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7711910509218618708/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7711910509218618708' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7711910509218618708'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7711910509218618708'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/nhif-yataka-watumishi-waastafu.html' title='NHIF YATAKA WATUMISHI WAASTAFU CHANGAMKENI KUPATA KADI ZA MATIBABU'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3999283513702286132</id><published>2012-02-11T09:53:00.002+03:00</published><updated>2012-02-11T09:58:11.653+03:00</updated><title type='text'>Jazz Out concert</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-_iKfWVqy-Qk/TzYRb2-zEBI/AAAAAAAAPw4/y-6NxgIAVtA/s1600/jazz.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 226px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-_iKfWVqy-Qk/TzYRb2-zEBI/AAAAAAAAPw4/y-6NxgIAVtA/s320/jazz.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707768748051730450" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;JAZZ NIGHT OUT is a monthly event series showcasing talented and dedicated artists in Tanzania through live music performances of various music genres such as jazz, soul, traditional music and a jazz fusion of diverse music tastes. Promotion of culture and tourism is vivid with the performances of acknowledged afro-traditional musicians. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Theme: Lay your heart in the shadows of Idyodyoma (Dodoma region)&lt;br /&gt;Artists featured: Angel Bernard, Kauzeni the percussionist, and Waketu Jazz Vibes. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakwetu Jazz Vibes is a music band founded in 2010 by a group of young dedicated artist. We mainly perform live jazz and soul music with passion and combination of fusion of other traditional music from Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Entrance: TZS 15,000 &lt;br /&gt;Tickets are availaibe at all NOVEL IDEA BOOK SHOPS (Shoppers Plaza, Posta Steers, Slipway, Oysterbay). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Supported by Goethe-Institut, A Novel Idea, Black Tomato, Choice FM, Clouds FM, Hebron Studios, Hometown Records, Plan B Solutions and Roseines. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muhimu:&lt;br /&gt;Date: Friday 17.02.2012, 7pm&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Venue: Goethe-Institut &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bus station: Palm Beach Hotel &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Entrance fee: TZS 15,000 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Extra: Cash bar&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3999283513702286132?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3999283513702286132/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3999283513702286132' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3999283513702286132'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3999283513702286132'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jazz-out-concert.html' title='Jazz Out concert'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-_iKfWVqy-Qk/TzYRb2-zEBI/AAAAAAAAPw4/y-6NxgIAVtA/s72-c/jazz.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1552797840927168834</id><published>2012-02-11T09:44:00.001+03:00</published><updated>2012-02-11T09:47:28.324+03:00</updated><title type='text'>OMARY MJENGA AKIWA NA FAMILIA YA BALOZI MDOGO WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA MH. CHABAKA KILUMANGA JANA JIONI</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-lF69tOaZt5c/TzYO-BUpEJI/AAAAAAAAPws/iagfUCAT4n8/s1600/omar.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 239px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-lF69tOaZt5c/TzYO-BUpEJI/AAAAAAAAPws/iagfUCAT4n8/s320/omar.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707766036408373394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kutoka kulia ni Mtoto wa Balozi Mdogo nchini Uingereza anaitwa Maya, anaefuata ni Mwakilishi wa UNOPS Siera Leone Ndugu Omary Mjenga, anaefuata ni Mke wa Balozi Mdogo Uingereza, anaefuata ni Balozi mdogo wa Tanzania Nchini Uingereza Mh. Chabaka Kilumanga, na wa mwisho ni Aziz Msuya mtoto wa Balozi wetu Pretoria Afrika ya kusini. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mjenga yuko Nchini Uingereza kuhudhuria moja Kikao ambacho kiko ndani ya majukumu yake ya kikazi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1552797840927168834?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1552797840927168834/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1552797840927168834' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1552797840927168834'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1552797840927168834'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/omary-mjenga-akiwa-na-familia-ya-balozi.html' title='OMARY MJENGA AKIWA NA FAMILIA YA BALOZI MDOGO WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA MH. CHABAKA KILUMANGA JANA JIONI'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-lF69tOaZt5c/TzYO-BUpEJI/AAAAAAAAPws/iagfUCAT4n8/s72-c/omar.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8804101600393516896</id><published>2012-02-10T18:42:00.003+03:00</published><updated>2012-02-10T18:46:07.678+03:00</updated><title type='text'>Aina  ya faraja ya kikwangua anga cha Iringa</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-wPWLMAyh0w0/TzU7ZeqIhRI/AAAAAAAAPwg/7ecsEhffqzk/s1600/kikwangua%2Banga.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-wPWLMAyh0w0/TzU7ZeqIhRI/AAAAAAAAPwg/7ecsEhffqzk/s320/kikwangua%2Banga.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707533411674522898" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mji wa Iringa unzidi kukuwa kwa kuwa na majengo ya kisasa yanayoendelea kujengwa. Jengo hili mali ya makampuni ya ASAS Group ambalo liko mbioni kukamilika ni moja ya majengo hayo yanayotoa taswira bomba katika anga la Iringa.&lt;br /&gt;Source: Frank Leonard&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8804101600393516896?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8804101600393516896/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8804101600393516896' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8804101600393516896'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8804101600393516896'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/aina-ya-faraja-ya-kikwangua-anga-cha.html' title='Aina  ya faraja ya kikwangua anga cha Iringa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-wPWLMAyh0w0/TzU7ZeqIhRI/AAAAAAAAPwg/7ecsEhffqzk/s72-c/kikwangua%2Banga.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-485767460657516766</id><published>2012-02-10T18:33:00.002+03:00</published><updated>2012-02-10T18:39:51.292+03:00</updated><title type='text'>ZIARA YA RC BENDERA KUKAGUA MIRADI YA MAJI NGERENGERE NA WAMI CHALINZE.</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-DK_ou7Te6Po/TzU5LN4-GKI/AAAAAAAAPv8/-XZNMz9vsHo/s1600/meneja%2Bakitoa%2Bmaelezo.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-DK_ou7Te6Po/TzU5LN4-GKI/AAAAAAAAPv8/-XZNMz9vsHo/s320/meneja%2Bakitoa%2Bmaelezo.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707530967631927458" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Meneja Mradi wa Maji wa Chalinze, Mhandisi Jeremiah Akonaay , (&lt;br /&gt;kushoto mwenye Kaunda suti) akitoa ufafanuzi wa kitaalamu wa ujenzi wa&lt;br /&gt;matenki ya maji yatakayotumika kusukumwa na mashine kusambaza maji&lt;br /&gt;katika Vijiji vitano vya Ngerengere zikiwemo na Kambi tatu za Jeshi&lt;br /&gt;mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( wapili kulia mwenye&lt;br /&gt;suti) juzi ( wa kwanza kulia) ni Mkuu wa Kikosi cha Anga 601 KJ Kizuka&lt;br /&gt;, Brigedia Jenerali Joseph Kapwani, ambaye pia ni Base Kamanda wa&lt;br /&gt;Vikosi  Vilivyopo Ngerengere.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/--ml5orFubXU/TzU5K6zFWxI/AAAAAAAAPvw/FqEkbgEk8SI/s1600/chanzo%2Bcha%2Bmaji.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/--ml5orFubXU/TzU5K6zFWxI/AAAAAAAAPvw/FqEkbgEk8SI/s320/chanzo%2Bcha%2Bmaji.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707530962506963730" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Meneja Mradi wa Maji wa Chalinze, Mhandisi Jeremiah Akonaay , (&lt;br /&gt;kushoto mwenye Kaunda suti) akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel&lt;br /&gt;Bendera ( wapili kulia mwenye suti) kifaa kinachopeleka maji kwenye&lt;br /&gt;mitambo kutoka kwenye mto Wami , Chalinze katika kituo cha Mradi wa&lt;br /&gt;Maji wa Chalinze, Februari  7, mwaka huu.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-yKsS-waxnyc/TzU5L7KxpyI/AAAAAAAAPwQ/OZUCU0BlunE/s1600/tangi%2Bkizuka.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-yKsS-waxnyc/TzU5L7KxpyI/AAAAAAAAPwQ/OZUCU0BlunE/s320/tangi%2Bkizuka.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707530979786204962" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Baadhi ya mafundi wakiunganisha  ndondo katika  ujenzi wa tanki kubwa la&lt;br /&gt;kuhifadhi maji kwa ajili ya matumizi ya Askari wa JWTZ Kambi ya&lt;br /&gt;Kikosi cha Anga Kizuka na familia zao katika Tarafa ya Ngerengere,&lt;br /&gt;Wilayani Morogoro, kupitia mradi wa Maji wa Chalinze&lt;/strong&gt;.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-N2HpHWrUXuw/TzU5L3xx2GI/AAAAAAAAPwI/nGL-rKyPBDw/s1600/tangi%2Bubena%2Bzomozi.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-N2HpHWrUXuw/TzU5L3xx2GI/AAAAAAAAPwI/nGL-rKyPBDw/s320/tangi%2Bubena%2Bzomozi.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707530978876053602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UJENZI WA TANKI KUBWA LA MAJI ENEO LA UBENA ZOMOZI KWA AJILI YA KUSAMBAZA VIJIJI VITANO  NA KAMBI ZA JESHI NGEREGERE.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Source:John Nditi, habarileo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-485767460657516766?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/485767460657516766/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=485767460657516766' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/485767460657516766'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/485767460657516766'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ziara-ya-rc-bendera-kukagua-miradi-ya.html' title='ZIARA YA RC BENDERA KUKAGUA MIRADI YA MAJI NGERENGERE NA WAMI CHALINZE.'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-DK_ou7Te6Po/TzU5LN4-GKI/AAAAAAAAPv8/-XZNMz9vsHo/s72-c/meneja%2Bakitoa%2Bmaelezo.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6511807068472017652</id><published>2012-02-10T16:55:00.003+03:00</published><updated>2012-02-10T16:59:37.862+03:00</updated><title type='text'>JK atua Dodoma aendesha kikao cha Baraza la mawaziri</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-y60QT43Ly60/TzUidFHdn6I/AAAAAAAAPvY/pjoPv2v9nT8/s1600/betty.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-y60QT43Ly60/TzUidFHdn6I/AAAAAAAAPvY/pjoPv2v9nT8/s320/betty.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707505985747001250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; &lt;strong&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mkuu wa Wilaya ya Bahi Bi. Betty Mkwasa mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Dodoma leo January 10, 2012&lt;/strong&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-CV4-4OObohA/TzUiddsGl_I/AAAAAAAAPvk/vI_FE1zlID0/s1600/baraza%2Bla%2Bmawaziri.bmp"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 139px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-CV4-4OObohA/TzUiddsGl_I/AAAAAAAAPvk/vI_FE1zlID0/s320/baraza%2Bla%2Bmawaziri.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707505992343132146" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha kikao cha  Baraza la Mawaziri ukumbi wa TAMISEMI mjini Dodoma leo&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;PICHA NA IKULU&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6511807068472017652?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6511807068472017652/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6511807068472017652' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6511807068472017652'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6511807068472017652'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-atua-dodoma-aendesha-kikao-cha.html' title='JK atua Dodoma aendesha kikao cha Baraza la mawaziri'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-y60QT43Ly60/TzUidFHdn6I/AAAAAAAAPvY/pjoPv2v9nT8/s72-c/betty.bmp' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6179966814153304399</id><published>2012-02-10T16:51:00.001+03:00</published><updated>2012-02-10T16:53:26.065+03:00</updated><title type='text'>Freeman Mbowe acheza krosi ya Makinda na kuokoa jahazi</title><content type='html'>MVUTANO wa wabunge kuhusu suala la wakuu wa wilaya kuwepo au kutokuwepo kwenye sheria ya mabadiliko ya Katiba ya Tanzania umekwisha baada ya wabunge kutoka kambi ya upinzani bungeni kukubali yaishe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge hao walitoa msimamo huo leo bungeni mjini Dodoma baada ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kuwaomba wakubali kumaliza mvutano huo ulioanza jana bungeni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mvutano huo ulianza baada ya Mbunge wa Same mashariki, Anne Kilango Malecela kupendekeza kubadili mapendekezo ya Serikali ya kumweka Mkurugenzi wa Halmashauri na kumuondoa Mkuu wa Wilaya aliyekuwa amewekwa kwenye Sheria ya Mabadiliko ya Katiba iliyopitishwa bungeni Novemba mwaka jana. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amewaeleza wabunge kuwa, ni bahati mbaya kwa Bunge limefika hapo lilipofika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbowe amesema, pamoja na yote yaliyotokea, lazima wabunge wafikie mwafaka na kulieleza Bunge kuwa kambi hiyo imekubali yaishe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amesema, wamekubali yaishe kwa misingi ya ndani ya Bunge na kwamba wamelazimika kuyakubali mapendekezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ameonya kuwa, utaratibu huo ukiendelea wa kulazimisha mambo bungeni kwa maslahi ya kisiasa ukiendelea utaligharimu Taifa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Huu utaratibu wa kufunika kombe mwanaharamu apite utatucost (utatugharimu) kama Taifa” amesema Mbowe na akadai kuwa, mchakato wa kupata Katiba mpya umefanywa wa kisiasa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliwaomba wabunge wa kambi ya Upinzani wakubali yaishe na kusema kuwa Katiba ya nchi ni muhimu kuliko vyama vya siasa na ina uhai mrefu kuliko Chadema au CCM. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wabunge jana walipinga kuondolewa kwa Mkuu wa Wilaya kwenye mchakato huo, na wengine walitaka Mkurugenzi wa Halmashauri aondolewe kwenye Sheria ya Marekebisho ya Katiba. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge hao walionesha mitazamo tofauti wakati wanatoa maoni yao kuhusu Muswada wa Marekebisho ya Katiba uliowasilishwa jana bungeni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika muswada huo, Serikali ilipendekeza kufuta maneno "Mkuu wa Wilaya" yanayoonekana katika kifungu cha 17 (5) (a) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 na badala yake kuweka maneno ‘ Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mtaa’ &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika muswada huo, Serikali pia ilipendekeza kufuta maneno “Mkuu wa Wilaya” yanaoonekana katika kifungu cha 17 (5) (b) kinachohusu upande wa Zanzibar na kuweka maneno “Mkurugenzi wa Manispaa au Katibu wa Baraza la Mji” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela (CCM) alisema, Serikali haishinikizi kwamba ni lazima Bunge lipitishe marekebisho hayo, na kwamba, mapendekezo yote katika muswada huo ni ya Serikali, si ya chama chochote. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipinga kipengele kinachomuondoa Mkuu wa Wilaya kwenye sheria hiyo, na aliwaomba wabunge waunge mkono pendekezo lake la kutaka kuondolewa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri kwenye sheria hiyo na kumrudisha Mkuu wa Wilaya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, DC ndiye mwakilishi wa Rais kwenye eneo analoliongoza, kiongozi wa dola na Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya hivyo ana mamlaka tofauti na Mkurugenzi wa Wilaya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Bunge lilipokaa kama kamati jana jioni, wabunge walishindwa kuafikiana kuhusu suala hilo, Spika wa Bunge, Anne Makinda, aliiagiza Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kukijadili kifungu hicho ili kupata mwafaka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Anjela Kairuki leo amelieleza Bunge kuwa jana usiku walishauriana na Kilango, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema, na wabunge wengine na kufikia mwafaka kwamba, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya na Mkuu wa Wilaya wote wawepo kwenye kifungu cha 17 cha sheria hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kairuki amewaeleza wabunge kuwa, Kilango amekubali marekebisho yaliyopendekezwa na Serikali na pia wabunge wa upinzani waliyakubali. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) aliupinga mwafaka huo kwa madai kuwa yataleta mkanganyiko na kwamba, Bunge linatunga sheria mbaya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ili watu fulani waonekane wameshinda kwa kumbeba huyu kada wa CCM, Mkuu wa Wilaya” amesema Lissu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alipinga hoja ya Lissu kwa maelezo kwamba, ni muhimu wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri wote wawepo kwenye sheria hiyo kwa kuwa kuna wilaya zina Halmashauri tatu na kwamba, wakuu wa wilaya ni wachache kulinganisha na Halmashauri zilizopo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Werema leo amesema , yaliyotokea bungeni kuhusu suala hilo yanasikitisha na kwamba, hoja hiyo ni rahisi sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6179966814153304399?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6179966814153304399/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6179966814153304399' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6179966814153304399'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6179966814153304399'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/freeman-mbowe-acheza-krosi-ya-makinda.html' title='Freeman Mbowe acheza krosi ya Makinda na kuokoa jahazi'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5796190350473752685</id><published>2012-02-10T16:45:00.001+03:00</published><updated>2012-02-10T16:49:46.461+03:00</updated><title type='text'>Spika Anne Makinda awachapa kweli  wabunge  'nonino'</title><content type='html'>SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amesema, kitendo cha wabunge kuingiza hisia za siasa wakati walipojadili muswada wa marekebisho ya Sheria ya Marekebisho ya Katiba ni kutoitendea haki nchi yao Tanzania. &lt;br /&gt;Makinda amesema, suala hilo ni kubwa na kwamba, maneno ya wabunge yamesababisha wananchi waone kwamba kuna kitu kinafichwa kwenye sheria hiyo. &lt;br /&gt;‘Hicho mnachofikiria kwenye vichwa vyenu hakipo kwenye sheria…tutunge Katiba bila kuingiza siasa” amesema Makinda bungeni mjini Dodoma.&lt;br /&gt;“Kweli hamuitendei haki nchi hii” amesema Makinda na kuonya kuwa midomo ya wabunge inaweza kuijenga au kuibomoa nchi kwa kuwa wananchi wanawaamini. &lt;br /&gt;Kabla ya Makinda kuyasema hayo, Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu alisema, mabadiliko yaliyofanywa na Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala kwenye mapendekezo yaliyowasilishwa jana na Serikali yameifanya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba iwe mbaya. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Lissu, Mkuu wa Wilaya ameingizwa kwenye sheria hiyo kwa ajili ya maslahi ya kisiasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa kiongozi huyo wa Serikali pia anatambulika katika Katiba ya chama hicho tawala. &lt;br /&gt;Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema amewaeleza wabunge kuwa, hoja kwamba Mkuu wa Wilaya awepo au asiwepo kwenye sheria hiyo ni rahisi, na kwamba kilichotokea bungeni kinasikitisha. &lt;br /&gt;“Hiki sio kitu cha kusimama hapa na kuzungumza mpaka mishipa inapanda” amesema na kutaka wabunge wawe na moyo wa kukubali mwafaka. &lt;br /&gt;“Nia yetu hapa ni kuwa na mchakato ambao hautaleta giza kwa watu” amesema Werema na kubainisha kwamba, kama Mbunge atakuwa na nidhamu atakuwa Mbunge mzuri sana. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Werema, kifungu cha 17 cha sheria ya mabadiliko ya Katiba kinatoa ridhaa ya kutumika au kutotumika kwa wakuu wa wilaya wakati tume itakapokuwa inakusanya maoni ya wananchi kwa ajili ya kutungwa kwa Katiba mpya. &lt;br /&gt;Amesema, jana usiku, Lissu alikuwepo kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala na hakupinga kufanya kwa mabadiliko hayo. &lt;br /&gt;“Mimi sina chama chochote cha siasa lakini ni wakili wa Serikali ya CCM” amesema Jaji Werema. &lt;br /&gt;Lissu, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na wabunge wengine kutoka kambi hiyo wanapinga Mkuu wa Wilaya kuwepo kwenye sheria ya mabadiliko ya Katiba kwa madai kuwa wataingiza maslahi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi. &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Katiba ya CCM, Mkuu wa Wilaya ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya chama hicho wilayani, na ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wilaya. &lt;br /&gt;Mbowe amesema, kuwaweka viongozi hao wa siasa kwenye sheria hiyo ni kuingiza siasa kwenye mchakato wa kupata Katiba mpya na kwamba, wabunge kutoka kambi ya upinzani wanafahamu utendaji wa wakuu wa wilaya wilayani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Source:Basil Msongo,Habarileo&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5796190350473752685?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5796190350473752685/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5796190350473752685' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5796190350473752685'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5796190350473752685'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/spika-anne-makinda-awachapa-kweli.html' title='Spika Anne Makinda awachapa kweli  wabunge  &apos;nonino&apos;'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8619037432233630983</id><published>2012-02-10T16:02:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T16:03:40.840+03:00</updated><title type='text'>Mzee Omar Selemani afariki dunia Ikulu yatuma rambirambi</title><content type='html'>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Mheshimiwa William Jonathan Kusila kufuatia kifo cha Mzee Omar Selemani ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CCM Mkoa wa Dodoma. Mzee Suleiman amefariki dunia hospitalini leo tarehe 9 Februari, 2012 alikokuwa amelazwa kwa matibabu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana na kifo cha Mzee Omar Selemani ambaye katika uongozi wake ndani ya Chama chetu alijipambanua kwa ushupavu na busara zake vitu ambavyo vilikuwa bado vinahitajika sana”, amesema Rais Kikwete katika salamu zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete amesema yeye binafsi amewahi kufanya kazi kwa karibu na Mzee Selemani enzi za uhai wake na akabainisha jinsi uongozi wake kwa Chama ulivyosaidia sana katika kukijenga na kukiimarisha Chama Cha Mapinduzi hususan katika Mkoa wa Dodoma, ameongeza kusema Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hakika kifo chake kimeleta majonzi na simanzi kubwa si kwa familia yake tu bali pia kwa wana-CCM kote nchini lakini kipekee kwa wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma ambao walinufaika moja kwa moja na mchango wake hasa kutokana na uchapakazi wake, uaminifu na uadilifu wake kwa Chama chetu”, ameongeza kusema Rais Kikwete. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kutokana na ukweli huo na kwa dhati ya moyo wangu, natuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa familia ya Marehemu Mzee Selemani kwa kuondokewa na mpendwa wao ambaye hapana shaka alikuwa pia nguzo imara na mhimili madhubuti kwa maendeleo na ustawi wa familia”, amesema Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ameihakikishia familia ya Marehemu kuwa yeye binafsi yuko pamoja nao katika kuomboleza msiba huu mkubwa, na amewaomba wawe na moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo kwa kujua kuwa yote ni mapenzi yake Mola. “Ninamuomba Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema ailaze mahali pema peponi roho ya Marehemu Mzee Omari Selemani, Amina”, amemalizia salamu zake za rambirambi Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na: &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,&lt;br /&gt;Ikulu.&lt;br /&gt;Dar es Salaam.&lt;br /&gt;09 Februari, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8619037432233630983?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8619037432233630983/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8619037432233630983' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8619037432233630983'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8619037432233630983'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mzee-omar-selemani-afariki-dunia-ikulu.html' title='Mzee Omar Selemani afariki dunia Ikulu yatuma rambirambi'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5363456087694921958</id><published>2012-02-10T15:58:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T15:59:11.429+03:00</updated><title type='text'>YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 49/-</title><content type='html'>Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Mtibwa Sugar lililochezwa Februari 8&lt;br /&gt;mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 49,510,000. &lt;br /&gt;Jumla ya watazamaji 14,604 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo namba 112 kwa&lt;br /&gt;kiingilio cha sh. 3,000, sh. 5,000, sh. 10,000 na sh. 15,000 kwa VIP A. &lt;br /&gt;Baada ya kuondoa gharama za awali za mchezo na asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la&lt;br /&gt;Thamani (VAT) ambayo ni sh. 7,552,372.88 kila timu ilipata sh. 8,933,048.14, uwanja&lt;br /&gt;sh. 2,977,682.71.  &lt;br /&gt;Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 1,191,073.08, TFF sh.&lt;br /&gt;2,977,682.71, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 1,488,841.36, Baraza la&lt;br /&gt;Michezo la Taifa (BMT) sh. 297,768.27 na asilimia 10 ya gharama za mechi ni&lt;br /&gt;2,977,682.71. &lt;br /&gt;Gharama za awali za mechi zilikuwa nauli ya ndani kwa waamuzi sh. 10,000, nauli ya&lt;br /&gt;ndani kwa kamishna wa mchezo sh. 10,000. &lt;br /&gt;Posho ya kujikimu kwa kamishna na waamuzi sh. 160,000, mwamuzi wa akiba sh. 30,000,&lt;br /&gt;tiketi sh. 4,000,000, maandalizi ya uwanja (pitch) sh. 400,000, umeme sh. 300,000,&lt;br /&gt;usafi na ulinzi kwa uwanja sh. 2,350,000 na Wachina (Beijing Construction) sh.&lt;br /&gt;2,000,000.  &lt;br /&gt;Gharama nyingine ni Jichangie ambayo ni sh. 200 kwa kila tiketi; kila klabu ilipata&lt;br /&gt;sh. 1,022,280 wakati Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kilipata&lt;br /&gt;sh. 876,280. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MECHI ZA YANGA, SIMBA CAF&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;Klabu za Zamalek ya Misri na Kiyovu Sport zimekataa maombi ya mechi zao za marudiano&lt;br /&gt;za Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga na Simba kusogezwa mbele&lt;br /&gt;kwa wiki moja kutoka wikiendi ya Machi 2, 3 na 4 mwaka huu. &lt;br /&gt;Baada ya mazungumzo na klabu za Simba na Yanga, Shirikisho la Mpira wa Miguu&lt;br /&gt;Tanzania (TFF) lilituma maombi Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuomba&lt;br /&gt;mechi hizo zisogezwe ili wachezaji wapate fursa ya kutosha kuzitumikia klabu zao na&lt;br /&gt;timu ya Taifa (Taifa Stars).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Februari 29 mwaka huu Taifa Stars itacheza mechi ya mchujo ya Kombe la Mataifa ya&lt;br /&gt;Afrika kwa ajili ya fainali za mwakani nchini Afrika Kusini dhidi ya Msumbiji kwenye&lt;br /&gt;Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Wikiendi ya Machi 2, 3 na 4 mwaka huu Yanga itakuwa inarudiana na Zamalek ugenini&lt;br /&gt;wakati Simba itarudiana na Kiyovu Sport jijini Dar es Salaam. CAF ilikuwa tayari&lt;br /&gt;kuridhia maombi hayo iwapo Chama cha Mpira wa Miguu cha Misri (EFA) na Shirikisho la&lt;br /&gt;Mpira wa Miguu la Rwanda (FERWAFA) wangekubali.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Lakini EFA na FERWAFA wamekataa ombi hilo kwa vile litavuruga ratiba ya mechi za&lt;br /&gt;ligi katika nchi hizo. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Source;Boniface Wambura&lt;br /&gt;Ofisa Habari&lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5363456087694921958?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5363456087694921958/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5363456087694921958' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5363456087694921958'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5363456087694921958'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/yanga-mtibwa-sugar-zaingiza-mil-49.html' title='YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 49/-'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1551975136439841508</id><published>2012-02-10T15:55:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T15:56:55.132+03:00</updated><title type='text'>LIGI KUU YA VODACOM 2011/2012</title><content type='html'>Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inaingia raundi ya 17 kesho (Februari 11 mwaka huu) kwa&lt;br /&gt;mechi tano huku ile ya Kagera Sugar na Mtibwa Sugar iliyokuwa ichezwe Februari 12&lt;br /&gt;mwaka huu ikilazimika kusogezwa mbele kwa siku moja. &lt;br /&gt;Mechi za kesho (Februari 11 mwaka huu) ambazo zitaanza saa 10 kamili jioni ni kati&lt;br /&gt;ya Simba na Azam (Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam), Toto Africans na Moro United&lt;br /&gt;(Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza), Polisi Dodoma na Villa Squad (Uwanja wa Jamhuri,&lt;br /&gt;Dodoma), Coastal Union na African Lyon (Uwanja wa Mkwakwani, Tanga) na JKT Oljoro na&lt;br /&gt;JKT Ruvu (Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Kaluta Amri Abeid, Arusha). &lt;br /&gt;Kagera Sugar na Mtibwa Sugar sasa zitacheza Februari 13 mwaka huu kwa vile Uwanja wa&lt;br /&gt;Kaitaba, mjini Bukoba siku ya Februari 12 mwaka huu umetolewa kwa shughuli za&lt;br /&gt;kijamii. Mabadiliko hayo pia yamesababisha mechi kati ya Toto Africans na Mtibwa&lt;br /&gt;Sugar iliyokuwa ichezwe Februari 15 mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba sasa&lt;br /&gt;kuchezwa Februari 16 mwaka huu. &lt;br /&gt;Nayo mechi namba 119 kati ya Yanga na Ruvu Shooting iliyokuwa ichezwe Februari 12&lt;br /&gt;mwaka huu kwenye Uwanja wa Azam- Chamazi, sasa itafanyika siku hiyo hiyo kwenye&lt;br /&gt;Uwanja wa Taifa. &lt;br /&gt;Mechi hiyo imehamishiwa Uwanja wa Taifa kutokana na maombi ya Yanga kwa vile itakuwa&lt;br /&gt;ni sehemu ya sherehe za maadhimisho ya miaka 77 tangu kuasisiwa kwa klabu hiyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1551975136439841508?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1551975136439841508/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1551975136439841508' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1551975136439841508'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1551975136439841508'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/ligi-kuu-ya-vodacom-20112012.html' title='LIGI KUU YA VODACOM 2011/2012'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7324751969166380797</id><published>2012-02-10T15:53:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T15:55:51.971+03:00</updated><title type='text'>KOZI YA MAKOCHA NGAZI PEVU YAAHIRISHWA</title><content type='html'>Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeahirisha kozi ya ukocha ngazi pevu&lt;br /&gt;(Advanced Level) iliyokuwa ifanyike jijini Dar es Salaam kuanzia Februari 12- 25&lt;br /&gt;mwaka huu. &lt;br /&gt;Kozi hiyo imeahirishwa kwa vile wengi wa makocha walioomba hawakufikia vigezo&lt;br /&gt;vilivyowekwa. Vigezo vya msingi vilikuwa mwombaji awe na cheti cha ukocha ngazi ya&lt;br /&gt;kati (Intermediate Level), wawe wanafanya kazi hiyo ya ukocha (active) na&lt;br /&gt;kuwasilisha cheti cha elimu ya sekondari (kidato cha nne). &lt;br /&gt;Mwisho wa kuwasilisha maombi kwa ajili ya kozi hiyo ilikuwa Februari 5 mwaka huu.&lt;br /&gt;Makocha 34 waliwasilisha maombi kwa ajili ya kushiriki kozi hiyo, lakini waliokidhi&lt;br /&gt;vigezo ni 12 tu. &lt;br /&gt;Makocha waliokidhi vigezo kwa ajili ya kozi hiyo ni Sospeter Vedasto kutoka mkoani&lt;br /&gt;Pwani, Beatus Manga (Temeke), Renatus Shija (Pwani), Ntungwe Selemani (Pwani),&lt;br /&gt;William Mamiro (Kinondoni), Ngawina Ramadhan (Temeke), Khatib Mtoo (Temeke), Hamisi&lt;br /&gt;Chimgege (Temeke), Selemani Mkumya (Temeke), Idd Cheche (Azam), Mohamed Mayosa&lt;br /&gt;(Temeke) na Imam Mbarouk (Shinyanga). &lt;br /&gt;Wawezeshaji wa kozi hiyo ambayo sasa tarehe yake ya kufanyika itatangazwa baadaye ni&lt;br /&gt;Mkufunzi wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Jan Poulsen, Mkufunzi&lt;br /&gt;wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) ambaye pia ni Mkurugenzi wa&lt;br /&gt;Ufundi wa TFF, Sunday Kayuni na Mkufunzi wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Denmark&lt;br /&gt;(DBU), Kim Poulsen.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7324751969166380797?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7324751969166380797/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7324751969166380797' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7324751969166380797'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7324751969166380797'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kozi-ya-makocha-ngazi-pevu-yaahirishwa.html' title='KOZI YA MAKOCHA NGAZI PEVU YAAHIRISHWA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6893951057336719789</id><published>2012-02-10T15:48:00.000+03:00</published><updated>2012-02-10T15:49:00.098+03:00</updated><title type='text'>KIPRE BOLOU WILFRIED RUKSA AZAM</title><content type='html'>Mshambuliaji Kipre Bolou Wilfried aliyejiunga na Azam kutoka Ivory Coast sasa ni&lt;br /&gt;ruksa kuichezea timu hiyo michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inayoendelea kwenye&lt;br /&gt;viwanja mbalimbali nchini.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Shirikisho la Mpira wa Miguu la Ivory Coast (FIF) jana (Februari 9 mwaka huu)&lt;br /&gt;limetoa Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) kwa mchezaji huyo aliyeombewa uhamisho&lt;br /&gt;katika dirisha dogo la usajili kutoka timu ya Sewe Sport ya nchini humo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;YANGA, MTIBWA SUGAR ZAINGIZA MIL 49/-&lt;br /&gt;Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Mtibwa Sugar lililochezwa Februari 8&lt;br /&gt;mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam limeingiza sh. 49,510,000.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Jumla ya watazamaji 14,604 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo namba 112 kwa&lt;br /&gt;kiingilio cha sh. 3,000, sh. 5,000, sh. 10,000 na sh. 15,000 kwa VIP A.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Baada ya kuondoa gharama za awali za mchezo na asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la&lt;br /&gt;Thamani (VAT) ambayo ni sh. 7,552,372.88 kila timu ilipata sh. 8,933,048.14, uwanja&lt;br /&gt;sh. 2,977,682.71. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 1,191,073.08, TFF sh.&lt;br /&gt;2,977,682.71, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 1,488,841.36, Baraza la&lt;br /&gt;Michezo la Taifa (BMT) sh. 297,768.27 na asilimia 10 ya gharama za mechi ni&lt;br /&gt;2,977,682.71.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Gharama za awali za mechi zilikuwa nauli ya ndani kwa waamuzi sh. 10,000, nauli ya&lt;br /&gt;ndani kwa kamishna wa mchezo sh. 10,000.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Posho ya kujikimu kwa kamishna na waamuzi sh. 160,000, mwamuzi wa akiba sh. 30,000,&lt;br /&gt;tiketi sh. 4,000,000, maandalizi ya uwanja (pitch) sh. 400,000, umeme sh. 300,000,&lt;br /&gt;usafi na ulinzi kwa uwanja sh. 2,350,000 na Wachina (Beijing Construction) sh.&lt;br /&gt;2,000,000. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Gharama nyingine ni Jichangie ambayo ni sh. 200 kwa kila tiketi; kila klabu ilipata&lt;br /&gt;sh. 1,022,280 wakati Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kilipata&lt;br /&gt;sh. 876,280.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6893951057336719789?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6893951057336719789/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6893951057336719789' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6893951057336719789'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6893951057336719789'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kipre-bolou-wilfried-ruksa-azam.html' title='KIPRE BOLOU WILFRIED RUKSA AZAM'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5517864379614252592</id><published>2012-02-10T08:14:00.001+03:00</published><updated>2012-02-10T08:14:57.526+03:00</updated><title type='text'>"MAAZIMIO YA KIKAO KATI YA WAZIRI MKUU NA MADAKTARI LEO CPL"</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;TAARIFA KWA UMMA NA MADAKTARI WOTE NCHINI JUU YA MAAMUZI YALIYOFIKIWA LEO FEBRUARY 9, 2012 KUFUATIA MKUTANO KATI YETU NA WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA KATIKA UKUMBI WA CPL, HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati ya muda ya kushughulikia madai ya madaktari nchini inapenda kuwajulisha madaktari wote pamoja na kada nyingine zote za afya nchini juu ya kile ambacho kimejiri katika siku ya leo ya tarehe 09.02.2012 ikiwa ni matokeo ya kikao wanataaluma wa kada za afya na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda na baadaye kufuatiwa na kikao kati ya madaktari na kada nyingine za afya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ifahamike kuwa kama Kamati tulipata mwaliko wa kushiriki katika Mkutano huo ambapo ilitarajiwa kuwa Mhe, Waziri mkuu atafika kwa nia ya kutoa mrejesho wa madai ya madaktari yaliyowasilishwa mezani kwake mnamo tarehe 23.01.2012. Madai yetu yalikuwa manane na Mh Wazizri mkuu aliweza kutoa maelezo ya dai moja baada ya lingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa madai ambayo mpaka sasa yamepatiwa majibu ya kuridhisha ni pamoja na;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuwawajibisha watendaji wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wakiwemo Katibu Mkuu Mama Blandina Nyoni , na Mganga Mkuu wa Serikali Dr. Deo Mtasiwa. Aidha Mh waziri mkuu alisema kuwa ameshalifikisha kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania suala zima la kuwawajibisha watendaji wa wakuu wa kisiasa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ambao ni  Waziri Mh Hadji Mponda na  Naibu Waziri  Mhe. Lucy Nkya.&lt;br /&gt;Kama sehemu ya maridhiano, Mh Waziri Mkuu pia aliahidi mbele ya mkutano kuwa hakutawepo na unyanyasaji au vitisho vya aina yoyote ile kwa wale wote walioshiriki katika kushinikiza Serikali kutatua kero hizo. Aidha kama sehemu ya maridhiano, Mh waziri Mkuu pia alifuta zuio la madaktari kutokufanya mikutano. Lakini pia, Mh waziri Mkuu alisema kuwa Serikali haina kusudio la kumfukuza  kazi mtumishi yeyote wa afya yule kazi aliyeshiriki katika mchakato huu wa kuishikiniza Serikali kutafuta ufumbuzi madai ya madaktari nchini.&lt;br /&gt;Aidha, Mh waziri Mkuu amesema “Interns” wote waliokuwa wamehamishwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wamesharudishwa bila masharti katika hospitali hiyo ili kuendelea na program kama kawaida. Hili pia linaambatana na kulipwa na kupewa stahiki zao zote.&lt;br /&gt;Pia suala la madaktari na familia zao kuwa na Kadi ya Bima ya Afya ya kijani( Green Card) limekubaliwa na kwa sasa tusubiri utekelezaji.&lt;br /&gt;Pia ilikubaliwa kuwa madaktari watapata fursa ya kukopeshwa magari kama watumishi wengine wa umma.&lt;br /&gt;Mbali na madai hayo, pia Mh. Waziri Mkuu alitoa ufafanuzi juu ya madai yanayuhusu maslahi ya watumishi wa afya ikiwa ni pamoja na Mishahara na Posho na stahiki mbalimbali. Lakini hata, Mh waziri Mkuu hakutoa majibu ya moja kwa moja ya kiwango gani kitakachoweza kulipwa na Serikali kama mishahara, posho na stahiki mbalimbali kwa minajili kwamba bado zinafanyiwa kazi na kamati ya wataalamu aliyoiunda ili waweze kumshauri. Aidha, Mh waziri Mkuu alisema kuwa kwa wakati huu inaweza kupandisha “on call allowances” za kada mbalimbali za afya kutoka shilingi 3,000 – 10,000/= na kufikia kati ya shilingi 5,000 hadi 25,000. Madaktari bado wanaona ongezeko hili halilingani na ukubwa wa kazi ifanywayo pindi mtumishi wa afya anapokuwa “on call” na hivyo basi kuendelea kupendekeza kuwa “on call” allowance iwe ni 10% ya mshahara  wa mtumishi husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia Mhe, Waziri Mkuu hakuweza kueleza kinagaubaga mkakati kazi wa uboreshaji wa huduma za afya wapatayo wananchi wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya tamko hilo la Serikali kumalizika, Mh Waziri Mkuu na ujumbe wake waliondoka, na Mkutano huo ukaendelea kwa Kamati kufanya Mkutano na madaktari wote, lengo ikiwa kujadili tamko hilo na kutoa maazimio.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya majadiliano ya muda mrefu, madaktari walikubaliana kwamba; kwa kuwa Serikali imeanza kuonyesha nia ya kutatua tatizo hili kwa kutekeleza baadhi ya maazimio yetu, wajumbe kwa niaba ya madaktari wote nchi nzima tulikubaliana na kuazimia yafuatayo;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kurudi kazini mara moja kuanzia kesho tarehe 10.02.2012 bila masharti yeyote.&lt;br /&gt;Kamati ya jumuiya ya madaktari kama sehemu ya MAT kuendelea kukaa mezani ya majadiliano na Serikali ili kuanza kupitia madai hasa yale yanayohusu maslahi.&lt;br /&gt;Kukutana tena tarehe 03.03.2012 ili kupata mrejesho wa kiwango cha utekelezaji wa madai hayo kwa mujibu wa vikao vya majadiliano na makubaliano na hatimae kuchukua hatua zaidi.&lt;br /&gt;Kujadili utekelezaji juu ya Kuwawajibisha Waziri na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi na Jamii.&lt;br /&gt;Mwisho kabisa Madaktari wote kwa ujumla wake walilaani na kukemea kitendo cha Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwahoji wanaharakati wa haki za kibinaadamu na mashirika ya kijamii wakiwemo Dr. Hellen Kijo-Bisimba na Mama Ananilea Nkya na wanaharakati wengine wote waliokumbwa na kamata kamata hiyo na hivyo basi tunalitaka jeshi hilo kuwaachilia huru mara moja bila masharti yeyoye.&lt;br /&gt;Pamoja Tunaweza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na Kamati ya muda ya kushughulikia madai ya madaktari Tanzania&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dr, Ulimboka Stephen&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5517864379614252592?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5517864379614252592/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5517864379614252592' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5517864379614252592'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5517864379614252592'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/maazimio-ya-kikao-kati-ya-waziri-mkuu.html' title='&quot;MAAZIMIO YA KIKAO KATI YA WAZIRI MKUU NA MADAKTARI LEO CPL&quot;'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2961411896174520993</id><published>2012-02-09T16:58:00.002+03:00</published><updated>2012-02-09T17:01:57.863+03:00</updated><title type='text'>lala salama na marekebisho ya katiba</title><content type='html'>Naingia katika ngwe ya lala salama marekebisho ya katiba naogopa bao la kisigino linaloweza kupatikana kwa CCM.&lt;br /&gt;Mimi sina uhakika kama refa anajua hili. lakini UDC asubuhi unaonesha kama kuna kitu ndani.&lt;br /&gt;Mungu ibariki Tanzania&lt;br /&gt;Mungu ibariki afrika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2961411896174520993?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2961411896174520993/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2961411896174520993' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2961411896174520993'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2961411896174520993'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/lala-salama-na-marekebisho-ya-katiba.html' title='lala salama na marekebisho ya katiba'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7816033588690953818</id><published>2012-02-09T16:50:00.004+03:00</published><updated>2012-02-09T16:58:30.200+03:00</updated><title type='text'>Mungu Mlaze pema peponi Mzee Katalambula</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-YVZDcD7206I/TzPQ7w4PCyI/AAAAAAAAPvM/iG25gWCt0Gg/s1600/Faraji-katalambula-cut.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 173px; height: 192px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-YVZDcD7206I/TzPQ7w4PCyI/AAAAAAAAPvM/iG25gWCt0Gg/s320/Faraji-katalambula-cut.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707134877960178466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Niliingia katika blogu ya filamu central na kukutana na habari hizi zilizonifanya nijisikie vibaya, mmoja wa watu niliowahusudu sana nchini hapa kwa utunzi wenye uhakika na kazi Faraji H.H.Katalambula amefariki dunia.&lt;br /&gt;Mzee Faraji H. H. Katalambula ,pichani,amefariki  Jumanne jioni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili&lt;br /&gt;Wengi tutamkumbuka mtunzi huyu wa siku nyingi alifanya vizuri katika tasnia ya uandishi na hata pale hadithi yake ya Simu ya Kifo ilivyoigizwa filamu na kufanya vizuri katika tasnia ya filamu katika tasnia ya filamu ya Swahiliwood Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema Amina.&lt;br /&gt;Anamfuatia mtu aliyefanya naye kazi karibu Fundi Kipara ambaye ndiye alikuwa katika jarida la mapichga hapa nchini lililokuwa likitolewa naye faraji.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7816033588690953818?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7816033588690953818/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7816033588690953818' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7816033588690953818'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7816033588690953818'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mungu-mlaze-pema-peponi-mzee.html' title='Mungu Mlaze pema peponi Mzee Katalambula'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-YVZDcD7206I/TzPQ7w4PCyI/AAAAAAAAPvM/iG25gWCt0Gg/s72-c/Faraji-katalambula-cut.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5655065797156038242</id><published>2012-02-09T16:43:00.002+03:00</published><updated>2012-02-09T16:46:32.141+03:00</updated><title type='text'>genevieve nnaji..wedding bells will soon be ringing..</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-GcYQDcnp0Ds/TzPOJx9rhgI/AAAAAAAAPvA/9nlEKLORRok/s1600/genevieve.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-GcYQDcnp0Ds/TzPOJx9rhgI/AAAAAAAAPvA/9nlEKLORRok/s320/genevieve.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707131820234737154" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Genevieve Nnaji is one of the most respected actresses in Nollywood, with excellent interpretation of characters in movies.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;She is one actress every good director would want to work with. Pretty and unpretentiously friendly,Genny, as this acting queen is fondly called, is one Nollywood personality who has worked herself to a level where she gets the sort of adulation that stars in Hollywood get.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Beyond movie,what many people don't know is the many challenges she has been through in life.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;At the tender age of 17,the talented thespian that Oprah Winfrey named Nigeria's Julia Roberts, had a daughter as a result of a fling with her teacher in secondary school.But she moved on,utilized her God given talents and today,she is the most recognized actress in Africa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;She is even happy to tell anyone that cares that she loves her daughter so much and that she is all she lives for.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;In an interview she granted years back, she narrated her ordeal thus, I'm sure everywoman knows the feeling of pregnancy, but for the young girl – it is difficult for me to say now, because I have grown much older – but I know at that time it was, let me see... Anyway, I'd just wake up every morning hoping to wake up from a dream... but you know it doesn't happen so. It's more like giving me hope that 'no, it wasn't...' I was like looking forward to sleeping and waking up, then it wasn't getting any better anyway.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Getting rid of the pregnancy was an alternative then, but it was too late, because not until I was four months before we discovered it and so it was not what we could do, and my dad was like, 'it's a child for Christ's sake. God knows why he wants to bring that child into life”. We are Catholics and it's just that conscience, you do wrong once and doing another would not make the first right. So, you either correct your mistake by doing the right thing. If I was pregnant, and then have an abortion, it would have been like murder after fornication! So, that was basically wrong.She said&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;From the look of things, the reality of this costly mistake she make back then seems to be blessings in disguise now that she seems to be finding right men for marriage elusive.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;But that doesn't bother her one bit because she has 15 year old daughter that is source of her joy, happiness, and fulfillment. This helps less pressure to get married.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;According a close pal to Genny who pleaded anonymity, Genny knows how tricky men could be, so she's taking her time to choose Mr. right among the many men asking for her hand in marriage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The nature of her job as an actress is cumbersome,it entails moving from one location,country to another.Only a man with a good heart would take that in marriage.And she's just at the starting point of her career.She needs a man that would be a silent reflection of her strength and a supporter of her dreams and goals not a dream killer.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The minute she settle for less, this will only take her to despair.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Apart from that, men her scared of her achievement and high profiles lifestyles. this makes it pretty difficult for her rushing into a marriage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Even though she once admitted she's tired of spinsterhood, that's not a yardstick for settling down&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;That brings me to the interview she granted months back,Genevieve said; I'm 32, I've been busy for 12 years and I'm still busy.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;My parents have other children to focus on. I'm only one out of eight. For me if marriage comes, fine. It's not a priority. It's never been, but it a good thing every woman wants. So, I'm not shying away from it. But then, I'm going to go in with my head straight. I will go into marriage for the right reasons. Not for money, not for fame, not for name and not to satisfy the world. I don't want any sort of peer pressure getting involved in my settling down, or trying to prove a point that I can settle down. I don't need that. I'm here to please my God and myself, and as long as my parents have no issues with it, I'm fine. When I find the right person, I'm sure I'll settle down.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;First of all I have to agree within myself that I actually want to get married. I think my life is already chaotic as it is being one celebrity.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I don't find marriage repulsive but everyday I learn from married people about what not to do when it comes to marriage. I think I've just learnt the bad things about marriage before the good ones. There is constant discouragement but I just know for a fact that when I find the right person I will definitely not think about it. Marriage should be about finding the right person, finding your soul mate, not necessarily in receiving love.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;I think she said it all. She has developed and established a very successful career in the movie world, got a lovely daughter and other good things of life. What else could she want?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ceteris paribus; "all other things being equal”let's hope that the wedding bells will soon be ringing.&lt;br /&gt;source:www.modernghana.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5655065797156038242?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5655065797156038242/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5655065797156038242' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5655065797156038242'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5655065797156038242'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/genevieve-nnajiwedding-bells-will-soon.html' title='genevieve nnaji..wedding bells will soon be ringing..'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-GcYQDcnp0Ds/TzPOJx9rhgI/AAAAAAAAPvA/9nlEKLORRok/s72-c/genevieve.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6674240792091223496</id><published>2012-02-09T16:38:00.001+03:00</published><updated>2012-02-09T16:41:37.803+03:00</updated><title type='text'>Hotuba ya upinzani ya muswada wa Marekebisho ya sheria ya mabadiliko katiba Chadema  yasema JK  Yes</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;MAONI YA MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA SHERIA NA KATIBA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU KUHUSU&lt;br /&gt;MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA&lt;br /&gt;YA MABADILIKO YA KATIBA, SHERIA NA. 8 YA 2011&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;(Kanuni ya 86(6) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2007)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UTANGULIZI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 18 Novemba, 2011 Bunge lako tukufu lilipitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011. Siku kumi na moja baadaye, yaani tarehe 29 Novemba, 2011, Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete alitoa kibali cha Muswada huo kuwa Sheria kwa mujibu wa ibara  ya 97(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, na kanuni ya 92(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2007. Kwa mujibu wa kifungu chake cha 1(2), Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Na. 8 ya 2011, ilianza kutumika tarehe 1 Desemba, 2011, yaani siku mbili tu baada ya kupata kibali cha Rais. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo ni siku arobaini na moja tangu Sheria hii ipate kibali cha Mheshimiwa Rais, na siku thelathini na tisa tangu ipate nguvu za kisheria ili ianze kutumika. Tumekutana hapa leo hii ili Bunge lako tukufu lipate fursa nyingine tena ya kuitafakari Sheria hii. Kila mmoja wetu humu ndani, na kila Mtanzania anayefuatilia mchakato wa kutengeneza Katiba Mpya, anafahamu kwamba tendo la kwanza lililoidhinishwa na Sheria hii, yaani kuteuliwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, halijafanyika hadi sasa. Tumekutana hapa leo hii ili kujadili, na kama Bunge lako tukufu litaridhika, kupitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011 unaopendekezwa na Serikali, na hivyo kumwezesha Mheshimiwa Rais kutenda tendo hilo la kwanza kwa mujibu wa Sheria hii. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MAJADILIANO YA CHADEMA NA RAIS&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 20 Novemba, 2011 Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliunda Kamati Maalum ya wajumbe saba iliyopewa jukumu la kuonana na Mheshimiwa Rais kuhusu Sheria hii na mustakbali wa taifa letu. Siku mbili baadae, yaani tarehe 22 Novemba, 2011, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mheshimiwa Freeman Mbowe alimwandikia Mheshimiwa Rais barua ya kumwomba kuonana na Kamati Maalum ya CHADEMA kwa siku na muda atakaoona yeye Mheshimiwa Rais unafaa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku iliyofuata, yaani tarehe 23 Novemba, Mheshimiwa Rais alijibu maombi ya Mheshimiwa Mbowe kwamba alikuwa tayari kukutana na Kamati Maalum tarehe 27 Novemba, 2011. Kamati Maalum ilikutana na Mheshimiwa Rais na washauri wake Ikulu, Dar es Salaam kwa zaidi ya masaa matatu siku hiyo, na kwa karibu masaa nane siku iliyofuata, yaani tarehe 28 Novemba, 2011. Mheshimiwa Rais na washauri wake walikutana kwa mara nyingine tena na Kamati Maalum siku ya tarehe 20 Januari, 2012 wakati taifa linaomboleza kifo cha Mbunge mwenzetu Marehemu Jeremiah Solomon Sumari. Mara hii majadiliano hayo yalichukua zaidi ya masaa sita na yalikwisha majira ya saa sita usiku! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUAFAKA NA WADAU WENGINE &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Rais hakukutana na uongozi wa CHADEMA peke yake. Baada ya mkutano wake na Kamati Maalum ya CHADEMA, na kwa nyakati tofauti, Mheshimiwa Rais alikutana pia na wawakilishi wa Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha NCCR-Mageuzi, viongozi wa taasisi kuu za kidini nchini na wawakilishi wa mashirika na asasi zisizokuwa za kiserikali. Aidha, kama alivyoeleza yeye mwenyewe wakati akihutubia wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kilele cha kuadhimisha miaka thelathini na tano ya kuzaliwa kwa CCM, Mheshimiwa Rais alikutana pia na uongozi wa CCM ambapo alipokea mapendekezo nane ya marekebisho ya Sheria. Ni wazi, kwa hiyo, kwamba Muswada huu, na Jedwali la Marekebisho lililoambatanishwa nao, umefaidika kwa busara za Mheshimiwa Rais yeye mwenyewe pamoja na mawazo na mapendekezo ya wadau wengine wote ambao nimewataja hapa. Kwa maana nyingine, Mheshimiwa Spika, Muswada huu hautokanani na njama za vikao vya siri kati ya Mheshimiwa Rais na CHADEMA! Ni Muswada unaotokana na muafaka katika ya Mheshimiwa Rais na Serikali yake na makundi mbali mbali katika nchi yetu yanayowakilisha maslahi ya kisiasa, ya kijamii na hata ya kidini. Ni Muswada unaoonyesha uso halisi wa Watanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimeelezea historia hii kwa kirefu ili Bunge lako tukufu lipate ufahamu wa background ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ulioko mbele ya Bunge hili tukufu. Hii sio tu itawasaidia Waheshimiwa Wabunge kupata ufahamu wa mambo yaliyojiri tangu Sheria hii ilipopitishwa mwaka jana, bali pia inaonyesha umuhimu wa Sheria hii na mapendekezo ya marekebisho yaliyoletwa Bungeni na Serikali. Wote tunajua jinsi ambavyo Mheshimiwa Rais – kama Rais Mtendaji mwingine yeyote - ni mtu mwenye kazi na majukumu mengi kama Mkuu wa Nchi, Mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu, kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi yetu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa sababu ya kazi na majukumu mengi aliyo nayo, Mheshimiwa Rais hana muda wa kupoteza wala wa kustarehe. Kwa maana hiyo, Rais anapoacha shughuli zake nyingi nyingine za kitaifa ili kuzungumza na watu ambao wala hawajibiki kisheria kukutana au kuzungumza nao kwa jambo lolote lile; Rais anapotumia siku nne na masaa karibu ya ishirini kuzungumza nao juu ya jambo moja; Rais anapokubali kukaa hadi saa sita za usiku kujadiliana nao juu ya jambo hilo; na Rais anapokubali kuacha shughuli zake nyingi nyingine ili kukutana na viongozi wa vyama vingine vya siasa, viongozi wa kidini na wawakilishi wa taasisi za kiraia kujadiliana nao juu ya jambo hilo hilo, yote hayo yanadhihirisha umuhimu kwa taifa wa jambo hilo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo, Mheshimiwa Spika, tumekutana hapa leo kutafakari Sheria hii kwa sababu Mheshimiwa Rais mwenyewe – kwa muda mkubwa alioutumia kukutana na kujadiliana nasi pamoja na wadau wengine - ameonyesha dhahiri kwamba Bunge hili tukufu linahitaji kuitafakari upya Sheria hii muhimu. Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaamini kwamba busara zetu na ufahamu wetu wa umuhimu wa Sheria hii kwa mustakbala wa baadae wa nchi yetu na uzalendo wetu kwa taifa letu – na kwa kutambua kazi kubwa, mchango na maelekezo ya Mheshimiwa Rais - vitatuongoza katika kuyajadili na ya kuyapitisha mapendekezo ya Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011, ili kumwezesha Mheshimiwa Rais kuunda Tume itakayoanzisha rasmi mchakato wa kutengeneza Katiba Mpya ya nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba nizungumzie jambo lingine la mwisho kabla sijafanya uchambuzi wa Muswada wenyewe na Jedwali la Marekebisho lililoambatanishwa nao. Ni kweli, kama nilivyosema awali, kwamba Muswada huu unaletwa Bungeni kabla hata ya miezi miwili kupita tangu Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ilipopitishwa na Bunge lako tukufu na kupatiwa kibali cha kuanza kutumika na Mheshimiwa Rais. Ni kweli, kama nilivyosema mwanzoni, kwamba Muswada huu unakuja Bungeni kabla tendo la kwanza lililoidhinishwa na Sheria yenyewe halijafanyika. Ni kweli, kwa vyovyote vile, kwamba hiki ni kipindi kifupi sana kwa Sheria kufanyiwa marekebisho. Kwa sababu hizi, Mheshimiwa Spika, wapo watakaohoji – na wana haki ya kufanya hivyo – sababu au uhalali wa mapendekezo ya marekebisho haya katika kipindi hiki. Aidha, wapo watakaodhani kwamba mapendekezo haya ni ishara ya dharau kwa Bunge hili tukufu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa watu hao, Mheshimiwa Spika, nitasema yafuatayo. Kwanza, Katiba yetu haina na haijawahi kuweka muda au ratiba ya kufanya marekebisho ya Sheria yoyote ile. Badala yake, kifungu cha 24 cha Sheria ya Tafsiri za Sheria (The Interpretation of Laws Act), Sura ya 1 ya Sheria za Tanzania, kimeweka wazi kwamba “Sheria inaweza kurekebishwa au kufutwa kabisa katika Mkutano wa Bunge ule ule uliopitisha.” Kwa maana hiyo, mapendekezo ya marekebisho haya yangeweza kuletwa hata kabla Mkutano uliopita wa Bunge hili tukufu kumalizika na bado yangekuwa halali kisheria! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano wa karibuni kabisa wa jambo ni Sheria ya Gharama za Uchaguzi, 2010 iliyopitishwa katika Mkutano wa Thelathini na Nane wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano mwezi Februari, 2010. Sheria hiyo ilifanyiwa marekebisho katika Mkutano wa Thelathini na Tisa uliofanyika Aprili 2010, na mara mbili katika Mkutano wa Arobaini wa Bunge la Bajeti la mwaka huo. Aidha, Sheria ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, 2001 iliyopitishwa tarehe 28 Machi, 2001 na kufanyiwa marekebisho katika Mkutano wa Bajeti uliofuatia tarehe 9 Agosti, 2001! Kwa maana hiyo, hii sio – na haitakuwa – mara ya kwanza kwa Bunge lako tukufu kufanya marekebisho ya Sheria iliyotungwa katika Mkutano uliopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;Sababu ya pili inatokana na umuhimu wa Sheria inayofanyiwa marekebisho pamoja na umuhimu wa marekebisho yenyewe. Katika hili, Mheshimiwa Spika, ni vema nikanukuu sehemu ya waraka tuliomkabidhi Mheshimiwa Rais siku ya tarehe 27 Novemba, 2011: “Sheria hii ni ... muhimu kuliko pengine sheria nyingine yoyote ambayo Bunge la Kumi litapata fursa ya kuijadili na kuipitisha. Ni muswada wa kihistoria kwa vile, tangu uhuru wa Tanganyika miaka hamsini iliyopita, na tangu Muungano miaka karibu arobaini na nane iliyopita, Watanzania hatujawahi kupata fursa ya kujadili na kuamua mustakbala wa taifa letu kikatiba kwa utaratibu kama uliowekwa katika Sheria hii.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kama nilivyosema wakati nawasilisha Maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wakati wa kujadili Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba katika Mkutano uliopita: “Bunge hili tukufu lina wajibu mbele ya historia na kwa vizazi vya sasa na vijavyo, kuhakikisha kwamba tunapata muafaka wa kitaifa juu ya Tanzania tunayoitaka.” Muswada huu ni sehemu ya jitihada hizo za kuhakikisha tunapata muafaka wa kitaifa juu ya Tanzania tunayoitaka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MUSWADA NA JEDWALI LA MAREKEBISHO LA SERIKALI&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muswada huu ulichapishwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe 23 Desemba 2011, wakati majadiliano kati ya Mheshimiwa Rais na Kamati Maalum ya CHADEMA na wadau wengine yakiwa hayajakamilika. Kama ulivyo sasa, Muswada huu una mapendekezo ya marekebisho ya vifungu viwili tu, yaani kifungu cha 6 na 18, vya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba. Hata hivyo, Jedwali la Marekebisho lililoandaliwa na Serikali na kuwasilishwa Bungeni sambamba na Muswada linapendekeza marekebisho katika vifungu vingine vya Sheria hii. Hii ni kwa sababu ilibidi Muswada uchapishwe kwenye Gazeti hata kabla mazungumzo kati ya Mheshimiwa Rais na wadau hayajakamilika ili kutimiza masharti ya kanuni ya 80(2) ya Kanuni za Bunge inayotaka Muswada kuwasilishwa kwa Katibu wa Bunge siku ishirini na moja kabla ya Kusomwa kwa Mara ya Kwanza Bungeni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni vema na ni haki kuweka kwenye kumbukumbu za Bunge lako tukufu kwamba Jedwali la Marekebisho la Serikali ni matokeo ya ushiriki wa moja kwa moja wa Mheshimiwa Rais na washauri wake Mheshimiwa Lukuvi, Mwanasheria Mkuu Werema, Mwandishi Mkuu wa Sheria Casimir Kyuki, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahuasiano na Uratibu) Mheshimiwa Stephen M. Wassira na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Emmanuel J. Nchimbi. Aidha, kwa upande wa CHADEMA ni vema na ni haki kutambua kwenye kumbukumbu za Bunge lako tukufu ushiriki na kazi kubwa iliyofanywa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani na Mwenyekiti wa Taifa Mheshimiwa Mbowe, Katibu Mkuu Dkt. Wilbrod P. Slaa, Makamu Mwenyekiti (Bara) na Mbunge wa Mpanda Mjini Mheshimiwa Said Amour Arfi, Mheshimiwa John J. Mnyika, Mbunge wa Ubungo na wajumbe wengine wa Kamati Maalum ya Kamati Kuu, Profesa Mwesiga Baregu na Profesa Abdallah Safari na Mkurugenzi wa Utafiti, Bunge na Halmashauri katika Makao Makuu ya CHADEMA John Mrema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa naomba, kwa ruhusa yako, niwasilishe uchambuzi wa Muswada wenyewe pamoja na Jedwali la Marekebisho lililowasilishwa na Serikali, nikianzia na mapendekezo ya marekebisho ya vifungu mbali mbali vinavyohusiana na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TUME YA MABADILIKO YA KATIBA &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ibara ya 2 ya Muswada inapendekeza kufanya marekebisho katika kifungu cha 6(5)(a) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kwa kufuta maneno “au kiongozi wa chama cha siasa wa ngazi yoyote.” Jedwali la Marekebisho la Serikali lililowasilishwa sambamba na Muswada linapendekeza marekebisho sio tu ya ya kifungu cha 6(5)(a), bali pia kinapendekeza kuongezwa masharti ya ziada katika kifungu cha 6 cha Sheria. Kwanza, inapendekezwa kwamba maneno “, diwani au kiongozi wa chama cha siasa katika ngazi zote” yafutwe na badala yake yabaki maneno “Mbunge na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuelewa maana ya marekebisho yanayopendekezwa, ni muhimu kurejea katika kifungu cha 6(5) kinachopendekezwa kurekebishwa na Muswada huu. Kifungu hiki kinaweka masharti ya kuteuliwa kuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuwaondolea sifa za kuteuliwa Wabunge, Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, madiwani na viongozi wa vyama vya siasa wa ngazi zote. Kwa mapendekezo ya Muswada huu na Jedwali la Marekebisho la Serikali, watu pekee ambao sasa hawatakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume ni Wabunge na Wawakilishi wa Zanzibar. Kwa maneno mengine, madiwani na viongozi wa vyama vya siasa wa ngazi zote watakuwa na sifa za kuteuliwa ili mradi tu wanazo sifa za kitaaluma na nyinginezo zilizotajwa katika kifungu cha 6(3) cha Sheria. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wakati wa mjadala wa kupitishwa kwa Sheria hii tarehe 15 Novemba mwaka jana, tuliliambia Bunge lako tukufu kwamba, kwa kukataza viongozi wa vyama vya siasa kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume, kifungu cha 6(5)(a) “... k(i)naondoa kwenye mchakato wa Katiba Mpya kundi kubwa la watu wenye utaalamu na uzoefu katika masuala mbali mbali ya kisiasa, kikatiba, kisheria, kiuchumi, kiutawala, kifedha na kisayansi jamii. Vile vile, viongozi wa vyama vya siasa wanawakilisha makundi makubwa ya kijamii yenye mtawanyiko wa watu na wa kijiografia katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na wanawakilisha watu wa umri na jinsia zote kama inavyopendekezwa katika Muswada Mpya.” Pendekezo letu kwamba Wabunge na Wawakilishi wa Zanzibar nao wawe na sifa za kuteuliwa wajumbe wa Tume halipo katika mapendekezo ya Muswada huu na Jedwali la Marekebisho la Serikali. Hata hivyo – katika kuendeleza moyo wa maridhiano na give and take - Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaridhika na kuunga mkono mapendekezo ya marekebisho ya kifungu cha 6(5)(a) ili kuwapa madiwani na viongozi wa vyama vya siasa sifa za kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mapendekezo ya marekebisho ya kifungu cha 6(5)(c) ambayo hayapo katika Muswada lakini yameletwa kwa njia ya Jedwali la Marekebisho la Serikali. Kifungu cha 6(5)(c) cha Sheria ya sasa kinawaondolea sifa za kuteuliwa watu waliowahi kuhukumiwa kwa kutenda kosa, au ni watuhumiwa katika mashauri ya jinai yaliyopo mahakamani yanayohusu mashitaka ya kukosa uaminifu au uadilifu. Jedwali la Marekebisho linapendekeza, na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaunga mkono, kukifuta kabisa kifungu hicho kwa sababu zifuatazo. Kwanza, tayari kifungu cha 6(4) cha Sheria ya sasa kimewaondolea sifa za kuteuliwa kama wajumbe watu wasiokuwa “... [wa]aminifu wa hali ya juu na [w]ana tabia i[na]yotiliwa shaka na jamii.” Mtu aliyewahi kuhukumiwa kwa kutenda kosa la kukosa uaminifu au uadilifu anakuwa automatically disqualified na kifungu hicho na kwa hiyo hakukuwa na sababu yoyote kisheria ya kuwa na kifungu cha 6(5)(c). Pili, mapendekezo ya marekebisho ya kifungu hiki yanaenda sambamba na presumption of innocence iliyoko kwenye ibara ya 13(6)(b) ya Katiba yetu na kwa sababu hiyo yanahifadhi haki za watuhumiwa wa makosa ya jinai ya kupata ulinzi wa sheria hadi hapo watakapopatikana na hatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yapo mapendekezo mengine ya marekebisho ya kifungu cha 6 ambayo yameletwa kwa njia ya Jedwali la Marekebisho la Serikali. Kwanza inapendekezwa kuongezwa kifungu kipya cha 6(6) kinachosema kwamba “... Rais ataalika vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, taasisi na makundi ya watu wenye malengo yanayofanana kuwasilisha orodha ya majina ya watu ili kuteuliwa kuwa wajumbe.” Pili, inapendekezwa katika kifungu kipya cha 6(7) kwamba “katika kualika jumuiya za kidini, asasi za kiraia, jumuiya, taasisi zisizo za kiserikali au makundi ya watu ... kuwasilisha orodha za majina ya watu ... kama ilivyoelekezwa kwenye kifungu kidogo cha (6), Rais atazingatia umoja unaosimamia jumuiya au asasi hizo.” Na tatu, kifungu kipya cha 6(8) kinapendekeza kwamba Rais asizuiliwe na masharti ya kifungu kipya cha 6(6) “... kuteua watu wengine kuwa wajumbe wa Tume.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapendekezo haya mapya ni ya kihistoria. Kwanza, tangu tupate uhuru miaka zaidi ya hamsini iliyopita na tangu Sheria ya Tume za Uchunguzi, Sura ya 32 ya Sheria za Tanzania ilipotungwa mwaka 1962, Tume zote ambazo zimeundwa kuchunguza mambo mbali mbali makubwa yaliyogeuza taswira ya kikatiba ya taifa letu zilikuwa Tume za Rais kwa maana kwamba Rais alikuwa ni alfa na omega wa Tume hizo. Rais ndiye alikuwa mteuzi wa Tume hizo, bila mashauriano na makubaliano na mtu mwingine yeyote. Rais ndiye aliyezipa Tume hizo hadidu za rejea na ndiye aliyepokea ripoti za Tume hizo. Rais ndiye aliyeamua kutoa hadharani ripoti za Tume au la na ndiye aliyeamua kipi akikubali na kipi akikatae katika mapendekezo ya ripoti za Tume hizo. Mifano ya Tume za aina hii ni Tume ya Kawawa iliyopelekea kuanzishwa kwa mfumo wa siasa wa chama kimoja na kupigwa marufuku kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1964/65; Tume ya Kombo na Msekwa iliyopelekea kuunganishwa kwa vyama vya TANU na ASP na kuanzishwa kwa CCM mwaka 1977; na Tume ya Nyalali iliyopelekea kuanzishwa tena kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1991/92. Zote hizi zilikuwa Tume za Rais par excellence! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pendekezo la kumwezesha Mheshimiwa Rais kualika vyama vya siasa, taasisi za kidini, asasi za kiraia na makundi mengine ya watu wenye malengo yanayofanana kuwasilisha majina ya watu watakaoteuliwa na Rais kuwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba linakata uzi mwekundu ambao umeshonea vazi letu la kikatiba katika nusu karne ya uhai wetu kama taifa huru. Wajukuu wa wajukuu zetu, na vizazi vyao vitakavyofuata kwa miaka mingi baada ya sisi tuliopo humu ndani kuwa tumeondoka kwenye dunia hii, wataandika kwamba Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania kuanzisha dhana ya Tume ya Katiba ya Wadau, badala ya utaratibu wa Tume ya Rais aliourithi kutoka kwa Marais waliomtangulia. Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, ambayo katika maoni yake ya tarehe 15 Novemba mwaka jana ilipendekeza kwamba “wajumbe wa Tume wateuliwe kufuatana na mapendekezo na makubaliano ya vyama vya siasa vyenye uwakilishi Bungeni, vyama vingine vilivyosajiliwa pamoja na mashirika ya kijamii, taasisi za kitaaluma na za kidini”, inayaunga mkono mapendekezo ya marekebisho haya ya kihistoria. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mambo mawili muhimu ya nyongeza kuhusu pendekezo hili la kihistoria. Kwanza, kwa kuzingatia wingi wa asasi za kiraia, taasisi za kidini, jumuiya na taasisi zisizo za kiserikali na makundi mengine ya watu yenye malengo yanayofanana, kifungu kipya cha 6(7) kinapendekeza kumrahisishia Rais kazi kwa kumwelekeza azingatie muungano au umoja wa makundi hayo pale anapoyaalika kumpelekea orodha ya watu wa kuteuliwa kuwa wajumbe wa Tume. Pili, kwa kuzingatia kwamba Rais na Serikali anayoingoza pia ni wadau wakubwa na muhimu katika mchakato wa Katiba Mpya, kifungu kipya cha 6(8) kinapendekeza kumpa Rais mwanya wa kuteua wajumbe wengine kwenye Tume nje ya wajumbe watakaopendekezwa na wadau kwa mujibu wa mapendekezo ya kifungu kipya cha 6(6). Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inakubaliana na common sense iliyoangika mapendekezo yote mawili na inayaunga mkono. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jedwali la Marekebisho la Serikali linapendekeza kufanyiwa marekebisho kwa kifungu cha 12 cha Sheria kinachohusu ukomo wa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Itakumbukwa kwamba katika hotuba yake ya tarehe 15 Novemba mwaka jana, Kambi Rasmi ya Upinzani ilipendekeza kwamba namna mojawapo ya “... kuhakikisha uhuru wa Tume katika kutekeleza majukumu yake ni kuhakikisha [kwamba] wajumbe wake wanapatiwa ulinzi wa ajira zao ... sawa na wanaopatiwa majaji wa Mahakama ya Tanzania ili kuzuia uwezekano wa wajumbe [hao] kuondolewa kwa sababu zisizotokana na utendaji wao wa kitaaluma au ukosefu wa maadili.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pendekezo hili sasa limekubaliwa na Serikali kwani Jedwali la Marekebisho linapendekeza marekebisho ya kifungu cha 12 kwa kuongeza kifungu kidogo kipya cha (4) kinachoweka utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya wajumbe wa Tume. Kwa mujibu wa utaratibu unaopendekezwa, endapo suala la kuondolewa kwa mjumbe kwa ukiukwaji wa Kanuni za Maadili litajitokeza, Rais ataunda Kamati itakayochunguza suala hilo na kutoa mapendekezo kwake. Kamati hiyo inapendekezwa kuongozwa na Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania huku wajumbe wengine wakiwa Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Kamishna wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, wakili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar aliyependekezwa na Chama cha Mawakili Zanzibar (ZLS) na wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania aliyependekezwa na Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS). Inapendekezwa kwamba endapo, baada ya uchunguzi wake, Kamati hii itapendekeza kwamba mjumbe wa Tume asiondolewe basi suala la kumwondoa litasitishwa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na mapendekezo ya kifungu kipya cha 12(4), Jedwali la Marekebisho linapendekeza pia kwamba kifungu kipya cha 12(5) kiongezwe ili kuiwezesha Kamati kutengeneza utaratibu wake yenyewe wa kufanya uchunguzi. Aidha, inapendekezwa kuongeza kifungu kipya cha 13(7) kwa lengo la kuifanya Tume kuwa mamlaka ya kinidhamu kwa wajumbe wa Sekretarieti ya Tume. Kama ilivyo kwa Tume, pendekezo hili vile vile linalenga kuwahakikishia ulinzi wa kisheria watendaji na watumishi wa Sekretarieti ili kuwawezesha kutekeleza wajibu wao kwa uhuru na bila kuingiliwa na mtu yeyote kama inavyotakiwa na kifungu cha 10 cha Sheria hii. Kwa sababu hizo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inakubaliana na mapendekezo yote mawili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapendekezo mengine muhimu yanayopendekezwa na Jedwali la Marekebisho la Serikali yanahusu marekebisho ya kifungu cha 17 cha Sheria kinachoweka utaratibu wa utendaji kazi wa Tume. Kwa mujibu wa kifungu cha 17(5) cha Sheria ya sasa, Tume inaweza kumtaka Mkuu wa Wilaya, Afisa Mtendaji wa Kata au Mtaa au Afisa Mtendaji wa Kijiji (au Sheha kwa upande wa Zanzibar) kuitisha mkutano wa wakazi wa mji, kata, mtaa au kijiji au shehia kwa madhumuni ya kukusanya maoni ya wananchi hao kuhusu masuala ya Katiba. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna hofu kubwa sana juu ya nafasi ya Wakuu wa Wilaya katika mchakato wa Katiba Mpya kama ilivyowekwa na Sheria hii. Hofu hii sio unfounded kwani tangu Sheria hii itungwe mwaka jana, Wakuu kadhaa wa Wilaya wamenukuliwa na vyombo vya habari wakitishia kuamuru wawakilishi wa mashirika ya kiraia yanayoendesha elimu kwa umma juu ya mchakato wa Katiba Mpya wakamatwe kama watafanya programu za elimu hiyo katika maeneo yao. Vile vile, kwa mujibu wa Katiba ya CCM na tangu kuanzishwa kwa CCM mwaka 1977, Wakuu wa Wilaya wamekuwa ni wajumbe wa vikao vyote vikuu vya CCM katika ngazi ya Wilaya. Kwa mfano, kwa mujibu wa Katiba ya CCM Toleo la 1982, Mkuu wa Wilaya ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya (ibara ya 42(3); ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya (ibara ya 44(3); na ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya (ibara ya 46(3). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata baada ya miaka thelathini tangu toleo hilo la Katiba ya CCM litolewe, na licha ya miaka ishirini ya mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini, hali bado iko vile vile kuhusiana na nafasi ya Wakuu wa Wilaya katika vikao rasmi vya CCM. Ndio maana, kwa mujibu wa ibara ya 76(1)(c) ya Katiba ya CCM Toleo la 2010, Mkuu wa Wilaya ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya; ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya (ibara ya 78(1)(c); na ni mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya (ibara ya 80(1)(c). &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi vyote ni vikao muhimu vya maamuzi ndani ya Chama cha Mapinduzi ngazi ya Wilaya. Kuwapo kwa Wakuu wa Wilaya katika Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kunaleta hofu ya msingi kwamba wanaweza kuhujumu mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi kwa sababu au malengo ya kisiasa. Kwa sababu hiyo, pendekezo la kuwaondoa Wakuu wa Wilaya – na badala yake kuwaweka Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa - katika mchakato wa kuitishwa kwa mikutano ya kukusanya maoni ya wananchi juu ya Katiba Mpya linajenga imani kwa wadau wengine hasa hasa vyama vya siasa vya upinzani. Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa hawafungamani na chama chochote cha siasa ndio maana wamefanywa kuwa wasimamizi wa uchaguzi kwa mujibu wa sheria zetu za uchaguzi. Vile vile pendekezo hili linawawezesha wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa kufanya kazi kwa urahisi na watendaji wa Kata na wa vijiji ambao pia ni watumishi wa mamlaka hizo. Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayakaribisha na kuyaunga mkono mapendekezo ya marekebisho haya ya kifungu cha 17(5) ya Sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya mapungufu makubwa ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ni kutokuwepo kwa utaratibu wowote wa utoaji wa elimu kwa umma juu ya mchakato wa Katiba Mpya. Ni ajabu kwamba wakati Sheria haijaweka utaratibu wowote, kifungu cha 21(2)(c) cha Sheria hiyo hiyo kimetangaza kwamba “mtu yeyote atakayeendesha programu ya elimu juu ya mabadiliko ya Katiba kinyume na masharti ya Sheria hii atakuwa ametenda kosa”! Hii sio tu inapingana moja kwa moja na hifadhi ya uhuru wa maoni iliyowekwa na ibara ya 18 ya Katiba yetu, bali pia inaendeleza ujinga wa wananchi katika masuala muhimu ya kikatiba. Jedwali la Marekebisho ya Serikali linapendekeza kuondoa mapungufu hayo kwa kuweka utaratibu wa kutoa elimu kwa umma juu ya mabadiliko ya Katiba. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa kifungu kipya cha 17(9), inapendekezwa kuwa mtu au taasisi yoyote inayotaka kuendesha programu ya elimu kwa umma kuhusu mabadiliko ya Katiba anatakiwa kutoa taarifa ya maandishi kwa Tume, au kwa Wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mitaa na makatibu wa mabaraza ya miji kwa upande wa Zanzibar. Mtu au taasisi hiyo sharti iwe imesajiliwa na sharti ibainishe chanzo cha fedha zitakazotumika kuendeshea programu hiyo. Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayakaribisha na kuyaunga mkono mapendekezo ya marekebisho haya kwa sababu yatawezesha wananchi kutoa maoni yao kuhusu mabadiliko ya Katiba wakiwa na ufahamu mkubwa zaidi wa masuala ya kikatiba ya nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na kuweka utaratibu wa kutoa elimu ya mabadiliko ya Katiba kwa umma, kifungu kipya cha 17(10) kinapendekeza kuhifadhi uhuru wa asasi, taasisi au makundi ya watu “... kuandaa mikutano kwa ajili ya kutoa fursa kwa wanachama wao kutoa maoni yao kuhusu Katiba na kisha kuyawasilisha kwenye Tume.” Mapendekezo haya sio tu yanatambua ukweli kwamba, kutokana na ukubwa wa nchi yetu na wingi wa watu wake, haitawezekana kwa Tume kukutana na kila mtu kwa lengo la kukusanya maoni yake kuhusu mabadiliko ya Katiba. Pendekezo hili pia linaendana na haki na uhuru muhimu wa kufanya mikutano kwa mujibu wa ibara ya 17 ya Katiba yetu na wa maoni kwa mujibu wa ibara ya 18. Kwa sababu hizo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayaunga mkono mapendekezo ya marekebisho haya ya Serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jedwali la Marekebisho la Serikali linapendekeza kupunguzwa kwa adhabu za watakaopatikana na hatia ya makosa ya kumkwamisha au kumzuia mjumbe wa Tume au Sekretarieti kutekeleza majukumu yake; kumkwamisha au kumzuia mtu au kundi la watu kutoa maoni kwenye Tume; kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi kinyume na Sheria hii; kujifanya mjumbe wa Tume au Sekretarieti; na kuendesha programu ya elimu juu ya mabadiliko ya Katiba kinyume na masharti ya Sheria hii. Makosa haya yako kwenye kifungu cha 21(1) na (2) cha Sheria na adhabu zake, kwa mujibu wa kifungu cha 21(3), ni faini ya kati ya shilingi milioni tano hadi milioni kumi na tano au kifungo cha kati ya miaka mitatu hadi miaka saba au vyote kwa pamoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika waraka wake kwa Mheshimiwa Rais, Kamati Maalum ya CHADEMA ilipendekeza kwamba vifungu vyote vinavyokiuka haki za kimsingi za kikatiba vifutwe na kuwepo na uhuru kamili wa kujadili, kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi juu ya utungaji wa Katiba Mpya na kuyawasilisha kwa Tume. Pamoja na kwamba vifungu vinavyofanya ukusanyaji na uratibu wa maoni ya wananchi na uendeshaji wa elimu kwa umma kuwa kosa la jinai havikufutwa kama tulivyopendekeza kwa Mheshimiwa Rais, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inashauri, kwa kuzingatia haki zilizohifadhiwa na ibara za 17 na 18 za Katiba yetu ya sasa, kwamba Bunge hili tukufu litafakari kama kuna haja ya kuendelea kuwepo kwa makosa haya na adhabu zake katika Sheria itakayotuletea Katiba Mpya na bora kwa nchi yetu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HITIMISHO&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba, katika kuhitimisha maoni yangu, kwa kusisitiza kwa mara nyingine tena mchango mkubwa wa Mheshimiwa Rais katika kuletwa kwa Muswada huu pamoja na Jedwali la Marekebisho lililoambatanishwa nao miezi miwili tu baada ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kupitishwa na Bunge lako tukufu na kupata kibali cha Rais. Naomba nisisitize tena kwamba, katika jambo hili muhimu kwa taifa letu, Mheshimiwa Rais amekuwa msikivu kweli kweli kwani amejiweka juu ya the partisanship and factionalism of party politics na ameangalia maslahi mapana ya taifa letu. Ni wajibu wetu sasa kuwathibitishia Watanzania kwamba kazi kubwa ya Mheshimiwa Rais, na usikivu wake na uongozi wake katika jambo hili haukuwa wa bure.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inafarijika kwamba Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala ya Bunge lako tukufu imeridhia na kukubali mapendekezo yote ya Muswada huu na Jedwali la Marekebisho la Serikali. Kwa sababu zote hizi, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni sio tu inaunga mkono Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, 2011, bali pia inatoa rai kwa waheshimiwa Wabunge wote, bila kujali the narrowness of our political party affiliations, tuungane na Mheshimiwa Rais katika kulipatia taifa letu utaratibu wa kutengeneza Katiba Mpya wenye muafaka wa kitaifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mheshimiwa Spika, kwa mara ya kwanza, naomba kuunga mkono hoja hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;---------------------------------------------------------------&lt;br /&gt;Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB)&lt;br /&gt;MSEMAJI, KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI&lt;br /&gt;&amp; &lt;br /&gt;WAZIRI KIVULI, KATIBA NA SHERIA&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;FEBRUARI 9, 2012&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6674240792091223496?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6674240792091223496/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6674240792091223496' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6674240792091223496'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6674240792091223496'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/hotuba-ya-upinzani-ya-muswada-wa.html' title='Hotuba ya upinzani ya muswada wa Marekebisho ya sheria ya mabadiliko katiba Chadema  yasema JK  Yes'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2627986057257042003</id><published>2012-02-09T13:49:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T13:50:03.690+03:00</updated><title type='text'>Dewji aimwagia mifedha chipolopolo ya Zambia</title><content type='html'>MWANAMICHEZO na mfanyabiashara maarufu nchini, Azi m Dewji  amekunwa na&lt;br /&gt;mafanikio ya timu ya Soka ya Taifa ya Zambia `Chipolopolo’, na jana&lt;br /&gt;alithibitisha furaha yake kwa kumpatia kila mchezaji wa timu hiyo kitita&lt;br /&gt;cha dola 500 za Kimarekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na kiwango hicho cha fedha, Dewji amelazimika kutoka zaidi ya dola&lt;br /&gt;13,000 (sh milioni 22.1 za Tanzania) kwa ajili ya wachezaji 23 na viongozi&lt;br /&gt;wa timu hiyo waliopo Gabon, moja ya nchi mbili zilizoandaa michuano hiyo&lt;br /&gt;mikubwa, yenye mvuto na utajiri mkubwa wa fedha miongoni mwa timu za taifa&lt;br /&gt;barani Afrika. Nyingine ni Ikweta ya Guinea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dewji, aliyeiwezesha Simba kucheza fainali za Kombe la CAF mwaka 1993,&lt;br /&gt;alikabidhi kiasi hicho cha fedha kwa Rais wa Shirikisho la Soka Zambia&lt;br /&gt;(FAZ), Boniface Mwamelo katika ghafla fupi iliyofanyika jijini Lusaka,&lt;br /&gt;Zambia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akikabidhi, Dewji ambaye yuko nchini humo kwa shughuli za biashara, alisema&lt;br /&gt;ameguswa na mafanikio hayo yaliyorejesha heshima ya soka kwa nchi za Kusini&lt;br /&gt;mwa Bara la Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Zambia ni majirani zetu, tunapakana nao. Lazima tujivunie mafanikio haya&lt;br /&gt;kwa sababu si ya Zambia peke yao, bali ya Ukanda huu wote,” alisema Dewji&lt;br /&gt;akiongeza kuwa, Zambia ni ndugu wa kweli na waliwahi kuwa wanachama wa&lt;br /&gt;CECAFA, Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ambalo Tanzania ni miongoni&lt;br /&gt;mwa wanachama wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuizawadia Zambia, alisema atakuwa tayari kufanya hivyo kwa timu&lt;br /&gt;yoyote itakayofanya vizuri, ikiwamo timu ya soka ya Tanzania `Taifa Stars’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kama timu inatoka ukanda huu, sitabagua, nitawatuza kwa heshima&lt;br /&gt;wanayoileta. Hata Twiga Stars wamefanya vizuri hivi karibuni nimewazawadia,&lt;br /&gt;lakini si busara kutangaza kila kitu, hata kwa vitu vidogo…” alisema na&lt;br /&gt;kusema kwa kila hatua watakayopiga Zambia katika michuano ya mwaka huu,&lt;br /&gt;atawazawadia wachezaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, aliahidi kumwaga fedha zaidi kama wataifumua Ghana katika mchezo wa&lt;br /&gt;nusu fainali. Mchezo huo ulitarajiwa kufanyika jana usiku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nitawapa fedha zaidi na pia nitawakumbuka kwa zawadi maalumu wajane wa&lt;br /&gt;wachezaji waliokufa katika ajali ya ndege Pwani ya Gabon mwaka 1993,”&lt;br /&gt;alisema Dewji, Mkurugenzi wa kampuni ya Simba Trailers inayounda bodi za&lt;br /&gt;magari makubwa, yakiwemo ya mizigo na ya abiria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zambia iliyopo Gabon chini ya nahodha Christopher Katongo, ilitua katika&lt;br /&gt;fainali za mwaka huu kwa kiapo cha kuwafuta machozi Wazambia ambao miaka 19&lt;br /&gt;iliyopita  walipoteza kikosi chote cha kwanza kilichokuwa gumzo wakati huo&lt;br /&gt;barani Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wa sasa wa FAZ, Kalusha Bwalya alikuwemo katika kikosi, lakini&lt;br /&gt;alinusurika kwani alikuwa anatoka Ulaya alikokuwa akicheza soka ya kulipwa,&lt;br /&gt;akiamini angeungana na wenzake huko Dakar, Senegal ambako kikosi hicho&lt;br /&gt;kilikuwa kinakwenda kwa mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la&lt;br /&gt;Dunia mwaka 1994  nchini Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wachezaji waliokufa katika ajali hiyo ni Efford Chabala, John Soko,&lt;br /&gt;Whiteson Changwe, Robert Watiyakeni, Eston Mulenga, Derby Makinka, Moses&lt;br /&gt;Chikwalakwala, Wisdom Mumba Chansa, Kelvin "Malaza" Mutale, Timothy Mwitwa,&lt;br /&gt;Numba Mwila, Richard Mwanza, Samuel, Moses Masuwa, Kenan Simambe, Godfrey&lt;br /&gt;Kangwa, Winter Mumba  na Patrick "Bomber".&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2627986057257042003?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2627986057257042003/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2627986057257042003' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2627986057257042003'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2627986057257042003'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/dewji-aimwagia-mifedha-chipolopolo-ya.html' title='Dewji aimwagia mifedha chipolopolo ya Zambia'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1100132645376750479</id><published>2012-02-09T13:33:00.004+03:00</published><updated>2012-02-09T13:44:19.099+03:00</updated><title type='text'>JK akutana na Naibu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Johnnie Carson na ujumbe wake leo Ikulu, Dar</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-2vOoMi-YE8Y/TzOjCxLYJqI/AAAAAAAAPuw/OKnHY4AQSFo/s1600/us4.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-2vOoMi-YE8Y/TzOjCxLYJqI/AAAAAAAAPuw/OKnHY4AQSFo/s320/us4.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707084420764673698" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-HRadLHbn514/TzOjCdSkyBI/AAAAAAAAPuo/hqdmUTDLcMI/s1600/us3.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-HRadLHbn514/TzOjCdSkyBI/AAAAAAAAPuo/hqdmUTDLcMI/s320/us3.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707084415426152466" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-jAuyjBVzQW4/TzOjB_iAjxI/AAAAAAAAPuc/MqO9PJGy3YM/s1600/us1.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 183px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-jAuyjBVzQW4/TzOjB_iAjxI/AAAAAAAAPuc/MqO9PJGy3YM/s320/us1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707084407437823762" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Ujumbe wa Marekani ulimtembelea Rais Jakaya Mrisho Kikwete na kuwa na mazungumzo naye.Waliofika huko ni pamoja na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Bw. Johhnie Carlson n baadaye kupiga picha za pamoja. Kuwapo kwa Waziri wa Nishati na Madini kunaonesha uzito wa ujumbe huo katika mazungumzo hayo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1100132645376750479?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1100132645376750479/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1100132645376750479' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1100132645376750479'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1100132645376750479'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-akutana-na-naibu-wa-waziri-wa-mambo.html' title='JK akutana na Naibu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Johnnie Carson na ujumbe wake leo Ikulu, Dar'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-2vOoMi-YE8Y/TzOjCxLYJqI/AAAAAAAAPuw/OKnHY4AQSFo/s72-c/us4.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1341473444100995511</id><published>2012-02-09T10:10:00.001+03:00</published><updated>2012-02-09T10:12:44.977+03:00</updated><title type='text'>Spika azungumzia sakata la mgogoro wa madaktari</title><content type='html'>Kazi ya kwanza aliyoifanya Spika Anne Makinda leo asubuhi ni kuelezea maendeleo ya hatua zinazochukuliwa kumalizia mgogoro wa madaktari.&lt;br /&gt;Alisema Kamati ya Bunge ilimaliza kazi na jana usiku walikutana na kamati ya uongozi na baadaye Spika alizungumza na waziri Mkuu na Rais jakaya Kikwete na wakakubaliana jambo.&lt;br /&gt;Alisema jambo hilo litawekwa wazi mchana huu.hata hivyo alisema kwamba waziri mkuu anaendelea na juhudi za kukutana na wahusika.&lt;br /&gt;Walichoomba  wabunge kupitia Spika ni madaktari kurejea katika kazi zao na kuendelea kuzifanya.&lt;br /&gt;Alsiema waliosaabbisha mawasiliano mabaya watachukuliwa hatua na madai yao ya dharura kushughulikiwa.&lt;br /&gt;Alisema wajumbe wa kamati walihudhunishwa sana na hali iliyopo katika hospitali ya mUhimbili na katika hali hiyo spika alisema si jambo la kuzungumza kwa ushabiki kwani ni jambo kubwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1341473444100995511?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1341473444100995511/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1341473444100995511' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1341473444100995511'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1341473444100995511'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/spika-azungumzia-sakata-la-mgogoro-wa.html' title='Spika azungumzia sakata la mgogoro wa madaktari'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4777629558443153798</id><published>2012-02-09T08:38:00.002+03:00</published><updated>2012-02-09T08:51:02.979+03:00</updated><title type='text'>KIKOSI KAZI Ngoma Africa band aka FFU,  Wamevamiwa at facebook,msela moja amewamwagia mawe ya mapicha mabaya!</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-gNwgsIBhZiA/TzNeqe1AUAI/AAAAAAAAPuQ/42bwg0FgrSU/s1600/Siimba%2Bna%2BMakunja%255B1%255D.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-gNwgsIBhZiA/TzNeqe1AUAI/AAAAAAAAPuQ/42bwg0FgrSU/s320/Siimba%2Bna%2BMakunja%255B1%255D.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5707009236731449346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamanda Ras Makunja na rungu lake katika mshike mshike!Ughaibuni,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo na mapema bendi maarufu ya muziki wa dansi barani  Ngoma Africa band au maarufu kama FFU,walivamiwa na maharamia katika chanzo cha kimoja cha www.facebook.com/ngomaafrica ambako msela mmoja asiyejulikana alikichafua chanzo hiko kwa kumwaga picha za video chafu,kiasi cha kusababisha usumbufu,fujo hizo za kutundikwa picha chafu katika chanzo cha FFU,zilishindwa kutulizwa na ngoma africa&lt;br /&gt;wenyewe,kiasi kamanda wa bendi hiyo Ras Makunja akiwa ana ahaa na rungu mkononi ,lakini baadaye walipata msaada kutoka kwa mtalaam moja wa mambo ya IT ajulikanae kwa jina la Mfundo aka Boss,kamanda Ras Makunja na mnyama wake mkali(pichani) alishindwa kuliziwia ghasia lililo ikumba bendi at&lt;a href="www.facebook.com/ngomaafrica"&gt; www.facebook.com/ngomaafrica&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Kumekuwa na baadhi ya wadau wenye uchokozi wanapoona kikosi hiko cha Ngoma Africa band akaFFU kimetulia basi lazima watawatafutia shughuli ya kufanya! kwa kipindi hiki cha msimu wa baridi kule ughaibuni kikosi kazi hiko kimejchimbia ndani ya kambi na kupiga kwata juu ya barafu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Ngoma Africa band wanachua chua maumivu ya pilika pilika za kuvamiwa,wadau&lt;br /&gt;tusikose kujipa burudani kamili bofya at &lt;a href="www.ngoma-africa.com"&gt;www.ngoma-africa.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;au &lt;a href="http://www.ngoma-africa.com"&gt;http://www.ngoma-africa.com&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4777629558443153798?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4777629558443153798/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4777629558443153798' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4777629558443153798'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4777629558443153798'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/kikosi-kazi-ngoma-africa-band-aka-ffu.html' title='KIKOSI KAZI Ngoma Africa band aka FFU,  Wamevamiwa at facebook,msela moja amewamwagia mawe ya mapicha mabaya!'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-gNwgsIBhZiA/TzNeqe1AUAI/AAAAAAAAPuQ/42bwg0FgrSU/s72-c/Siimba%2Bna%2BMakunja%255B1%255D.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4582573765679873240</id><published>2012-02-09T08:17:00.000+03:00</published><updated>2012-02-09T08:18:29.346+03:00</updated><title type='text'>Americans legalize same-sex marriage</title><content type='html'>Washington state's Legislature approved a bill to legalize same-sex marriage.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;The State House of Representatives voted 55-43 to back the bill, which already passed in the state Senate. Gov. Christine Gregoire, a Democrat, has pledged to sign the bill.&lt;br /&gt;Source CNN&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4582573765679873240?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4582573765679873240/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4582573765679873240' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4582573765679873240'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4582573765679873240'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/americans-legalize-same-sex-marriage.html' title='Americans legalize same-sex marriage'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3639776400184237871</id><published>2012-02-09T08:13:00.001+03:00</published><updated>2012-02-09T08:15:18.783+03:00</updated><title type='text'>Waziri Mkuu  yupo Dar kukabiliana na mgogoro wa madaktari</title><content type='html'>WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA YUPO DAR ES SALAAM KUTOKA DODOMA KUSHUGHULIKIA MGOMO WA MADAKTARI AMBAO UMEKUWA UKIENDELEA KWA LENGO LA KUUPATIA UFUMBUZI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;JANA ALIKUTANA NA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI PAMOJA NA MADAKTARI BI NGWA KUTOKA SEKTA YA UMMA NA BINAFSI NA WASTAAFU.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;LEO SAA 3 ASUBUHI ATAKUTANA NA MADAKTARI BINGWA, MADAKTARI WALIOSAJILIWA (REGISTRALS) NA MADAKTARI WALIOKO KWENYE MAFUNZO KWA VITENDO (INTERNS) NA BAADA YA HAPO SAA 4 ATAKUTANA NA WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA MUHIMBILI, MOI, OCEAN ROAD NA WAWAKILISHI KUTOKA HOSPITALI ZA MKOA WA DAR ES SALAAM, KWENYE UKUMBI WA CPL, MUHIMBILI.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MATARAJIO YA SERIKALI NI KWAMBA MAZUNGUMZO HAYO YATAWEZA KUMALIZA&lt;br /&gt;MGOGORO HUU NA MADAKTARI WOTE KUREJEA KAZINI NA HIVYO KUREJESHA HUDUMA ZA MATIBABU KATIKA HALI YA KAWAIDA KWA WANANCHI WA TANZANIA. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HIVYO SERIKALI INAWAOMBA WOTE WANAOHUSIKA WAFIKE KATIKA MIKUTANO HIYO BILA YA KUKOSA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;(IMETOLEWA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3639776400184237871?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3639776400184237871/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3639776400184237871' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3639776400184237871'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3639776400184237871'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/waziri-mkuu-yupo-dar-kukabiliana-na.html' title='Waziri Mkuu  yupo Dar kukabiliana na mgogoro wa madaktari'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2061728173243251895</id><published>2012-02-08T16:48:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T16:50:31.479+03:00</updated><title type='text'>MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA RASMI NA YAWEKWA LIVE</title><content type='html'>Kwanza tunapenda kuwasalimu wakubwa Shikamoo na vijana wenzetu wote mambo vipi? Kwa Heshima na Taadhima timu nzima ya Matukio na wanavyuo(&lt;a href="www.tzwanavyuo.blogspot.com"&gt;www.tzwanavyuo.blogspot.com&lt;/a&gt;) tunapenda kuchukua nafasi hii ya Kipekee na kwa niaba ya Baraza la mitihani Tanzania kuweka hewani moja kwa moja matokeo ya kidato cha nne ambapo watahiniwa walifanya mitihani hiyo mwaka Jana 2011. Hongera sana kwa wote walio fanya vizuri na kwa wale walio Feli tunawapa pole na wafanye bidii kurudia tena mitihani hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TAZAMA HAPA &lt;a href="www.tzwanavyuo.blogspot.com "&gt;www.tzwanavyuo.blogspot.com &lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imetolewa na Matukio na wanavyuo Crew&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Website: &lt;a href="www.tzwanavyuo.blogspot.com"&gt;www.tzwanavyuo.blogspot.com&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;E-mail: twanavyuo@live.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2061728173243251895?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2061728173243251895/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2061728173243251895' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2061728173243251895'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2061728173243251895'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/matokeo-ya-kidato-cha-nne-yatangazwa.html' title='MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA RASMI NA YAWEKWA LIVE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1839763863856229537</id><published>2012-02-08T13:46:00.001+03:00</published><updated>2012-02-08T13:46:29.561+03:00</updated><title type='text'>Jana hali ilikuwa hivi kuhusu madaktari leo we acha tu</title><content type='html'>SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewataka wabunge kuwa watulivu, kutochanganya mambo katika masuala yanayohusu mgomo wa madaktari hatakama madaktari bingwa wa Muhimbili wameanza mgomo.&lt;br /&gt;Kauli hiyo iliyoambatana na kuzuia wabunge kujadili mgomo wa madaktari hao  kwa hoja ya dharura iliyowaslishwa na mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM.&lt;br /&gt;Zambi akitumia kifungu cha 47 na 48 cha Kanuni za Bunge fasili ndogo ya 2 na ya 3 alisema kwamba bunge ni vyema likaacha mambo mengine na kujadili hilo kubwa la dharura huku akinukuu Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwamba madaktari bingwa Muhimbili wamegoma hivyo shauri hilo lijadiliwe kwa kuwa hali ni mbaya.&lt;br /&gt;Alilitaka Bunge kujadili kina cha matatizo ya madaktari bingwa hao mpaka wanagoma.Aliomba wabunge wamuunge mkono, Serikali itoe tamko, na akahoji kwa nini kuna kigugumizi kuwalipa madaktari kama shauri ni hilo.&lt;br /&gt;Makinda akijibu hoja hiyo alisema, wabunge wanalishughulikia vibaya suala hilo na akawataka wawe watulivu wanaposhughulikia mambo makubwa kama hayo.&lt;br /&gt;“Waheshimiwa wabunge tuwe watulivu tunaposhughulikia mambo makubwa…hili ni suala kubwa sana, sana, sana” alisema Makinda. Alisema kwamba ipo kamati ya Bunge inashughulikia suala hilo na hawezi kwa namna yoyote ile kuruhusu mjadala huo, sivyo hakuna kitakachokuwa kinafanyika na kumalizika.&lt;br /&gt;Alisema serikali ilileta tamko kuhusu madaktari na Bunge kwa pamoja waliagiza Kamati yake ishughulikie tatizo hilo.&lt;br /&gt; “Kwa kutumia busara ya kiti, hili suala siruhusu mpaka kamati yangu irudi” amesema.&lt;br /&gt;Baada ya Makinda kutoa uamuzi huo, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliomba mwongozo wa Spika, na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto, aliomba kutoa taarifa, Spika alikataa.&lt;br /&gt;Kamati  ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii juzi  ilianza kuzungumza na wadau wa sekta ya afya ili kutafuta namna ya kumaliza mgomo wa madaktari na kwa mujibu wa Spika Makinda kamati hiyo bado inaendelea na kazi yake ya kukutana na wanaohusika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ijumaa iliyopita Bunge liliiagiza kamati hiyo izungumze na Serikali na madaktari ili kumaliza mgogoro huo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema bungeni kuwa, wajumbe wa kamati hiyo waliondoka Dodoma Jumamosi iliyopita, juzi walianza kutekeleza agizo la Bunge kwenye ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati anatoa agizo kwa kamati hiyo, Ndugai, aliitaka ifanye kazi hiyo haraka na itoe taarifa kuhusu yaliyojiri kwenye mazungumzo hayo na ushauri wa Bunge kwa pande husika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugai jana aliwapongeza madaktari waliokubali kukutana na kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Viti Maalum, Magreth Sitta. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amesema, jana  kamati hiyo ilitarajiwa kukutana na Katibu Mkuu Utumishi, na itakutana pia na Baraza la Madaktari, Baraza la Wafamasia, Uongozi wa madaktari walio katika mafunzo kwa vitendo, na Jumuiya ya Madaktari. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wameelezwa kuwa, kamati hiyo pia itakutana na Umoja wa Madaktari, Kamati ya Madaktari Bingwa, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Uongozi wa Kitengo cha Mifupa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI), na uongozi wa hospitali za rufaa KCMC, Mbeya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Ndugai, kamati hiyo pia itakutana na uongozi wa hospitali za Ocean Road, Temeke, Mwananyamala, Amana za Dar es Salaam, uongozi wa madaktari mbadala kutoka jeshini, chama cha wauguzi, uongozi wa Tughe, na wadau wengine wa sekta ya afya. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bunge limewaruhusu wabunge wengine ambao si wajumbe wa kamati hiyo kuhudhuria vikao vya kamati na pande husika, na kuchangia. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugai alisema , baada ya kamati ya Bunge kuwasilisha taarifa kuhusu mazungumzo na pande husika, Mbunge yeyote ambaye atahitaji mjadala ataruhusiwa kuwasilisha hoja mahsusi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongozi huyo wa Bunge ameiomba Serikali na madaktari watoe ushirikiano kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati akiwasilisha  kauli ya serikali ,Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Haji Mponda aliwaeleza wabunge kuwa, Serikali imedhamiria kwa dhati kutatua tatizo hilo hivyo madaktari, wataalam wengine wa sekta ya afya na wadau wote wa sekta hiyo waitumie fursa hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 30 mwaka huu, Serikali iliunda kamati ya kushughulikia maazimio yaliyowasilishwa kwa Waziri Mkuu ili kuyachambua na kutoa maoni na mapendekezo yatakayoisaidia Serikali kumaliza mgogoro wa watumishi wa sekta ya afya.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1839763863856229537?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1839763863856229537/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1839763863856229537' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1839763863856229537'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1839763863856229537'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jana-hali-ilikuwa-hivi-kuhusu-madaktari.html' title='Jana hali ilikuwa hivi kuhusu madaktari leo we acha tu'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1413898765421398556</id><published>2012-02-08T13:43:00.000+03:00</published><updated>2012-02-08T13:45:00.355+03:00</updated><title type='text'>Wabunge waikomalia Pan  African Energy Tanzania Limited</title><content type='html'>WABUNGE wamesema pamoja na kwamba Taarifa ya Serikali kuhusu uendeshaji wa sekta ndogo ya gesi nchini kujaa ahadi wameitaka serikali kuhakikisha kwamba dola  za Marekani milioni 20.1 ‘iliyokwapuliwa’ na Kampuni ya Pan  African Energy Tanzania Limited (PAT)  zinarejeshwa mara moja.&lt;br /&gt;Wabunge hao kwa pamoja wamesema kwamba suala la kurejeshwa kwa fedha hizo si la mjadala ni suala la utekelezaji.&lt;br /&gt;Pamoja na kutaka fedha hizo kurejeshwa mara moja wameitaka serikali kuhakikisha kwamba wanachunguza jinai katika dola nyingine za Marekani milioni 35 ambapo Mkaguzi Mkuu wa Serikali ameanza kuchunguza.&lt;br /&gt;Aidha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) nayo imo katika jukumu la kuchunguza kama kuna upotevu wa fedha za serikali.&lt;br /&gt;Wabunge walisema hayo wakati wa kuchangia Taarifa ya Serikali ya Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge yaliyotokana na taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini iliyoshughulikia uendeshaji wa sekta ndogo ya gesi nchini.&lt;br /&gt;Aidha wamehoji  kuundwa kwa tume ya majadiliano ya serikali ambayo kwa namna nyingine inakuwa kama kiwingu katika utekelezaji hasa taifa linapokuwa halina sera wala sheria kuhusu gesi.&lt;br /&gt;Mbunge wa Mwibara,Alphaxard Lugola  alisema kwamba katika mazingira ya kutokuwa na sera wala sharia hao wanaounda timu ya serikali ya majadiliano wanaenda kufanya nini.&lt;br /&gt;Mbunge wa Bumbuli, January Makamba (CCM)  alisema kwamba ipo haja serikali ikaenda kasi katika madai na kuchunguza Jinai iliyopo katika shauri hilo kwa kumshirikisha Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI).&lt;br /&gt;“Yapo mambo yamefanyika kinyume na sheria za nchi” alisema Makamba na kuongeza kuwa maelezo yanayotolewa  mara kwa mara na watendaji wa serikali yanaonesha kwamba tusipowajibika tutawekwa rehani&lt;br /&gt;Makamba alitaka taifa kama taifa liwe tayari kuchukua hatua za kulinda raslimali za  Tanzania.&lt;br /&gt;Mbunge wa Bariadi mashariki John Cheyo (UDP) alizungumzia haja ya CAG kuwa mwenyewe na asitumike kusafisha watu kw taarifa ambazo hazifikishwi Bungeni.&lt;br /&gt;Hata hivyo aliipongeza ripoti hiyo ya serikali na kusema kwamba uinaonesha kwamba Bunge kupitia kamati zake inaweza kusaidia serikali kupata mapato yake.&lt;br /&gt;Mbunge huyo alisema mikataba iliyotiwa saini ya madini na nishatri inaumiza watanzania kwa sababu ya kuwepo hali ya kulainika kutokana na kuundwa kwa Tume ya majadilianio ambayo haina mtu wa uhakika kumshuika wakati wa shida.&lt;br /&gt;Cheyo alisema taifa hili halina sababu ya kuwa maskini na kutaka uwajibikaji na kufuatiliwa kwa karibu kwa ahadi zote za serikali za kufanya ilichoahidi.&lt;br /&gt;Katika taarifa yake jana Bunge  lilisikiliza utekelezaji wa maazimio yake 26 likiwemo la kutaka mkataba wa PAT usitishwe kwa kufuata sheria na fedha zilizokwapuliwa kurejeshwa mara moja.&lt;br /&gt;Naye mbunge wa Ubungo John Mnyika (CHADEMA) alisema ripoti ya serikali imejaa ahadi na kwa kuwa ahadi ni deni  ana tumaini kwamba serikali itatekeleza na kuleta taarifa Bungeni.&lt;br /&gt;Pia alitahadharisha suala ya tume ya  serikali ya majadiliano GNT ambaye alisema kwamba ndio waliokwamisha  masuala ya Richmond na kuendelea kuzungumzwa japo yanaonekana kumalizika.&lt;br /&gt;Alisema katika sakata la Richmond Bunge lilipitisha maazimio  ambayo mojawapo ni Songo songo ambayo hayajatekelezwa toka wakati huo hadi leo na kusema kusipokuwapo na utekelezaji hayatamalizika.&lt;br /&gt;Alisema kwamba azimio namba 12 na utekelezaji wake kimsingi ni marudio ya maazimio ya mwaka 2008 ambapo hoja ilikuwa mikataba ipitiwe upya ikiwemo ya Songas.&lt;br /&gt;Pia alisema Bunge lilihitaji uwajibishwaji ambao hauna maelezo.&lt;br /&gt;Mnyika pia alisema katika uchunguzi unaoendelea anafikiri bado  taifa linaweza kutumia taarifa ya ukwepaji kodi wa dola milioni 65 sawa na shilingi bilioini 75 za kampuni ya PAT kwa kutumia makampuni yake mengine, taarifa iliyoandikwa katika jarida la Action aid la Sweden.&lt;br /&gt;Aidha Mbunge huiyo alitaka kampuni ya TPDC iwezeshwe zaidi ili kuweza kuhakikisha kwamba nishati ya gesi inafika kila eneo na kupungzua gharama za nishati nchini.&lt;br /&gt;Naye mbunge wa Muhambwe Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi) aliitahadharisha serikali kuhusu utekelezaji  na kusema kjuandika ni rahisi lakini kazi ni utekelezaji wa maandishi hayo.&lt;br /&gt;Alisema kuna mambo ya kimkataba nay eye haelewi kwanini katika hilo serikali inapata kigugumizi.&lt;br /&gt;Alisema imeonesha dhahiri kwamba yupo aliyevunja mkataba na kuuliza:”Tunajadiliana naye nini na mtu mwenye nia mbaya.”&lt;br /&gt;Mbunge huyo alitaka kuwepo na kalenda ya kurejejeshwa kwa fedha za Tanzania na kuchukuliana hatua za kuwajibishana kwa uzembe uliojitokeza wa mikataba mibovu.&lt;br /&gt;Mbunge wa kisarawe Selemani Jafo (CCM) alisema tatizo kubwa ni kupata watu wawajibikaji ambao wanatanguliza maslahi ya taifa mbele.&lt;br /&gt;Mbunge huyo alikwenda mbele zaidi na kusema huenda hata hiyo tume ya majadiliano ikafikia maamuzi ya kugawana wao lakini si kurejesha fedha hizo katika mikono ya Hazina.&lt;br /&gt;“..Warejeshe fedha… tunawaundia  GNT .. kugawana mambo mengine si kurejesha hizo fedha .. “ alisema Jafo na kuongeza kuwa kuna jinai na watu wanatakiwa kufikishwa mahakamani.&lt;br /&gt;Nayo Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ikichangia katika maoni yake imetaka mapunjo ya serikali yanayofikia dola za Marekani milioni 20.1 kurudishwa mara moja na uchunguzi wa kijinai kufanyika.&lt;br /&gt;Aidha imeitaka serikali kwa maeneo ambayo imeainisha kuwa yanafanyiwa uchunguzi kutokana na fedha zake kutumika kinyume na malengo kufanywia kazi haraka na taarifa zake kuletwa mbele ya bunge.&lt;br /&gt;Kamati hiyo ya Bunge pia imesema utekelezaji wa maazimio  26 kuhusu PAT uendane na utoaji wa taarifa marta kwa mara kwenye kamati ya bunge.&lt;br /&gt;“Ukipitia taarifa ya serikali utona dhahiri kuwa majibu ya maaizmio mengi ni ahadi.Tunatumia fursa hii kuishauri serikali kuwa ahadi hizi zitekelezwe kama zilivyoanishwa kwenye taarifa” alisema msomaji wa taarifa ya kamati ya Nishati, Charles Mwijage.&lt;br /&gt;Katika taarifa yake yenye kurasa 43 iliyosomwa na waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja,serikali ilisema kwamba ina dhamira ya kuendelea na utekelezaji wa baadhi ya maazimio ambayo yanahitaji muda mrefu zaidi ili kukamilisha mchakato wake.&lt;br /&gt;Mambo hayo ni yale yanayoihusu utungaji na marekebisho ya sharia, marekebisho ya mifumo mbalimbali na uimarishaji wa taasisi zinazohusika na uendeshaji wa sekta ndogo ya gesi asili.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1413898765421398556?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1413898765421398556/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1413898765421398556' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1413898765421398556'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1413898765421398556'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/wabunge-waikomalia-pan-african-energy.html' title='Wabunge waikomalia Pan  African Energy Tanzania Limited'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4182442547543112220</id><published>2012-02-07T16:44:00.001+03:00</published><updated>2012-02-07T16:47:51.655+03:00</updated><title type='text'>MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAFANYA UKAGUZI WA VITAMBULISHO KWA WANACHAMA WAKE</title><content type='html'>&lt;a href="http://4.bp.blogspot.com/-u96WnD4LXnw/TzErdmnSEYI/AAAAAAAAPuE/c4NuC1TY2es/s1600/DG.JPG"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-u96WnD4LXnw/TzErdmnSEYI/AAAAAAAAPuE/c4NuC1TY2es/s320/DG.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706389990436639106" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya bwn. Immanuel Humba akifafanua mbele ya wanahabari  kuhusu zoezi la ukaguzi wa vitambulisho kwa wanachama wake kwenye hospitali na vituo mbalimbali vya kutolea huduma,kumekuwepo kwa matumizi yasiyo sahihi kwa wanachama wachache wasio waaminifu,amewataadharisha wanachama watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4182442547543112220?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4182442547543112220/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4182442547543112220' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4182442547543112220'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4182442547543112220'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mfuko-wa-taifa-wa-bima-ya-afya-wafanya.html' title='MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAFANYA UKAGUZI WA VITAMBULISHO KWA WANACHAMA WAKE'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-u96WnD4LXnw/TzErdmnSEYI/AAAAAAAAPuE/c4NuC1TY2es/s72-c/DG.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-6071070380322971884</id><published>2012-02-07T16:43:00.001+03:00</published><updated>2012-02-07T16:43:44.644+03:00</updated><title type='text'>Adha ya wanafunzi abood ,Shabiby wapongezwa</title><content type='html'>MBUNGE wa Morogoro mjini Abdul-Aziz Abood (CCM) na wa Gairo Ahmed Shabiby (CCM) ambao ni wafanyabiashara wa usafirishaji nchini wamepigiwa chapuo Bungeni jana  kwa kuwasaidia wanafunzi kwenye adha yao ya usafiri kwenda na kurudi Shuleni.&lt;br /&gt;Pongezi hizo zimetolewa na Naibu waziri,Ofisi ya waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Majaliwa Kasim Majaliwa wakati akizungumzia matatizo ya usafiri kwa wanafunzi na mikakati ya kuondokana na tatizo hilo.&lt;br /&gt;Aliwasihi wafanyabiashara mbalimbali wa usafirishaji kuiga mfano wa wabunge hao ambao wanaweza wanafunzi kufika katika maeneo yao kwa muda muafaka.&lt;br /&gt;Alisema ni jukumu la watanzania wote kusaidia kupunguza adha kwa wanafunzi kwa wfaanyabiashara kuwapa masharti nafuu madereva wao ili waweze kuwasaidia wanafunzi.&lt;br /&gt;Madereva wa daladala Dar es salaam wamekuwa wakilalamika kiwango kikubwa walichowekewa na wamiliki wao cha kuwasilisha hesabu ambayo inafanya kuangalia zaidi upatikanaji wa fedha na hivyo wenye fedha kidogo kuachwa wakiwemo wanafunzi.&lt;br /&gt;Aidha waziri huyo alisema kwamba wafanyabiashara wanakaribishwa kusaidia katika suala hilo kwa kuzingatia msharti ya biashara yenyewe inavyotakiwa.&lt;br /&gt;Kauli hiyo imetokana na kauli ya mbunge wa Ilala Azzan Zungu ambaye alisema kwamba mamlaka zinazohusika na usafirishaji zina masharti magumu na kuwafanya wafanyabiashara wasiwe tayari kuingiza magari yao  kusaidia wanafunzi.&lt;br /&gt;Aidha alisema kwamba serikali imetoa fursa kwa wafanyabiashara wenye uwezo wa kusafirisha abiria wakiwemo wanafunzi kutoa huduma hiyo kwa kupeleka maombi yao katika Mamlaka ziunaozohusika na utoaji leseni z ausafirishaji abiria.&lt;br /&gt;Alisema hayo akijibu swali la msingi  la mbunge  viti maalumu Philipa Mturano ( Chadema) aliyetaka kujua serikali ina mpango gani wa kufufua mradi wa usafiri wa mabasi ya wanafunzi na kwanini serikali isitoe vibali kwa wafanyabiashara wenye mabasi watoe huduma hizo.&lt;br /&gt;Katika swali lake jingine la nyongeza Mturano la kuitaka serikali kusema itawachukulia hatua gani waliohujumu mradi wa mabasi ya wanafunzi, aliambiwa inapoaswa kuvuta subvira wakati Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) akichunguza sakata zima la ubinafsishaji la UDA, shirika ambalo lilikuw ana dhamana ya mradi huo.&lt;br /&gt;Aidha alisema kwa sasa CRDB  ina magari matano chini ya UDA ambayo yanasafirisha wanafunzi na kusema mabasi  hayo ni ya njia ya Mbagala-Mjini,Kongowe-Kivukoni, Gongo la Mboto-MJjini na Kimara-Mjini.&lt;br /&gt;Mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-6071070380322971884?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/6071070380322971884/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=6071070380322971884' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6071070380322971884'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/6071070380322971884'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/adha-ya-wanafunzi-abood-shabiby.html' title='Adha ya wanafunzi abood ,Shabiby wapongezwa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7217093159681815320</id><published>2012-02-07T16:38:00.002+03:00</published><updated>2012-02-07T16:42:38.879+03:00</updated><title type='text'>Tanzania, msumbiji na Afrika kusini kupambana pamoja</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-2K2WxIN6Iqs/TzEqRkzMVcI/AAAAAAAAPt4/HOitFfrzXEI/s1600/badilishana%2Bhati.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-2K2WxIN6Iqs/TzEqRkzMVcI/AAAAAAAAPt4/HOitFfrzXEI/s320/badilishana%2Bhati.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706388684279666114" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; Rais Jakaya Kikwete na  Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali washuhudia awaziri wa ulinzi wa Msumbiji Bw Filipe Jacinto Nyarusi (shoto)na  wa Tanzania  Dr Hussein Mwinyi  wakibadilishana nyaraka huku  wa Afrika Kusini  DKT L.N. Sisulu akitazama baada ya mawaziri hao kutiliana saini ya mkataba wa makubaliano (moU) katika mapambano dhidi ya maharamia kati ya nchi zao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7217093159681815320?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7217093159681815320/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7217093159681815320' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7217093159681815320'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7217093159681815320'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/tanzania-msumbiji-na-afrika-kusini.html' title='Tanzania, msumbiji na Afrika kusini kupambana pamoja'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-2K2WxIN6Iqs/TzEqRkzMVcI/AAAAAAAAPt4/HOitFfrzXEI/s72-c/badilishana%2Bhati.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-7276785247822857953</id><published>2012-02-07T16:28:00.002+03:00</published><updated>2012-02-07T16:35:36.314+03:00</updated><title type='text'>Dk Nsekela aapishwa Ikulu</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-75qPeh9ivsk/TzEnWIXjn3I/AAAAAAAAPtU/nC6m1JEjwD0/s1600/apisho.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 219px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-75qPeh9ivsk/TzEnWIXjn3I/AAAAAAAAPtU/nC6m1JEjwD0/s320/apisho.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706385464012021618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt; Rais Jakaya Kikwete akimuapisha Dkt James Msekela kuwa balozi wa Tanzania Italy leo Ikulu jijini Dar es salaam.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-SQRdeHPK2tE/TzEnXQpqjQI/AAAAAAAAPts/na8VXP0PyDc/s1600/familia%2Bya%2Bnsekela.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-SQRdeHPK2tE/TzEnXQpqjQI/AAAAAAAAPts/na8VXP0PyDc/s320/familia%2Bya%2Bnsekela.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706385483415325954" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Dr James Msekela na Familia yake baada ya kuapishwa na JK  kuwa balozi wa Tanzania Italy leo Ikulu jijini Dar&lt;br /&gt;&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-VvmWek46EzY/TzEnWXUlNtI/AAAAAAAAPtg/5L-4H1ghDIk/s1600/akizungumza%2Bna%2Brais.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 213px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-VvmWek46EzY/TzEnWXUlNtI/AAAAAAAAPtg/5L-4H1ghDIk/s320/akizungumza%2Bna%2Brais.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706385468026074834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Rais Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal wakiongea na Dr James Nsekela na Mkewe baada ya Dr Msekela kula kiapo cha kuwa balozi wa Tanzania nchini Italy leo Ikulu jijini Dar es salaam&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-7276785247822857953?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/7276785247822857953/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=7276785247822857953' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7276785247822857953'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/7276785247822857953'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/dk-nsekela-aapishwa-ikulu.html' title='Dk Nsekela aapishwa Ikulu'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-75qPeh9ivsk/TzEnWIXjn3I/AAAAAAAAPtU/nC6m1JEjwD0/s72-c/apisho.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8241775523740867367</id><published>2012-02-07T16:19:00.000+03:00</published><updated>2012-02-07T16:20:06.959+03:00</updated><title type='text'>Dr Nchimbi atuma salamu za heri ya mitihani</title><content type='html'>&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;SALAMU ZA MKUU WA MKOA WA DODOMA   MHE. DR. REHEMA J. NCHIMBI (MNEC) KWA WANACHUO WA UDOM, VYUO VIKUU NA VYUO VYA ELIMU YA JUU NA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WANAOFANYA MITIHANI YA ‘SEMESTER’ NA TAIFA HAPA MKOANI DODOMA&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Dr. Rehema Nchimbi anawatakia kheri Wanachuo wa UDOM, wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Elimu ya Juu vyote na Wanafunzi wote wa kidato cha sita wanaofanya mitihani ya ‘semester’ kwa wanavyuo na mtihani wa Taifa kwa kidato cha sita hapa Mkoani Dodoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dr. Nchimbi amesema kuwa mitihani ya ‘semester’ kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu na mtihani wa Taifa wa kidato cha sita ni ya muhimu sana kwa watahiniwa, Jamii na Taifa kwa ujumla na kumtaka kila mmoja wetu kuipa uzito unaostahili, hivyo anawataka wananchi wote wa Dodoma na watoa huduma mbalimbali kuwapa kipaumbele wanafunzi haswa watahiniwa katika kipindi chote cha mitihani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile anawataka wananchi wote kuwatendea haki watahiniwa ili waweze kufanya mitihani katika hali ya amani na usalama na kwa kupitia salamu hizi anawawaagiza wananchi wote wa Dodoma kuepuka mambo yatakayosababisha uvunjifu wa amani, utulivu na usalama na ili kutekeleza hili ameviagiza vyombo husika katika Mkoa wa Dodoma kusimamia kwa umakini suala hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika salamu zake za kheri kwa wanafunzi, Dr. Nchimbi amewaasa wote wanaohusika na Itifaki ya mitihani kutojihusisha na vitendo vya aina yoyote vya utapeli, wizi au udanganyifu wa mitihani kwa kuwa suala hilo ni kosa kisheria na dhambi katika misingi ya dini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dr. Nchimbi alisema kuwa suala la utapeli, wizi au udanganyifu katika mitihani limewapotosha na kuwagharimu watahiniwa wengi na kujikuta wamepoteza muda wao wote waliojitoa katika kutafuta elimu hivyo amewataka watahiniwa wote kujituliza, kujiamini na kutumia kile walichojifunza shuleni na mazoezi waliyoyafanya katika maandalizi yao na kumtanguliza Mwenyezi Mungu; vilevile amewataka viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini wawe pamoja na watahiniwa wote katika maombi na sala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Mkoa anawatakia watahiniwa wote afya njema, uzima na kufanya vizuri katika mitihani yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idara ya Habari&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi ya Mkuu wa Mkoa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;DODOMA&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8241775523740867367?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8241775523740867367/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8241775523740867367' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8241775523740867367'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8241775523740867367'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/dr-nchimbi-atuma-salamu-za-heri-ya.html' title='Dr Nchimbi atuma salamu za heri ya mitihani'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5392166582197995867</id><published>2012-02-06T18:17:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T18:18:43.153+03:00</updated><title type='text'>Nchimbi alilia ofisi ya mkuu wa mkoa</title><content type='html'>MKUU  wa mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi ameiomba serikali iangalie mkoa wa Dodoma kwa jicho la pekee na kuiwezesha kuwa na Jengo la Mkuu wa MKoa.&lt;br /&gt;Kwa sasa Mkuu wa mkoa na timu yake ya watendaji wamegawanyika katika ofisi mbalimbali ambazo zingine ni za wizara zilizopo Dodoma kutokana na ofisi yao kuungua moto  Agosti 2010.&lt;br /&gt;Mkuu wa mkoa hayo alitoa tamko hilo mbele ya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Hawa Ghasia  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya waziri Mkuu, tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa George Mkuchika wakati wa uwekaji jiwe la msingi Kituo cha Taifa Kumbukumbu na Nyaraka za taifa mwishini mwa wiki.&lt;br /&gt;Katika hotuba yake  alisema Ofisi ya Mkuu wa mkoa ni kioo cha mkoa hasa wenye shughuli nyingi kama Dodoma za kiserikali, kisiasa na kiutendaji.&lt;br /&gt;Alisema katika mazingira ya sasa  ni vyema serikali ikasaidia kukamilisha ujenzi wa Jengo la Mkuu wa Mkoa ili kuupa mkoa hadhi yake.&lt;br /&gt;Aidha katika hafla hiyo aliwakaribisha wawekezaji mkoani Dodoma.&lt;br /&gt;“Ninafahamu kwamba Wizara ya Fedha inaendelea na ujen zi wa Ofisi ya Hazina Ndogo hapa Dodoma, pia Benki Kuu ya Tanzania nao wanaendelea na ujenzi wa ofisi zao. Natoa wito kwa taasisi nyingine za serikali kuendelea kuwekeza hapa Dodoma” alisema mkuu wa mkoa na kuongeza kuwa kw akufanya hivyo watakuwa wamechangia katika kuwezesha kuhamia Dodoma.&lt;br /&gt; Pia Mkuu wa mkoa huyo alipongeza maamuzi ya kuweka Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa mkoani Dodoma akisema kwamba hiyo inaonesha umuhimu waliouweka  katika kuharakisha ujenzi wa Makao Makuu.&lt;br /&gt;Naye  Waziri Ghasia alisema kwamba ombi la mkuu wa mkoa limesikika na kumtafadhalisha Waziri Mkuchika kuhakikisha kwamba  mkoa wa Dodoma unapata hadhi yake kwa Ofisi ya Mkoa kupata jengo lake.&lt;br /&gt;Aidha alisema kwamba ni vyema akaharakisha ili kusiwepo na sababu ya kusema mambo hayaendi vyema kwa kuwa mkoa utawala wake umeshikwa na wanawake.&lt;br /&gt;Mkoa wa Dodoma umebarikiwa kuwa na watendaji wa Kike kuanzia mkuu wa mkoa mwenyewe, RAS, Idara ya usalama wa taifa Mkoa, Mahakama Kuu Kanda ya kati, Uhamiaji,TCRA,NMB, CRDB nakadhalika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5392166582197995867?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5392166582197995867/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5392166582197995867' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5392166582197995867'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5392166582197995867'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/nchimbi-alilia-ofisi-ya-mkuu-wa-mkoa.html' title='Nchimbi alilia ofisi ya mkuu wa mkoa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-3861680184251877471</id><published>2012-02-06T18:09:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T18:16:20.911+03:00</updated><title type='text'>Mkuu wa mkoa akitoa zawadi hospitali ya mkoa</title><content type='html'>&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-_mJSFDE5jWw/Ty_umAlXM6I/AAAAAAAAPtI/lZzoexeJAvY/s1600/nchimbi.JPG"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 214px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-_mJSFDE5jWw/Ty_umAlXM6I/AAAAAAAAPtI/lZzoexeJAvY/s320/nchimbi.JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706041589660857250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  Rehema Nchimbi  akimpa zawadi ya khanga mzazi mpya Prisca harry wakati alipozuru hospitgali hiyo hivi karibuni.&lt;br /&gt;Mkuu huyo wa mkoa alitoa alitoa doti 60 za kanga na vitambaa vya kufunikia watoto kwa akinamama  waliolazwa katika wodi ya wazazi.&lt;br /&gt;Prisca ambaye alijifungua mtoto wa  kike aliahidi kumuita mtoto huyo Rehema kama shukrani yake kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kutembelea hospitali hiiyo na kugawia wazazi kanga na vitambaa ya kufunikia watoto wachanga.&lt;br /&gt; Alisema kuwa, mwaka 2010 wakina mama 10,116 walijifungua katika hospitali ya Mkoa ambapo kulikuwa  na vifo 27 kati ya vifo 75 vya Mkoa mzima, katika mwaka 2011 kinamama waliojifungua walikuwa 10,444 na kulikuwa na vifo 16.&lt;br /&gt;Source:Sifa Lubasi wa Habarileo Dodoma&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-3861680184251877471?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/3861680184251877471/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=3861680184251877471' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3861680184251877471'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/3861680184251877471'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mkuu-wa-mkoa-akitoa-zawadi-hospitali-ya.html' title='Mkuu wa mkoa akitoa zawadi hospitali ya mkoa'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-_mJSFDE5jWw/Ty_umAlXM6I/AAAAAAAAPtI/lZzoexeJAvY/s72-c/nchimbi.JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8213976923653412178</id><published>2012-02-06T17:34:00.001+03:00</published><updated>2012-02-06T17:34:49.669+03:00</updated><title type='text'>he Ngoma Africa Band with Extraordinary Rhythm from East Africa    takes Over Europe by strom !</title><content type='html'>The Ngoma Africa Band, a Tanzanian rope formed in Germany, led and founded in a year 1993 by Tanzanian innate code glow musician and afro-pop star Ebrahim Makunja aka Ras Ebby Makunja has taken Europe by a charge with a colourful sound.&lt;br /&gt;The Ngoma Africa rope have been named several times as a best and many wanted rope in general festivals since of their unusual stroke “Bongo Dance” from Tanzania, East Africa… a stroke always sends fans crazy during festivals that creates a Ngoma Africa rope to be a series one African best rope formed in Europe!&lt;br /&gt;Most of their songs are created in several East African languages though many are in “Kiswahili” a oral denunciation in Tanzania and beside East African countries.&lt;br /&gt;Ngoma Africa rope have a series of gifted musicians, among them is multi-talented musician soloist Christian Bakotessa aka Chris-B, others are Said “Jazbo” Vuai, Severn okomo, Maxime Vayituma, Bedi Beraca, and Prince Zongolo etc…&lt;br /&gt;Ngoma Africa rope has been named “The Golden Voice Of  Africa.”  It is a rope certain to fit in any festivals.  You might listen to them during www.ngoma-africa.com  or www.facebook.com/ngomaafrica&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8213976923653412178?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8213976923653412178/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8213976923653412178' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8213976923653412178'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8213976923653412178'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/he-ngoma-africa-band-with-extraordinary.html' title='he Ngoma Africa Band with Extraordinary Rhythm from East Africa    takes Over Europe by strom !'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-1011340789596703885</id><published>2012-02-06T17:27:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T17:32:20.870+03:00</updated><title type='text'>MKESHA WA MAULIDI KITAIFA WILAYANI KILOSA</title><content type='html'>&lt;a href="http://2.bp.blogspot.com/-k028VAF0j_s/Ty_jh0SpYnI/AAAAAAAAPsw/KB9cJ4hXr7U/s1600/WAUMINI%2BWAKIUME..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 208px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-k028VAF0j_s/Ty_jh0SpYnI/AAAAAAAAPsw/KB9cJ4hXr7U/s320/WAUMINI%2BWAKIUME..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706029423013749362" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WAUMINI WA KIISLAMU WAKIUME WAKATI WA MKESHA.&lt;br /&gt;Waumini wa wakuime wa kiislamu wakifuatilia mawaidha ya Mufti Mkuu wa&lt;br /&gt;Tanzania ,Shekhe Issa Bin Shaaban , ( hayupo pichani juzi usiku )&lt;br /&gt;kwenye viwanja vya msikiti wa Manyema wa Kilosa  wakati wa mkesha wa&lt;br /&gt;sherehe ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.AW), Kitaifa ,&lt;br /&gt;Wilayani humo  Mkoa wa Morogoro.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-Hhyj4yDABAc/Ty_jhe9C79I/AAAAAAAAPso/e5f26GHcinA/s1600/WAUMINI%2BWAKIKE..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 222px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-Hhyj4yDABAc/Ty_jhe9C79I/AAAAAAAAPso/e5f26GHcinA/s320/WAUMINI%2BWAKIKE..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706029417286004690" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;WAUMINI WA KIISLAMU WA WANAWAKE WAKATI WA MKESHA.&lt;br /&gt;Waumini wa wanawake wa kiislamu wakifuatilia mawaidha ya Mufti Mkuu wa&lt;br /&gt;Tanzania ,Shekhe Issa Bin Shaaban , ( hayupo pichani ) juzi usiku&lt;br /&gt;kwenye viwanja vya msikiti wa Manyema wa Kilosa  wakati wa mkesha wa&lt;br /&gt;sherehe ya Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.AW), Kitaifa ,&lt;br /&gt;Wilayani humo  Mkoa wa Morogoro.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://1.bp.blogspot.com/-I4iSyaTOv94/Ty_jhbfK5XI/AAAAAAAAPsc/LfTyVeLbgdM/s1600/WAUMINI%2BWA%2BKIISLAMU%2BWAKIWA%2BNJE%2BYA%2BMSIKITI%2BWA%2BMANYEMA%2BWA%2BKILOSA..JPG"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-I4iSyaTOv94/Ty_jhbfK5XI/AAAAAAAAPsc/LfTyVeLbgdM/s320/WAUMINI%2BWA%2BKIISLAMU%2BWAKIWA%2BNJE%2BYA%2BMSIKITI%2BWA%2BMANYEMA%2BWA%2BKILOSA..JPG" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5706029416355390834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-1011340789596703885?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/1011340789596703885/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=1011340789596703885' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1011340789596703885'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/1011340789596703885'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/mkesha-wa-maulidi-kitaifa-wilayani.html' title='MKESHA WA MAULIDI KITAIFA WILAYANI KILOSA'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-k028VAF0j_s/Ty_jh0SpYnI/AAAAAAAAPsw/KB9cJ4hXr7U/s72-c/WAUMINI%2BWAKIUME..JPG' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2875699114429385912</id><published>2012-02-06T17:11:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T17:19:59.015+03:00</updated><title type='text'>JK kukutana na wabunge wa CCM jioni hii</title><content type='html'>Kikao kimeahirishwa asubuhi ya leo  pamoja na maneno mengi lakini inaonekana Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi ambacho ndicho chenye wabunge wengi anakutana na wabunge hao kupeana vipande na misimamo.&lt;br /&gt;Kwa jinsdi mambo yalivyo inaonekana wazi kwamba shauri kubwa ni muswada wa mabadiliko ya katiba, ambapo watuj wale wafiadhina wanaona kama mwenyekiti wao katika nafasi ya Urais anawapeleka puta kwa kukubali mambo mengi kutoka upinzani.&lt;br /&gt;pamoja na hayo lipo lile la posho la kimyakimya mihimili ya utawala ilipogongana huyu anasema wamerdhia huyu anasema hawakuridhia.&lt;br /&gt;Pamoja na yote hayo katika mazingira ya sasa ambapo hali ni tete katika muswada wa katiba na masuala ya posho kuachia wabunge wa chama tawala kuasi ni kitu ambacho hakiwezi kuachwa kina athari zake katika siasa za kawaida za ndani na za nje pia.&lt;br /&gt;Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi na katika hali hiyo kuparaganyika katika bunge kutaonesha udhaifu katika uongozi na kutoa nafasi ya kukanyagana, hili la CCM ni kunguru mwoga hupisha ubawa.&lt;br /&gt;majira fulani ukumbi wa Msekwa ulikaguliwa na kisha baadaye jioni hii tunaelezwa watu wapo ukumbi wa mtakatifu Gaspar.&lt;br /&gt;Naam baadaye labda kutakuwa na taarifa baada ya kuonyeshana vidole si unawajua CCM.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2875699114429385912?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2875699114429385912/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2875699114429385912' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2875699114429385912'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2875699114429385912'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/jk-kukutana-na-wabunge-wa-ccm-jioni-hii.html' title='JK kukutana na wabunge wa CCM jioni hii'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-4812874248434423427</id><published>2012-02-06T17:06:00.000+03:00</published><updated>2012-02-06T17:07:09.864+03:00</updated><title type='text'>nani alisema hatuelewi... hata bunge linajua michezo  ni ajira</title><content type='html'>DHANA ya michezo kama  burudani, starehe na afya  imeelezwa kuwa imepitwa na wakati na watanzania wanatakiwa kuichukulia michezo kama sehemu ya kutoa ajira.&lt;br /&gt;Kauli hiyo imetolewa na  mbunge Stephen Masele wakati wa kujadili mkataba wa kimataifa wa vijana wa afrika bungeni juzi.&lt;br /&gt;Alisema kwamba wananchi  wa mataifa ya Afrika Magharibi yamefanya hivyo na kufikisha nchi zao katika nafasi nzuri ya ajira.&lt;br /&gt;Alisema fedha wanazopata wanamichezo zinasaidia katika kuwekeza na kuinua uchumi wa familia zao na hata taifa kw aujumla kwa kuwa wanakuwa na uwezo wa kuanzisha vitega uchumi.&lt;br /&gt;Alitaka serikali kuwekeza katika michezo ikiwa ni pamoja na kuanzisha chuo kikuu cha michezo ili kufua wataalamu watakaonyanyua michezo na wanamichezo wenyewe.&lt;br /&gt;mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-4812874248434423427?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/4812874248434423427/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=4812874248434423427' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4812874248434423427'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/4812874248434423427'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/nani-alisema-hatuelewi-hata-bunge.html' title='nani alisema hatuelewi... hata bunge linajua michezo  ni ajira'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-5323857406412030280</id><published>2012-02-06T17:04:00.002+03:00</published><updated>2012-02-06T17:05:01.383+03:00</updated><title type='text'>Hili lilinifurahisha wiki iliyopita..fedha za rada kununua madawati</title><content type='html'>WAKATI  Waziri Mkuu anaandaa waraka kwa halmashauri zote kumaliza tatizo la madawati katika shule za msingi mwaka huu, serikali imesema  sehemu kubwa ya fedha  sh bilioni 18 za rada zitatumika kwa  ajili  kusaidia kuondoa tatizo hilo.&lt;br /&gt;Waziri wa Nchi, Ofisi ya Wazirik Mkuu, tawala za mikoa na serikali za mitaa,(Tamisemi) George Mkuchika alisema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge  wa Kibakwe George Simbachawene ( CCM ) mbaye alisema halmashauri ndizo zinazoendesha shule hizo na hali inaonekana kuwa mbaya.&lt;br /&gt;Mkuchika alisema Waraka huo utakaosambazwa utaelekeza moja kwa moja nini kinatakiwa kufanywa na Halmashauri kumalzia tatizo la madfawati moja kwa moja.&lt;br /&gt;Mkuchika pia alisema kwamba shughuli hiyo itamalziwa kwa fedha kutoka serikalini, Hazina (fedha za Rada) na kwa wananchi wenyewe ambao amesema ndio wenye shule.&lt;br /&gt;Alisema shule za msingi ni mali ya vijiji na shule za kata (sekondari ) ni mali za kata kwa hiyo zinahitaji nguvu za pamojna na serikali kuliondoa tatizo hilo mara moja.&lt;br /&gt;Alishauri wananchi kuongez anguvu kuchangia nafasi yao kuhakikisha kwamba tatizo hilo linamalizika kw amanufaa ya taifa zima.&lt;br /&gt;Wakati akimalizia kuzungumzia  suala hilo spika wa Bunge Anne Makinda alichombeza kwamba shughuli hasa za kujenga choo ni za wananchi na wala si serikali kuu au ya mitaa.&lt;br /&gt;Katika maswalim mengine ya nyongeza kuhusu tatizo madawati wapo wabunge waliotaka kuwepo na kibali cha kuvuna miti ili kutengeneza madawati ambapo walijibiwa kwamba inaruhusiwa kwa kutumia taratibu zilizowekwa za uvunaji wa misitu.&lt;br /&gt;Awali  Martha Mlata alizungumzia haja ya fedha za rada kuingizwa kuondoa tatizo hilo kwa kuzipa zabuni  taasisi za umma kama magereza na JKT kutengeneza samani hizo muhimu kwa shule zetu.&lt;br /&gt;Awali  Naibu waziri, Ofisi ya waziri Mkuu tawala za mikoa, Kassim Majaliwa akijibu swali la msingi la tatizo la madawati nchini lililoulizwa na  mbunge wa Musoma Vijijini ,Vicent Nyerere (chadema) kuwa serikali imejipanga vipi kumaliza tatizo hilo, alisema kwamba dawati kama kifaa muhimu kuongeza ufanisi wa kujifunza lifanyiwa kazi.&lt;br /&gt;Alisema kwamba kwa mwaka wa fedha wa 2009/2010 serikali ilitoa sh bilioni 1 kwa ajili ya ununuzi wa madawati kwa shule za sekondari na mwaka 2010/2011 ilitoa sh bilioni 3 kwa ajili ya ununuzi wa madawati shule za msingi.&lt;br /&gt;Hata hivyo alisisitiza kwamba serikali kupitia Halmashauri nchini imekuwa ikielekeza utaratibu wa kuhakikisha kuwa kunakuwepo na mikakati ya kupunguza tatizo la madawati kwa wanafunzi kwa kuhusisha wadau mbalimbali.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-5323857406412030280?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/5323857406412030280/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=5323857406412030280' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5323857406412030280'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/5323857406412030280'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/hili-lilinifurahisha-wiki.html' title='Hili lilinifurahisha wiki iliyopita..fedha za rada kununua madawati'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-8082514757616870708</id><published>2012-02-06T17:01:00.001+03:00</published><updated>2012-02-06T17:03:44.531+03:00</updated><title type='text'>Bilioni 1.6 zipo CDA kupitia upya Mpango kabambe wa Mji mkuu Dodoma</title><content type='html'>SERIKALI imesema kwamba itaweza kutoa ratiba ya uhakika itakayotekelezeka ya kuhamia Dodoma kama makao makuu ya nchi, baada ya kukamilika kwa mapitio ya Mpango Kabambe wa Mji Mkuu Dodoma.&lt;br /&gt;Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji Dk Mary Nagu amesema kwamba tayari mamlaka ya ustawishaji makao makuu (CDA) imepatiwa fedha kiasi cha shilingi bilioni 1.6 kwa kazi hiyo.&lt;br /&gt;Waziri Dk Nagu alisema hayo leo wakati alipokuwa akijibu swali la mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela aliyetaka serikali kutoa ratiba inayotekelezeka ya kuhamia Dodoma.&lt;br /&gt;“Mheshimiwa Naibu spika, ili kuendeleza zoiezi la kiujenga miundo mbinu na huduma nyingine kwa kuzingatia hali ya sasa, serikali imeamua kuupitia upya mpango kabambe wa Mji Mkuu Dodoma” alisema Dk Nagu&lt;br /&gt;Anne Kilango katika utangulizi wa swali lake alisema mara nyingi majibu ya serikali kuhusu swali la makao makuu ya serikali kuhamia Dodoma yamekuwa ‘Tumo Mbioni’ au “kasungura Kadogo” na wakati hyuo ujenzi wa majengo ya Wizara na nyumba za serikali unaendelea Dar es salaam.&lt;br /&gt;Waziri  Dk Nagu alisema wakati anajibu swali la bunge namba 778 la  mbunge wa Dodoma Mjini, David mallole(CCM) alielezea dhamira ya serikali ya kuhamia Dodoma na umuhimu wa kufanya maandalizi ya msingi ya kukamilisha ujenzi wa miundombinu na huduma nyingine zinazohitajika kwa ajili ya kuwaweka watu wa ziada Dodoma na kuendesha shughuli za serikali.&lt;br /&gt;Aidha katika maswali yake mawili ya nyongeza ambayo yaligusia haja ya uwepo wa wizara yenye dhamana kwa ustawishaji makao makuu na kama kazi za CDA ni kugawa viwanja pekee; Dk Nagu alisema kwamba ipo Wizara inayoshughulikia usatawishaji makao makuu japo haina jina hilo na kwamba kazi ya CDA si kugawa viwanja pekee.&lt;br /&gt;Akifafanua zaidi alisema dhamana ya ustawishaji makao makuu yapo chini ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya waziri mkuu,(Sera, Uratibu na Bunge) na kwamba majukumu ya CDA ni pamoja na  ujenzi wa miundo mbinu na kuhakikisha kwamba mji wa Dodoma unaendelea kukua kwa jinsi inavyotakiwa.&lt;br /&gt;Wakati huo huo serikali imewakumbusha wabunge kwamba Dare s salaam itabaki kuwa mji mkuu wa kibiashara kwa hiyo ujenzi wake unahitaji mpango sahihi unaokidhi matakwa.&lt;br /&gt;Dk Nagu alikuwa akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Mkanyageni Habibu Mnyaa (CUF) aliyetaka kujua kwanini fedha za kujenga mji wa KIigamboni zisihamishiwe Dodoma na kumaliza tatizo la kutohamia Dodoma.&lt;br /&gt;Waziri Nagu alisema kwamba kuwepo kwa mji wa Kigamboni hakutakwamisha kasi ya kuhamia Dodoma; ambapo mpaka sasa kuna wizara mbili tu zilizojenga majengo yake ambazo ni Tamisemi na Kilimo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-8082514757616870708?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/8082514757616870708/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=8082514757616870708' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8082514757616870708'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/8082514757616870708'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/bilioni-16-zipo-cda-kupitia-upya-mpango.html' title='Bilioni 1.6 zipo CDA kupitia upya Mpango kabambe wa Mji mkuu Dodoma'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-934549962738256429.post-2622513373427614260</id><published>2012-02-03T16:30:00.002+03:00</published><updated>2012-02-03T16:34:40.502+03:00</updated><title type='text'>TUJIPANGE KUWASAIDIA  VIJANA NA MASKINI-MIGIRO</title><content type='html'>&lt;a href="http://3.bp.blogspot.com/-gIy7-in581E/Tyviaa-A-II/AAAAAAAAPsQ/4FwQ3jz-T2g/s1600/katibu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 227px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-gIy7-in581E/Tyviaa-A-II/AAAAAAAAPsQ/4FwQ3jz-T2g/s320/katibu.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5704902296538773634" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Imeelezwa kwamba linapokuja suala la ukofesu wa ajira,  vijana ndio wanaoathirika zaidi  ikilinganishwa na watu wazima.&lt;br /&gt;Akifungua mkutano wa 50 wa Tume ya Maendeleo ya Jamii ya Umoja wa Mataifa,  Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Asha-Rose Migiro, amewaeleza wajumbe wa mkutano huo kwamba,  linapokuja  tatizo la ajira,  vijana huadhirika mara tatu zaidi ya watu wazima.&lt;br /&gt;“ Takwimu za  Shirika la Kazi Duniani (ILO)zinaonyesha kwamba  mtu mmoja  katika kila watu watatu,duniani ama  hana ajira au anaishi katika umaksini. Hii ni sawa na zaidi ya watu bilioni moja”. Anasema Naibu Katibu Mkuu&lt;br /&gt;Na kuongeza. “Lakini  vijana hasa ndio walioathirika zaidi. Ukosefu wa ajira kwao ni mara tatu zaidi ya watu wazima na kwa mwaka jana tu vijana milioni 75 walikuwa hawana ajira” anasema Migiro.&lt;br /&gt;Tume ya Maendeleo ya Jamii  ya Umoja wa Mataifa ambayo imeanza mkutano wake siku ya jumatano itakutana kwa siku kumi hapa  Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt;Pamoja na kupokea taarifa mbalimbali, wajumbe wa Tume watajielekeza zaidi katika kujadiliana na kuweka mikakati na mipango madhubuti ya kukabiliana na ukosefu wa ajira kwa vijana, upunguzaji wa umaskini, mdororo wa uchumi na  athari zake kwa maendeleo ya watu na hasa watu maskini na mabadiliko ya tabia nchi.&lt;br /&gt;“ Tunaishi katika  nyakati za mashaka, mdororo wa uchumi unaendelea kuchukua mkondo wake. Na matokeo yake ni kuendelea kujengeka kwa chuki miongozi  mwa jamii”. anabainisha Naibu Katibu Mkuu.&lt;br /&gt;Kama hiyo haitoshi, Migiro anasema , pengo  kati ya matajri na maskini  linazidi kuongezeka na , umaskini unaongeza shinikizo katika familia nyingi.&lt;br /&gt; “ katika  familia ambayo kuna uhaba mkubwa wa chakula na  fedha ni chache, ni wazi kwamba hali ya uvumilivu hutoweka na mifarakano hujitokeza.Lakini pia  matukio ya watu kujiua  huongezeka,  matumiziya dawa za kulevya yamekithiri huku vitendo vya unyanyasaji dhidi ya wanawake na  watoto  navyo vikiongezeka”.&lt;br /&gt;Akasema  vijana ambao ndio tegemeo kubwa hivi sasa wanashindwa kujua nini hatima yao, hawana matumaini tena na wanazidi kukata tamaa ya maisha. &lt;br /&gt;Akaongeza kwamba, maskini wanataka kujinasua kutoka katika dimbwi la umaskini, ni kwa sababu hiyo  Umoja wa Mataifa kupitia Tume hiyo inatakiwa kwa kweli,  kuwa na  sera za kuilinda jamii. Kwa   maana ya  kuwa na uhakika wa kuwa  na chakula, elimu na huduma za msingi hasa kwa maskini. &lt;br /&gt;“Maskini  wanataka kujisaidia wao wenyewe na familia zao, tunatakiwa kuwajengea fursa nzuri za ajira.&lt;br /&gt;anasisitiza.&lt;br /&gt;Kwa upande wake Rais wa Baraza la  Uchumi na Jamii Maendeleo la Umoja wa Mataifa, (ECOSOC) Balozi  Milos Koterec, akizungumzia kuhusu ukosefu wa ajira kwa vijana.&lt;br /&gt;Yeye amesema   katika mkutano huo pamoja na mambo mengine, Tume  ya Maendeleo ya Jamii itatoa kipaumbele maalumu kwa vijana na hususani changamoto ya ukosefu wa ajira.&lt;br /&gt;Akasema  katika nchi zilizoendelea  katika kila vijana wanne mmoja hana ajira. Ili hali   idadi kubwa ya vijana katika nchi zinazoendelea wanajaribu kubangaiza kwa  kujiajiri katika sekta zisizo rasmi.&lt;br /&gt;“ Dunia inashuhudia mgogoro mkubwa wa ukosefu wa ajira kwa vijana, ukosefu unaochangia katika uvunjifu wa amani na  tishio la usalama  katika jamii”. Akasisitiza Balozi Koterec.&lt;br /&gt;Na kuongeza kwamba ukosefu huo wa ajira kwa vijana, kunawasukuma  kujiingiza katika vitendo vya kudai demokrasia, fursa sawa na  kazi zenye tija.&lt;br /&gt;Source:Ubalozi New York&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/934549962738256429-2622513373427614260?l=lukwangule.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://lukwangule.blogspot.com/feeds/2622513373427614260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=934549962738256429&amp;postID=2622513373427614260' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2622513373427614260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/934549962738256429/posts/default/2622513373427614260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://lukwangule.blogspot.com/2012/02/tujipange-kuwasaidia-vijana-na-maskini.html' title='TUJIPANGE KUWASAIDIA  VIJANA NA MASKINI-MIGIRO'/><author><name>Msimbe</name><uri>http://www.blogger.com/profile/00204170558554471939</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='29' height='32' src='http://bp2.blogger.com/_XqNxR3rGJsI/R_H6ZUJSdoI/AAAAAAAAAEM/fy-DZ-Z1iLA/S220/Beda+Msimbe.jpg'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-gIy7-in581E/Tyviaa-A-II/AAAAAAAAPsQ/4FwQ3jz-T2g/s72-c/katibu.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry></feed>
